Elections 2010 Dr. Slaa mgombea urais 2010 kupitia CHADEMA

Elections 2010 Dr. Slaa mgombea urais 2010 kupitia CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Chadema wana mpango gani au wamejiandaa vipi kusimamia wizi wa kura? manake wajue wamepoteza kichwa kikubwa sana bungeni na bila kufanya mpango makini wa kusimamia wizi wa kura kitachotokea ni kama miaka ya nyuma ni kulalamika tumeibiwa kura na hakuna hatua zozote zinafanyika.

Kama wewe una uchungu na nchi, unaweza kutoa ushauri wa namna ya kulinda kura na sio kuwaachia "wengine" wafanye kazi hiyo?

nilikuwa nafuraha sana na chadema kuweka nguvu kwenye nafasi za ubunge sasa leo wanaenda kutoa kichwa chao kikubwa bungeni.
safari ndefu sana kwa wapinzani.

Mtu mmoja tu kuacha kugombea ubunge inakufanya useme kuwa chadema wameaacha kuweka nguvu kwenye ubunge? analysis yako bomba sana mkuu

Naona sasa macho yote yatakuwa kwenye hio nafasi ya uraisi kuliko kwenye wabunge.

Kwani kuna makosa kuweka nguvu kwenye vyote - uraisi + ubunge?
 
Bwa ha ha ha ha

Umepiga simu vijiji gani hivyo?

Hizi propaganda za sisiemu bana ..... zinawezekana mtaani sio JF


Sijapiga kijijini, nimempigia kada nguli wa CCM kujua mtazamo wake.
Ukiweka ushabiki wa JF bila kuwa realistic na hali halisi haitusaidii kuleta mabadiliko ya kweli. Katika post yangu moja nimetoa angalizo kuhusu kuwa na Mawakala waaminifu, Nalijua hili na ndio mtaji mkubwa wa ushindi wa CCM, eneo lingine ni Vijijini ambako elimu ya mageuzi bado iko chini na vyama vyetu vingi havina network huko, sasa haya ndiyo tuyafanyie kazi kama tunataka ushindi, vinginevyo tutaishia kushabikia humu JF huku mkulima kule mwanarumango hajui kinachoendelea wala maana ya mageuzi
 
Bila kujali kama atashinda ama atashindwa, ukweli ni kuwa CCM watafahamu kwamba wakicheza watakwenda na maji. Kitakachofaa sasa ni kuchagua Watu kadhaa kugombea ubunge kwa ticket ya Chadema na kuhakikisha wanashinda. Hawa wachache wakiwa machachari basi CCM watafahamu kuwa mwaka 2010 unakuja na hawatafanya lele mama na kuwa Watalii wa dunia wakati upinzani unajiandaa.

Amini usiamini, hata kama Slaa atabaki nje ya bunge, lakini atamkalia Kikwete kooni na wala hatampa kuhema. Slaa atakuwa free kumkosoa kila mara. Kama bunge kakaa term 3, ni muda sasa wa kupanda cheo au kuachia ngazi. Hadi leo zaidi ya kufichua siri kafanya nini? CCM hawana aibu kabisa na pamoja na kufichuliwa siri zao, wala hawaabaiki. Hebu ona hawa Ma dr. Feki bado ni mawaziri. Magufuli hadi anatukana uzembe wa Waziri wa mambo ya ndani, lakini CCM wala. Majambazi wanazidi kutesa, CCM wala. Unafikiri CCM wanamuogopa tena Slaa kama mbunge? Hell no.

Dr. Slaa, kampeni tumeanza. Tutawasiliana na ndugu na jamaa katika familia zetu na tuna imani watasikiliza maombo yetu.
Chadema wana mpango gani au wamejiandaa vipi kusimamia wizi wa kura? manake wajue wamepoteza kichwa kikubwa sana bungeni na bila kufanya mpango makini wa kusimamia wizi wa kura kitachotokea ni kama miaka ya nyuma ni kulalamika tumeibiwa kura na hakuna hatua zozote zinafanyika.


nilikuwa nafuraha sana na chadema kuweka nguvu kwenye nafasi za ubunge sasa leo wanaenda kutoa kichwa chao kikubwa bungeni.
safari ndefu sana kwa wapinzani.

