Dr Slaa na mchumba wake watakiwa kufika mahakamani

Dr Slaa na mchumba wake watakiwa kufika mahakamani

Bwana Mushi, matendo ya Slaa ndio yatamchafua sio watu.

Mkuu Omr,
Huyu jamaa nimemshangaa hivi anajua maana ya kumchafua mtu kweli.

Kumchafua mtu ni kumsingizia mambo machafu ambayo hakuyafanya, sasa mie sijui nimechafua Slaa, kwa yapi labda Mushi atuambie tumemchafua vipi.
 
Hadi amezaa na Josephine, Dr Slaa yuko kimya sana angetoka kufafanua hili jambo litamchafua pasipo sababu. Kama ameamua kuishi na huyo mama hana sababu za kukaa kimya wakati jamii inaumba maneno mengi juu ya uhusiano huo wa kimapenzi.

Mwenye busara hukaa kimya ila wale wasio na busara hupita wakipayuka hovyo!
 
Nashukuru Mkuu, kwa hiyo kusema Slaa, kachukuwa mke wa mtu ni kumchafua? Kwa hiyo Slaa, hajachukuwa mke wa mtu watu wameamua kumchafua?

Na Josephine ni mke halali wa Slaa? Na hajawahi kuolewa?

Haya ndio yale ya Prince Charles na Camilla miaka michache iliyopita. Hapa Cjajua Huyu atakuwa Ni kimada, mchumba AMA hawara. Mimi Nasubiri siku ya ndoa tu nihudhurie. Lakini Dokta naye ajue kabisa dini hairuhusu tendo bila ndoa.
 
kumbe mchumba wa Dr Slaa ni mke wa mtu, Wilbrod anaishi na mke wa mtu, Mgombea Urais anaishi na Mke wa mtu... ni kwamba hajui sheria au yu pu**y whipped?

Mbona wako wengi tu wanaishi na wake za watu! Yaani hata binti ambaye hajaolewa anatarajiwakuwa mke wa mtu! Na watu wanachakachua tu! Babu Seya yuko jela alikataa mke wa mtu ama alikula vya watu? Mbaya zaidi hao walioko madarakani wakigundua kuwa umegundua ama uishie gerezani kama sio kuuzima kabisa urijali wako. Yaliyomema hufanyika hadharani ila yaliyomaovu hufanyika kizani. Jiangalieni na pia angalia wanaokuzunguka si wasafi hata kidogo. Samahani kama nimehukumu ila ndivyo ilivyo!
 
Haya ndio yale ya Prince Charles na Camilla miaka michache iliyopita. Hapa Cjajua Huyu atakuwa Ni kimada, mchumba AMA hawara. Mimi Nasubiri siku ya ndoa tu nihudhurie. Lakini Dokta naye ajue kabisa dini hairuhusu tendo bila ndoa.

Hualikwi ngo!
 
Kichwa cha habari hii kilitakiwa kisomeke hivi " PADRI MUASI NA MZINZI MWENZIWE WATAKIWA KUFIKA MAHAKAMANI"
 
Mbona wako wengi tu wanaishi na wake za watu! Yaani hata binti ambaye hajaolewa anatarajiwakuwa mke wa mtu! Na watu wanachakachua tu! Babu Seya yuko jela alikataa mke wa mtu ama alikula vya watu? Mbaya zaidi hao walioko madarakani wakigundua kuwa umegundua ama uishie gerezani kama sio kuuzima kabisa urijali wako. Yaliyomema hufanyika hadharani ila yaliyomaovu hufanyika kizani. Jiangalieni na pia angalia wanaokuzunguka si wasafi hata kidogo. Samahani kama nimehukumu ila ndivyo ilivyo!

sawa, wako wengi lakini unataka kuwa na kiongozi mzizi sijui muasherati, la hasha.

