Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wapo wangapi/idadi kiasi gani?Ice cube,Chris Tucker,Tyson,Napoleon na crew ya Tupac haijaswihi kurasimisha madai yako.Waislam wengi marekani ni wamarekani weusi,loon,ice cube,chriss turker,tyson, napoleon na crew yote ya Tupac, japo waislam weupe USA wapo
Eti dini inakundi kinajiita Islamic jihad na wana silaha za moto. Kwa ajili ya kumpigania Allah halafu huyo Allah anawalipa kufanya ngono na bikira 72 na pombe.Inapaswa dunia nzima ielewe,ukiachana na hiyo uislamu ndio dini inayoeneza chuki na uadui dhidi ya watu wasio waumini wa dini hiyo,na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi na magaidi.
Unamaanisha uislamu ni ujima uliotopea?Unafikiri uislam kama ukristu watu kukaa kujadili nini kitoke nini kiongezwe!?..kelele zote na chuki dhidi ya uislam na kumbe huujui!!
us?Wapo wangapi/idadi kiasi gani?Ice cube,Chris Tucker,Tyson,Napoleon na crew ya Tupac haijaswihi kurasimisha madai yako.
Haujajibu ulichoulizwa...."is expected"...!Unaelewa maana yake?us?
Islam is the fastest growing religion in America. By 2050, the Muslim American population is expected to more than double, from 3.5 million today to 8.1 million. This increase would make Muslims the second-largest religious group in the United States.18 Apr 2022
View attachment 3117690
https://it.usembassy.gov › muslim-a...
Ujima ni nini!?..kuoana jinsia moja!?..binti yako kuingiza mzinzi mwenzie nyumbani kwako na kuona si tatizo?.. wanawake kutembea na vichupi hadharani!?..kulewa kuwa jambo la kawaida?..Unamaanisha uislamu ni ujima uliotopea?
Kwa hiyo mtume hakuwa mwarabu?Maadhali kadai uislam unamfanya mtu kufuata tamaduni za kiarabu/arabisation,basi ni dhahiri uislam haujui na ni haki yake kuhamia kwenye mizimu ya kiafrika, waarabu walimuandama muhammad wakidai anawaharibia tamaduni zao,wakampiga mpaka vita vya damu na nyama
Post niliyokujibu si uliuliza wako wangapi?..hakuna idadi kwenye jibu langu au ushasahau ulichouliza?Haujajibu ulichoulizwa...."is expected"...!Unaelewa maana yake?
Nyie watu uelewa wenu shida sana,si ajabu mnaibiwa na muuza mafuta ya upako na kiboko ya wachawiKwa hiyo mtume hakuwa mwarabu?
Kumbe ni vikundi tu?
Wale ambao nchi nzima ni magaidi ambazo sio Waislam, unawaongeleaje?
Punguza keleleUjima ni nini!?..kuoana jinsia moja!?..binti yako kuingiza mzinzi mwenzie nyumbani kwako na kuona si tatizo?.. wanawake kutembea na vichupi hadharani!?..kulewa kuwa jambo la kawaida?..
USA ina watu wangapi?Na hiyo 3.5 ni asilimia ngapi ya population yao?Post niliyokujibu si uliuliza wako wangapi?..hakuna idadi kwenye jibu langu au ushasahau ulichouliza?
Jibu swali.Nyie watu uelewa wenu shida sana,si ajabu mnaibiwa na muuza mafuta ya upako na kiboko ya wachawi
Kwa hio Iran sio waislamu?Kumbe ni vikundi tu?
Wale ambao nchi nzima ni magaidi ambazo sio Waislam, unawaongeleaje?
Una shida gani?!..au hesabu hujui, nimeweka idadi na asilimia hapo,hesabu za la nne,fanya,lakini hoja uliuliza wapo wangapi,haya mengine ni maumivu ya moyo tuUSA ina watu wangapi?Na hiyo 3.5 ni asilimia ngapi ya population yao?
Yesu mwenyewe aligoma kujibu maswali ya kijingaJibu swali.
Kwa hiyo ukieleza unakua kwa haraka kulinganisha na population yao unaona kuna ukweli?Una shida gani?!..au hesabu hujui, nimeweka idadi na asilimia hapo,hesabu za la nne,fanya,lakini hoja uliuliza wapo wangapi,haya mengine ni maumivu ya moyo tu
Yaani kobazi acha kabisa, wana visasi hao.Inapaswa dunia nzima ielewe,ukiachana na hiyo uislamu ndio dini inayoeneza chuki na uadui dhidi ya watu wasio waumini wa dini hiyo,na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi na magaidi.
Acha uongo.Alijibu yote.Yesu mwenyewe aligoma kujibu maswali ya kijinga