Naona sasa macho yote yatakuwa kwenye hio nafasi ya uraisi kuliko kwenye wabunge.
 
kamalaika
user-online.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Fri Mar 2007
Posts 8 Thanks : 6
Thanked 6 Times in 3 Posts
Rep Power 0
Kweli Dr. Slaa ni kiboko, kamtoa hadi nyoka pangoni. Karibu kamalaika 🙂

JF bwana,

Mbona mmeamua kunivunja mbavu zote ......kwi kwi kwi mbavu zangu
 
Baada ya hii habari nilimpigia mmoja wa wana CCM, yeye anasema Slaa sio tishio kwa sababu Chadema haina network vijijini, tujadili hili pia
Hivi wewe ulishaona wapi hakimu akamuuliza mwizi amfunge miaka mingapi, ulitarajia huyo mwanaCCM asemaje.
 
Nani aliyekwambia mwaka huu kutakuwa na idadi kubwa ya wabunge wa Chadema ku-warrant kuteuliwa wengi? Wabunge wa kuteuliwa hawaiingii tu bungeni kwa miguu au kwa ku-drive. Kuna mchakato wake. Let us be realistic kwa level ya JF.
kwa hiyo wewe umeamua kufeli mtihani hata bila ya kuiona huo mtihani, wanaopiga kura ni siri yakila moja wetu, wanacho ongea watu hata ndani ya ccm sio wote wana mtaka huyo anaye gombea, siasa za ccm nyingi ni za kinafiki. hivyo usione watu wanakuchekea ukafikiri ni marafiki, ni mslahi binafsi ndio yanayo leteleza hayo.
 
Sijapiga kijijini, nimempigia kada nguli wa CCM kujua mtazamo wake.
Ukiweka ushabiki wa JF bila kuwa realistic na hali halisi haitusaidii kuleta mabadiliko ya kweli. Katika post yangu moja nimetoa angalizo kuhusu kuwa na Mawakala waaminifu, Nalijua hili na ndio mtaji mkubwa wa ushindi wa CCM, eneo lingine ni Vijijini ambako elimu ya mageuzi bado iko chini na vyama vyetu vingi havina network huko, sasa haya ndiyo tuyafanyie kazi kama tunataka ushindi, vinginevyo tutaishia kushabikia humu JF huku mkulima kule mwanarumango hajui kinachoendelea wala maana ya mageuzi

Sasa mkuu Sahara Voice,

Wewe umempigia simu kada nguli wa ccm (kulingana na post yako, inaonekana anaishi mjini), kisha huyo kada nguli wa ccm akakuambia kuwa Dr Slaa si chochote si lolote vijijini. Na wewe bila kujali nafasi ya huyo mtu (note - mmoja tu) kwenye chama, ukaamini kuwa ni ukweli usiopingika kuwa chadema haina nafasi vijijini.

So far, wabunge wengi wa upinzani kwa upande wa bara wanatoka vijijini. Tarime, Karatu, na kigoma kaskazini ni as vijijini as pie. Narudia swali langu kwako, umepiga simu kijiji gani/kipi/wapi/ipi?
 
Msisahau kutuma neno CHADEMA kwenda 15710. Ndo hongera zetu zitaimarika.

CHADEMA makao makuu, mnaweza kubandika account maalumu ya kuchangia chama?

SAD! hii link haifanyi kazi. Nilituma neno lika bounce. Kama liko active nijulisheni plz
 
Mzee wa LIBENEKE anajitetea kuwa yeye ni NEUTRAL. Ila hii habari hadi sasa hivi hajaiandika.
"Tutawajua kwa matendo yao na si maneno yao".
_______________________________________________________________

ANGALIZO LA GLOBU YA JAMII

GLOBU YA JAMII IMEKUWA IKIPATA SIMU NA EMAIL NYINGI ZA MALALAMIKO KWAMBA INAPENDELEA AMA INALALIA AIDHA CHAMA FULANI CHA SIASA AMA DINI FULANI FULANI NA KWAMBA VYAMA AMA DINI FULANI FULANI HAZIPEWI KIPAUMBELE AU HAZICHAPISHIWI HABARI ZAO.

