Dr Slaa na mchumba wake watakiwa kufika mahakamani

Kazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.
Kaingie kwenye 18 zake nawewe atakupa mimba....
 
Kazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.
Mkuu kuna wakati nilisikia kuwa Mahimbo ameweka pingamizi mahakamani kwamba Dr. asimguse huyo mama, imekuwaje akazaa naye tena na jamaa yuko kimya kama kweli ni mke wake? Hii si ni contempt of the court au?
 


Bila shaka Dr Slaa ameshindwa kufunga ndoa kwa sababu ndoa ya mwanzo haijavunjwa kwa taraka (sheria). Nadhani hata hili neno mchumba sio mahali pake kwa sasa hadi hapo taratibu za kisheria zitakapokamilika.
 
mbona hamumuongelei jamaa yetu, yeye akienda ughaibuni lazima aibukie kwa muswati sijui wana biashara gani kule.
 
Mkuu kuna wakati nilisikia kuwa Mahimbo ameweka pingamizi mahakamani kwamba Dr. asimguse huyo mama, imekuwaje akazaa naye tena na jamaa yuko kimya kama kweli ni mke wake? Hii si ni contempt of the court au?
Nchi hii ndugu yangu vigogo wako juu ya sheria,kwetu sisi walala hoi ndio sheria msumeno utaona kama slaa atafanywa kitu,ataachiwa tu,namuonea huruma sana mwenye mke maana jambo hilo lisikie kwa mwenzako tu usiombe likutokee wewe yani mke wako au mume wako achukuliwe na mtu mwingine hata kwa usiku mmoja tu..
 
Kazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.
Ingekuwa enzi za Mussa angepigwa mawe.Any way waende kwenye case inayowahusu
 
Mkuu kuna wakati nilisikia kuwa Mahimbo ameweka pingamizi mahakamani kwamba Dr. asimguse huyo mama, imekuwaje akazaa naye tena na jamaa yuko kimya kama kweli ni mke wake? Hii si ni contempt of the court au?

Hadi amezaa na Josephine, Dr Slaa yuko kimya sana angetoka kufafanua hili jambo litamchafua pasipo sababu. Kama ameamua kuishi na huyo mama hana sababu za kukaa kimya wakati jamii inaumba maneno mengi juu ya uhusiano huo wa kimapenzi.
 
suala hili liko mahakamani hairuhusiwi kuendeleza mjadala hadi pale kesi ya msingi itakapoisha. kuendelea kujadili ni kuingilia uchunguzi na upelelezi.

JF itafungwa kwa amri ya mahakama.
 

huyo josephine ni mchumbaaa au hawara!!!!!! I dont get it
 
Hivi Slaa, akiamua kufunga ndoa kwa Mkuu wa Wilaya atakatazwa?
 
Kazaa naye mtoto hivi majuzi, ni ajabu ya tatu kabla hata mahakama haijatoa taraka. Mahimbo anaweza kufungua kesi nyingine ya kuzaa na mke wake.

usilolijua nikama usiku wa giza.akili za wanywa pombe kupita kiasi.
 
Hivi Slaa, akiamua kufunga ndoa kwa Mkuu wa Wilaya atakatazwa?
Mkuu hawezi kukatazwa. Hata mimi nilikuwa na mawazo hayo, lakini kuna hili jingine eti kwamba ndoa ya awali ya mama Josephine haijavunjwa. Hivyo basi DC hawezi kufungisha hii ndoa itakuwa ni kuvunja sheria. Ila najua pia kwamba kusuio la ndoa yoyote lazima litangazwe sasa isije ikatokea tena Dr. anatangaza kufunga ndoa na mtu ambaye ni wa mtu. Tuayaache hayo nadhani ni mambo ya wenyewe japokuwa wenyewe ni wetu kwa kuwa wanatuongoza/wanataka kutuongoza.
 
Ndoa ya kanisa haivunjwi kirahisi rahisi hivyo labda akimbilie mahakamani kuivunja nasikia kanisani walikataa.

siyo lazima uwe mwanasheria kujua sheria,unaweza kujisomea vifungu na kuelewa.
Cha ajabu kiko ,wapi?napoamua kuomba Talaka.nani alikwambia kanisha ilikataa!

NILIPOINGIA KWENYE NDOA MAAMUZI YALIKUWA YAKWANGU,SASA NAPOTAKA KUTOKA KWANINI MNATAKA KUSHIRIKISHWA.

Tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu,mnachotakiwa kufanya ni kushahuri the step ahead.
 
Hadi amezaa na Josephine, Dr Slaa yuko kimya sana angetoka kufafanua hili jambo litamchafua pasipo sababu. Kama ameamua kuishi na huyo mama hana sababu za kukaa kimya wakati jamii inaumba maneno mengi juu ya uhusiano huo wa kimapenzi.

pamoja na haki mliyonayo yakutujadili,naomba mtupe mda,haya ni maswala ya mda.
 
Mkuu kuna wakati nilisikia kuwa Mahimbo ameweka pingamizi mahakamani kwamba Dr. asimguse huyo mama, imekuwaje akazaa naye tena na jamaa yuko kimya kama kweli ni mke wake? Hii si ni contempt of the court au?
"Great Thinkers..."
Sasa hapa mada ni Dr. Slaa aitwa mahakamani au Dr. Slaa "kazaa na "mke" wa mtu"?.
Kuna mambo ya maana mengi sana ya kuzungumzia badala ya kupiga umbea wa mahusiano ya watu wengine.
 
Maendeleo ya lesi vipi hapo Arusha? Dr. Slaa na Josephine wamefika? mliopo Mahakamani tunaomba mtujuze kinachoendelea tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…