Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Asipo tii Amri ya Hakim atakuwa amevunja Sheria za nchi kwa hiyo atawezwa kukamatwa kwa amri ya Hakim mkuu Jmushi1 upo na mimi?Hawatathubutu kumkamata...
I can bet on that.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipo tii Amri ya Hakim atakuwa amevunja Sheria za nchi kwa hiyo atawezwa kukamatwa kwa amri ya Hakim mkuu Jmushi1 upo na mimi?Hawatathubutu kumkamata...
I can bet on that.
Wenzako huota ndoto zao usiku wanapolala, wewe unaota mchana kweupeeee! Duuuuh!Mandela walimfunga jela miaka 27 akaukwaa urais, Nyerere alifunguliwa kesi ya Uchochezi hawakumzuia ikulu, sembuse vijikesi mbuzi vya kumbambikia Dr Slaa visivyo na kichwa wala Mkia?
Mandela walimfunga jela miaka 27 akaukwaa urais, Nyerere alifunguliwa kesi ya Uchochezi hawakumzuia ikulu, sembuse vijikesi mbuzi vya kumbambikia Dr Slaa visivyo na kichwa wala Mkia?
Bado naamini hawatathubutu kumkamata.Asipo tii Amri ya Hakim atakuwa amevunja Sheria za nchi kwa hiyo atawezwa kukamatwa kwa amri ya Hakim mkuu Jmushi1 upo na mimi?