TIMU YA LIBENEKE LA GLOBU YA JAMII INAPENDA KUKANUSHA KWA NGUVU ZOTE HABARI HIZO NA KUSISITIZA KWAMBA SERA YAKE NI ILE ILE YA 'SIBAGUI, SICHAGUI, ATAKAYENIZIKA SIMJUI'

HIVYO KATIKA KUWEKANA SAWA MUONEKANO HUO HUENDA UNATOKANA NA MOJA YA SABABU ZIFUATAZO KAMA SIO ZOTE:

1. HAVILETI HABARI ZAO KUPITIA issamichuzi@gmail.com
AMBAYO IKO WAZI KWA WOTE KULETA HABARI NA PICHA

2. HAVITOI TAARIFA MAPEMA YA KUWEPO KWA SHUGHULI ZAO ZINAZOHITAJI COVERAGE

3. HAVINA IMANI NA TEKNOLIJIA HII YA HABARI

4. HAVIJUI NJIA GANI VITUMIE KULETA AMA KUFANYA HABARI ZAO ZITOKE (kama namba 1 ilivyoainisha)

5. HAVINA HABARI

KWA HESHIMA NA TAADHIMA TUNASISITIZA TENA KWAMBA SI KWELI KWAMBA GLOBU YA JAMII INA UBAGUZI WA AINA YOYOTE ILE.

HIVYO BASI, ENDAPO KAMA UNA TAARIFA, HABARI AMA PICHA AMBAZO HAZICHAFUI HALI YA HEWA JISIKIE HURU KUUTUMIA MTANDAO HUU WAKATI WOWOTE NA KWA LOLOTE LILILO NDANI YA MIPAKA YA SHERIA NA MISINGI YA HABARI INAYOZINGATIA DEMOKRASIA YA UHURU WA KUPATA NA KUPASHA HABARI.

MSISITIZO: MAONI YENYE KASHFA KWA MTU AMA KUNDI YAKIWA NDANI YA USHUNGI WA 'KUKOSOANA' AMA 'KUPEANA UKWELI' AMA 'UHURU WA HABARI' HAYANA NAFASI. FURSA NI KWA YALIYO NDANI YA MIPAKA KAMA ILIVYOAINISHWA HAPO JUU.
-MICHUZI​
 
Hivi wewe ulishaona wapi hakimu akamuuliza mwizi amfunge miaka mingapi, ulitarajia huyo mwanaCCM asemaje.

That's right, yaani yeye anampigia mwanaccm simu kumuuliza nafasi ya chadema vijijini, badala ya ya kupiga simu vijijini na kuuliza watu mbali mbali kuhusu chadema?!
 
kwa hiyo wewe umeamua kufeli mtihani hata bila ya kuiona huo mtihani, wanaopiga kura ni siri yakila moja wetu, wanacho ongea watu hata ndani ya ccm sio wote wana mtaka huyo anaye gombea, siasa za ccm nyingi ni za kinafiki. hivyo usione watu wanakuchekea ukafikiri ni marafiki, ni mslahi binafsi ndio yanayo leteleza hayo.


we ndugu wewe. Huwezi ukaomba kufanya UE wa physics wakati wewe ni ngwine per se. Hiki ndiyo kimetokea hapa. Kumbuka kuwa hata wanaomchekea Slaa usije ukadhani wote wanamfurahia. In fact wengi wanamcheka.
 
Wakati mwingine ni faraja kuishi kwa matumani yasiyowezekana. wenyewe wanasema.. Stretch goals. However, backcasting is very important...