Nilidhani Dr Slaa angetenda yale anayohubiri, kwamba tuwe wasafi; usafi sio kwenye ufisadi tu usafi hata kwenye maisha yetu na matendo yaetu ya kila siku. Huwezi kuishi, kuwa na mchumba au kuzaa na mwanamke ambaye ni mke wa mtu hatafu useme mbona kila mtu anaye, this is unacceptable kwa kweli.
 
Ulianza vizuri lakini naona umekujakuchanganya habari katikati; mi nianze hivi kama unataka maamuzi yako yaheshimiwa basi ni wajibu wako kuhakikisha unafanya maamuzi ambayo hayata itilafiana na taratibu zingine na za sehemu nyingine;

Hoja imejikita katika swala lako la ama kujifanya hujui au ni labda kweli hujui na kwa kutaka kuchanganya taratibu za Kidini na za Kiserikali utakuwa hutendei pande hizi mbili haki.

Mosi ni vyema utambue kuwa katika sheria ya ndoa, ndoa natambuliwa kama mkataba baina ya pande mbili tofauti (an agreement (contract) entered voluntarily btn two people of opposite sex the breach of which could lead to legal consequences) kwa hiyo ndoa ni Mkataba unaoweza kuvunjwa ama kuvunjika;

Katika dini nitazungumzia Ukristo ndoa inaamnika kuwa ni muunganiko Mtakatifu (a unification btn two people of opposite sex/gender which is declared and believed to be holy {SACRED}) ambao hakuna mtu anaweza kuuvunja isipokuwa Mungu eg katika kifo na ndiyo maana wanandoa huwa wanapewa kukiri yale maneno "kwa shida na raha, ugonjwa na taabu, sijui umasikini na utajiri mpaka kifo kitakapotutenganisha" na humaliziwa kwa maneno haya alichokiunganisha Mungu mwanadamu hawezi kukitenganisha."


Sasa basi kwa msingi huo kama hutotaka Uhuru wako uingiliwe ni bora akatafuta pale ambapo unadhani fikra na uamuzi wako hautaitilafiana na taratibu za watu wengine ili ukiwa unaenda Kanisani ujue unakwenda kwa kuwa umekubaliana na taratibu za Kikanisa na unapokwenda kwa DC ama kwingineko ni kwamba umekubaliana na taratibu zao ndo maana kunakuwa na option hizo otherwise huwezi tu kulaumu from nowhere.......


Hivyo ndo ya Mzee yeye mwenyewe anajua ugumu uko wapi na ni vyema akaachiwa yeye mwenyewe hapa tutajadili hewa tu ndo maana yeye mwenyewe ama hana mda au anashindwa namna ya kujibu swala hili........

Ni Mzinzi tu kwa lugha rahisi
 
kama josephine na Mumewe wa zamani walishashindwana na kila mtu akakamata ustarabu wake Mume akaamua kuoa mkewmwingine ye Josephine angefanyaje?
 
unaumwa sana wewe,hivi wewe na hiyo sura yako kama kibabu cha miaka 100 utaweza fananisha na dr slaa?

acha kumpenda mtu kip*****vu wewe! Kwani slaa ni nani?
 
Dk Slaa, mchumba wake hatarini kutiwa mbaroni


Peter Saramba, Arusha MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imemwagiza Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa na mchumba wake, Josephine Mushumbuzi na mwanachama mwingine wa chama hichi, Aquilinne Chuwa kufika mahakamani hapo leo vinginevyo itatoa hati ya kukamatwa.
 
