Inaelekea uelewa wako ndugu Asenga wa Jakaya hauna tofauti na Mwigulu. Kama unaweza kushindwa kuelewa logic ya kile alichosema Dr. Slaa na badala yake ukaamua ku-spin, basi wewe na mwigulu hamna tofauti.
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu kinachotolewa chuoni hapo. Kadhia hiyo imetokea pale Dr Slaa alipokuwa anajibu Post ya Mwigulu Madelu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambapo Dr Slaa alisema kuwa kulingana na kauli za Mwigulu anazozitoa ni zao la Elimu aliyoipata chuoni hapo ambapo Mwigulu alipata ufaulu wa first class chuoni hapo...
Je maneno haya ya Dr Slaa yanaukweli wowote kuwa chuo hiko kinatoa mazao yasiyofaa na kwamba anayoyasema na kuyafanya mwigulu yanatokana na Elimu yake aliyoipata Chuoni hapo..???
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu kinachotolewa chuoni hapo. Kadhia hiyo imetokea pale Dr Slaa alipokuwa anajibu Post ya Mwigulu Madelu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambapo Dr Slaa alisema kuwa kulingana na kauli za Mwigulu anazozitoa ni zao la Elimu aliyoipata chuoni hapo ambapo Mwigulu alipata ufaulu wa first class chuoni hapo...
Je maneno haya ya Dr Slaa yanaukweli wowote kuwa chuo hiko kinatoa mazao yasiyofaa na kwamba anayoyasema na kuyafanya mwigulu yanatokana na Elimu yake aliyoipata Chuoni hapo..???
Huyu mzee ana tatizo kichwani, nadhani anastahili kupata matibabu a Dr Kigwangalla km anavyompatia lissu
Hawa watu wanadharau kila kitu, mwisho watajidharau wenyewe
Wamedharau jeshi la polisi
Wamedharau Jeshi la wananchi
Wamedharau watendaji wote serikalini, hii ikiwa na maana hata walimu
Na sasa wanadharau vyuo vyetu
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu kinachotolewa chuoni hapo. Kadhia hiyo imetokea pale Dr Slaa alipokuwa anajibu Post ya Mwigulu Madelu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambapo Dr Slaa alisema kuwa kulingana na kauli za Mwigulu anazozitoa ni zao la Elimu aliyoipata chuoni hapo ambapo Mwigulu alipata ufaulu wa first class chuoni hapo...
Je maneno haya ya Dr Slaa yanaukweli wowote kuwa chuo hiko kinatoa mazao yasiyofaa na kwamba anayoyasema na kuyafanya mwigulu yanatokana na Elimu yake aliyoipata Chuoni hapo..???
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu kinachotolewa chuoni hapo. Kadhia hiyo imetokea pale Dr Slaa alipokuwa anajibu Post ya Mwigulu Madelu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambapo Dr Slaa alisema kuwa kulingana na kauli za Mwigulu anazozitoa ni zao la Elimu aliyoipata chuoni hapo ambapo Mwigulu alipata ufaulu wa first class chuoni hapo...
Je maneno haya ya Dr Slaa yanaukweli wowote kuwa chuo hiko kinatoa mazao yasiyofaa na kwamba anayoyasema na kuyafanya mwigulu yanatokana na Elimu yake aliyoipata Chuoni hapo..???
Ukweli uko wazi
nimesoma UDSM
kile chuo wengi wanafaulu kwa kudesa na kubebwa
ndio maana wengi hawauziki katika solo la ajira.
hatujapikwa vema katika kujitegemea au kukubalika katika solo la ajira
Ndio maan first class ya Mwigulu haina tofauti na gentleman pass ya mtu yoyote.
Utakuwa umesoma vyuo vikuu vya Buguruni wewe! Nitakiheshimu chuo cha UDSM daima! Na vilaza mnaodesa mpo tunajua wapo sehemu zote, lakini binafsi najivunia elimu yangu!
Unajivunia nini wewe? Kaa kimya wenda ungeonekana unabusara. Hicho chuo kinazalisha watu wengi dhaifu.[/QUOTE8]
Hili ndo tatizo la shule zenu za siku hizi! Wakati sisi tunasoma, ili uchaguliwe kwenda secondary ulitakiwa kuwa na ufaulu wa kutosha mfn maksi 136 kwa 150 ndo unatoka kijijini kwenda Bwiru Boys! Sasa ninyi wa siku hizi wa shule za kata maksi sijui ni ngapi na huko mnakoenda ni ombwe! Sishangai kusikia hujivunii elimu yako maana ni ya kuunga unga na kudesa. I still believe that Udsm is the best university in Tanzania! Lakini ubora pia waweza kuwa individually! Maana vilaza wanaidesa hata Harvard wapo!
Spin doctor! Huna tofauti na wagalatia