Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Ndugu pamoja na salamu zenu kwa Dr Wilbroad Slaa,
Mpeni nguvu ya kuanza kampeni sasa, kwa kutuma SMS zisizopungua 100
yenye neno CHADEMA kwenda 15710.
Kwa wateja wa zain na voda
Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Source: Mtanzania
Mimi nadhani Slaa kaingia choo cha kike. Mshaurini arudi kiumeni. Bungeni
naona umeishiwa hoja unaishia kutuo lugha zisizofaa, haya bw/bi tunashukurui kwa kauli yako, na hii inaonyesha ulikuwa unatetea kitu sio kwa kuwa na hoja bali kwa kuwa hupendi wapinzani washinde, ndio maana unakuja na hoja mfuu, kwamba oh wapinzani bado wachanga , oh karatu/bunge litakosa msemaji (dr Slaa) nk nk, lakini mwisho wa siku umeona hoja zako hazina mshiko unaishia kutumia maneno ya ******.duh! Mpo wengi hapa JF wa sampuli ya kukomalia kitu!. Unauliza swali la wazi hivi? Mimi nadhani Slaa kaingia choo cha kike. Mshaurini arudi kiumeni. Bungeni
Don't underestimate CCM!Umefika wakati wa watu kusimama wahesabiwe kwani msitari tayari umechorwa, ama uko upande wa status quo au mabadiliko. Sasa sio muda tena wa kulialia au kutanguliza hofu, ni muda wa kila moja wetu kusema hapana imetosha na hatuwezi kuendelea kuwa watazamaji na huku taifa linateketea. Humu JF tunashuhudia wapiganaji wa kweli wakijitokeza wazi wazi na kuchukua msimamo huku wenzao, wale asilimia 70%, wakisubiri waone kwanza upepo unaelekea wapi. Hongera Dr. Slaa, sisi wengine hatuna hata wasi wasi kwani twajua Mkwere kenda na maji na huko Uspania saa hizi madaktari wako kazini kumzindua mtu kwani kimbunga chastua ati !
Urais hauna hati miliki!Kwanini agombee kitu ambacho anauhakika wa kushinda ni bora agombee kitu amabacho ataweka ushindani na Urais ndiyo nafasi yake! Congrats Dr Slaa ,naomba nafasi ya Uwaziri ukipata ,nami nianze kujipigia kampeni kwa Mtarajiwa!Well my point is ni jukumu letu sote hata ss tulio nje kumkampenia Dr. Slaa. Inanishangaza pale watu wanaposema kwa nini asigombee ubunge ambao ana uhakika kushinda kuliko uraisi eti ambao ni obviousd JK atashinda.
[U said:Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu[/U];995884]Urais hauna hati miliki!Kwanini agombee kitu ambacho anauhakika wa kushinda ni bora agombee kitu amabacho ataweka ushindani na Urais ndiyo nafasi yake! Congrats Dr Slaa ,naomba nafasi ya Uwaziri ukipata ,nami nianze kujipigia kampeni kwa Mtarajiwa!