Pilitoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 1,197
- 507
Inaelekea uelewa wako ndugu Asenga wa Jakaya hauna tofauti na Mwigulu. Kama unaweza kushindwa kuelewa logic ya kile alichosema Dr. Slaa na badala yake ukaamua ku-spin, basi wewe na mwigulu hamna tofauti.
mwigulu ni kiboko ya wajingawajinga,kaza mwendo kaka tuko pamoja