Dk Slaa, mchumba wake hatarini kutiwa mbaroni


Peter Saramba, Arusha MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imemwagiza Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa na mchumba wake, Josephine Mushumbuzi na mwanachama mwingine wa chama hichi, Aquilinne Chuwa kufika mahakamani hapo leo vinginevyo itatoa hati ya kukamatwa
 
CCM wanafiki wakubwa, mmendangaya danganya yule jamaa mkampangishia pale upanga ili eti awasaidie kuvuruga uchaguzi na eti kumharibia DR. - Mkamlipia mawakili - mipicha picha ya harusi hadharani, nyie mlishaona mwafrika mwanaume wa shoka anaomba ndoa irudi kwenye magazeti? magazeti na mahakama zinarudisha ndoa? mbona mmemuharibia mwenzenu machoni kwa jamii. harafu kibaya zaidi baada ya uchaguzi tu ulivyoisha mmemtelekeza sasa anaishi kwa shinda kubwa ya kuombaomba. Jami inampokea vipi?

Haya Mtunzeni mumpe mtaji wa biashara au kazi yoyote hapo makao makuu yenu Lumumba maana aliwasaidia mlichokitaka.
 
siyo lazima uwe mwanasheria kujua sheria,unaweza kujisomea vifungu na kuelewa.
Cha ajabu kiko ,wapi?napoamua kuomba Talaka.nani alikwambia kanisha ilikataa!

NILIPOINGIA KWENYE NDOA MAAMUZI YALIKUWA YAKWANGU,SASA NAPOTAKA KUTOKA KWANINI MNATAKA KUSHIRIKISHWA.

Tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu,mnachotakiwa kufanya ni kushahuri the step ahead.
kwa kuwa ww mwenyewe umo jamvini, sio vibaya ukatujulisha je leo uliitikia wito wa mahakama au unasubiri nguvu zitumike? Na kingine kwenye maelezo yako umesema 'unaomba talaka', sasa bibie kuomba kuna mawili, kupewa au kunyimwa. Inakuwaje uanze mahusiano na wengine kabla ya kumalizana na mumeo kwanza? Je asipokubali kutoa talaka utamlazimisha? Au ndio potelea mbali na liwalo na...?
 
Da ni aibu sana kwa mtu kama Dr slaa kuwa na mchumba badala ya mke tena nasikia ni mke wa mtu kama alikuwa Padri akaasi ili awe mtu wa kawaida nae akamate totozi imekula kwake na amelaaniwa mungu huwa achezewi tamaa za mwili zimemponza atazunguka huku na kule hawezi pata Uraisi kamwe inaonekana huyu alifuata Upadri kama ajira wala hakuitwa na mungu ndiyo maana umemshinda na hatuwezi kubali kuongozwa na huyu mtu vinginevyo nchi italaanika bora agombee Freeman Mbowe lakini si huyu mtu ni mchafu watu wanaofuatilia maandiko ya vitabu vya mungu wanajua huyu Babu hatufahi na nawaomba watanzania tumuogope kama ukoma!
 
kwa kuwa ww mwenyewe umo jamvini, sio vibaya ukatujulisha je leo uliitikia wito wa mahakama au unasubiri nguvu zitumike? Na kingine kwenye maelezo yako umesema 'unaomba talaka', sasa bibie kuomba kuna mawili, kupewa au kunyimwa. Inakuwaje uanze mahusiano na wengine kabla ya kumalizana na mumeo kwanza? Je asipokubali kutoa talaka utamlazimisha? Au ndio potelea mbali na liwalo na...?

Mkuu, usiseme hivyo Mushi hatakuwambia umetumwa kumchafua Slaa.
 
huu pia si ufisadi alio ufanya au ufisadi una maana tofauti?

Ahsante Omr! Japo jibu langu lisingekuwa hilo manake maswali mengine ya hovyo kweli sasa kageuza hoja imekuwa ya mtu binafsi, humu ndani wote tukiulizana maswali ya namna hiyo tutafika kweli ila nimjibu tu hivi; nimeathirika kwa namna ambavyo MAHIMBO na Familia yake imeathirika na kwa namna ambavyo reputation ya Mhe. DAKTARI inavyopata dosari ili hali mwenyewe katulia tu...... I am not expecting to have a hooligan President
 
Back
Top Bottom