Backcasting while also maintaining status quo .... who could think of that?!
 
we ndugu wewe. Huwezi ukaomba kufanya UE wa physics wakati wewe ni ngwine per se. Hiki ndiyo kimetokea hapa. Kumbuka kuwa hata wanaomchekea Slaa usije ukadhani wote wanamfurahia. In fact wengi wanamcheka.

Aisee wewe mkuu una akili sana, unafaa kuwa mshauri wa masuala ya kisiasa wa wanasiasa wote Tanzania maana unaweza kusoma maandishi ya watu na kujua fikra zao .......... ohhh fcku it ...... kimekuchoma sana moyoni kuona Kikwete akipata upinzani wa nguvu.
 
Kama wewe una uchungu na nchi, unaweza kutoa ushauri wa namna ya kulinda kura na sio kuwaachia "wengine" wafanye kazi hiyo?



Mtu mmoja tu kuacha kugombea ubunge inakufanya useme kuwa chadema wameaacha kuweka nguvu kwenye ubunge? analysis yako bomba sana mkuu



Kwani kuna makosa kuweka nguvu kwenye vyote - uraisi + ubunge?
mkuu ndoto zingine sio muhimu sana kuziweka kichwani.
uchaguzi nchini kwetu sio wa haki na ndio nina uchungu wa nchi yangu na ni vizuri wapinzani wajaribu kupata msaada kwa mabalozi
hili hili swala liweze kurekebishwa la sivyo ni kupoteza mda tu kwenye nafasi ya uraisi.

analysis yangu ni bomba na ndio maana dk slaa kutoka bungeni si muhesabu mtu mmoja kama wewe,dk slaa kwangu mimi pale bungeni ni zaidi ya wabunge 50 wa ccm wanao sinzia hovyo hovyo na kucheka cheka hovyo hovyo wakati wana nchi waliowapa nafasi wana matatizo chungu mzima.

hakuna kosa kuweka nguvu yoyote kwenye uraisi + ubunge tatizo ni timing mbovu.wangejaribu kusaidiana kwa nguvu zote na mali kuongeza wabunge wa upinzani kwani hio inasaidia kuweza kuwafikia wananchi zaidi hapo mbeleni tukipata mgombea mwenye sifa zote kama Dr Slaa.

sasa hivi ccm wameshika majimbo kibao wewe unaenda kuwataka wamchague Dr Slaa watakuelewa vipi wakati ccm imewateka akili? haya majimbo ya ccm tukiweza kuyateka kwenye nafasi za ubunge kwa kufanya kampeni za nguvu na kufanikiwa uchaguzi ujao utakuwa rahisi sana kupata kura za hawa wananchi na itakuwa vigumu kwa ccm kufanya madudu yao inawapa hesabau ya mgombea wao kuchagulia kwa asilimia 80 ya watanzania.


Nguvu zaidi zipelekwa vijijini huko uchaguzi sio dar es salaam peke yake.
 
source; Daily News | CHADEMA wants Dr Slaa for presidency
Local NewsCHADEMA wants Dr Slaa for presidency
By Jiang Alipo, 20th July 2010 @ 16:00, Total Comments: 0, Hits: 29

THE opposition CHADEMA has asked its Secretary General, Dr Wilbroad Slaa, to be its presidential candidate in the coming general election.

'Daily News' has confirmed that the decision was reached by the opposition party's Central Committee which met on Tuesday in Dar es Salaam.

"The CC has asked Dr Slaa to be the party's presidential candidate," said Chadema's deputy secretary-general, Mr Zitto Kabwe.

However, Mr Kabwe said that, CC's decision was not final, since the candidate has to be approved by the party's general meeting, which will be held in August 10. Mr Kabwe did not say whether Dr Slaa, who could not be reached for comment, agreed to the party's request.

However, sources in the meeting, which was still going on by the time we went to press said Dr Slaa has agreed. Dr Slaa is currently a Karatu Member of Parliament.

Chadema is the only one of the three strong parties, yet to announce its presidential candidate. Its flag bearer in the last election, Mr Freeman Mbowe has announced he was going to run for a parliamentary seat in this election
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom