Although you are free to make any comments lakini nakerwa sana hiyo bold, sorry mkuu, i just cant stand pessimism!]Hata kama akiukosa urais[/B] atafanikiwa kuingiza upinzani bungeni kwa asilimia kubwa. CHADEMA...TANZANIA MPYA, MWANZO MPYA!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Although you are free to make any comments lakini nakerwa sana hiyo bold, sorry mkuu, i just cant stand pessimism!]Hata kama akiukosa urais[/B] atafanikiwa kuingiza upinzani bungeni kwa asilimia kubwa. CHADEMA...TANZANIA MPYA, MWANZO MPYA!!
karibu dk slaa, lkn nasikia anaziwania sana kura za wakatoliki
Kwisha habari yake, ni ukweli kwamba sabodo amefanya kazi yake vizuri..tamaa na njaa ya padre imedhihirika..Urais hatapata hata akiimba usiku kucha kwasababu hana sifa ya kuwa rais wa nchi ya mchanganyiko kama yetu..anafaa kuongoza kanisani zaidi...wakatoliki suibirini 2015 ...please..
Kizuri ni kwamba jimbo la karatu limerudi kwa CCM bila yeye ...kosa la kiufundi lingine kwa chadema njaa na tamaa mbaya sana...
mimi ninamaswala haya kwa dk slaa
1)endapo atashinda uchaguzi na kuwa rais nini atafanya katka kurudisha mahakama ya kadhi
2) vipi kuhusu swla la oic
3) vipi kuzibadilisha kuwa siku za mapumziko kuwa j3 na j4 badala ya j1 na j2 au kuongeza ijumaa?
karibu dk slaa, lkn nasikia anaziwania sana kura za wakatoliki
Mi naamini Chadema pamoja na Dr. Slaa wapo makini na hawajafanya kosa kama watu wengi wanavyofikiria hapa!! kuwa na mgombea Urais ambaye anakubalika hii inachangia sana wananchi kuwa na imani na Chama na kuwachagua wabunge wa chama hicho.....nakumbuka mwaka 1995 ule umaarufu wa Mrema ulikipatia NCCR mageuzi wabunge....lakini toka wakati huo hakuna tena mbunge kutoka chama hicho!! kwa hiyo hoja ya kwamba chaddema itapunguza idadi ya Wabunge siioni mantinki yake kama watu wanafikiria nje ya box!! Go Slaaa Go....
We r not think just for tomorrow meal......................
vipi kuhusu kwamba yeye ametumwa na wakatoliki kugombea?
Sema kama watu Wachache hapa wanavyofikiria
..mzee ebu tuliza kidogo malaria yako and ask urself a few questions kabla hujapost. Hao wanachadema waliompendekeza wote ni RC? hawa wanazuoni na wanaharakati mbalimbali waliomshauri agombee ni RCs? who are RCs in this country wakuingia kny vyama na kudictate maamuzi ya vyama ya nani awe mgombea?
Toa hoja nyingine, sio hiyo ya KI-RC bana!