Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinitege na Vijimaneno tulivoviazima kutoka katika Lugha za Wakoloni ni uvivu tu wa Baraza la Kiswahili Tanzania kutunga mbadala wa lugha hizo za Kikoloni.Hilo wala halinishangazi.
Nakuuliza wewe, wewe ni mstaarabu au siyo mstaarabu?
Hapo sasa.
Hoja yake ina mashiko sindioNdio Hoja nzima ya Dr. UMAR.
Ivi wewe waarabu walikufanya nn mbona upo hivyooHilo wala halinishangazi.
Nakuuliza wewe, wewe ni mstaarabu au siyo mstaarabu?
Hapo sasa.
Hoja yake ina inamashiko hilo halina ubishi.Hoja yake ina mashiko sindio
Mtume alikuwa muongo sana yaaan kifupi kajipa utumeAbuu lahab alikuwa amii yake mtume na hakumkubali na hakuwa muislam, sembuse yeye Allah hapungukiwi kitu hata dunia zima tukigoma kumuabudu,
Tatizo sio kugoma kuabudu tatizo ni kutenganisha Dini na Culture ya Kigeni kweni huwezi kumuabudu Allah bila kusema Kiarabu?!Abuu lahab alikuwa amii yake mtume na hakumkubali na hakuwa muislam, sembuse yeye Allah hapungukiwi kitu hata dunia zima tukigoma kumuabudu,
Walinipa ustaarabu.Ivi wewe waarabu walikufanya nn mbona upo hivyoo
Nimekuuliza swali, vipi wewe, mstaarabu au siyo mstaarabu?Tatizo sio kugoma kuabudu tatizo ni kutenganisha Dini na Culture ya Kigeni kweni huwezi kumuabudu Allah bila kusema Kiarabu?!
Jina la Allah halina wingi hata kwenye kiarab lakini mungu lina wingi kwahiyo utapo tumia mungu inamaana ana washirika yaani miungu mingine ila unapo sema Allah, hakuna wingi wa jina hilo popote dunia katika lugha yoyoe ileUnaona hapo huwezi kumuelezea Mungu kwa lugha yako hadi urejee neno allah
Kwani ulisema Mungu tu maana itabadilika?
Sina sababu ya kukutega, swali langu kwako jepesi sana.Usinitege na Vijimaneno tulivoviazima kutoka katika Lugha za Wakoloni ni uvivu tu wa Baraza la Kiswahili Tanzania kutunga mbadala wa lugha hizo za Kikoloni.
Kila lugha ina maneno ya kuazima hata Kiarabu chenyewe kina maneno ya kuazima kutoka katika lugha nyingine.
Utumwa wowote ni mbaya.Teh! Black America washaanza kushtukia utumwa wa mwarabu ulikua mbaya zaidi kuliko wa mzungu
Umeenda kumuabudu mungu aliezaliwa na binadamu kama wewe, akanyonya, akatahiriwa, na mwisho akasulubiwa hongera sana.Kumbe wewe ni kama mimi, mimi nilikuwa Mwisilamu, nikabadri dini fasata na kuwa Mkristo,
Tangu nipokee wokovu, sjawahi kujuta, nilikuwa naumwa sana kichwa kabla, niliombewa nikaanguka mapepo, tangu siku ile nilipona kichwa mpaka leo
Mungu hana lugha Allah jina la kiarab lisilo na wingiKamusi ya Luha ya Mungu?! nani kakuambia Mungu ni Mwarabu?
Thibitisha uwongo wakeMtume alikuwa muongo sana yaaan kifupi kajipa utume
Kabla ya ujio wa mtume muhammad waarab wa makka waliuwa na culture zao, baada ya hapo waarab waka copy kwenye uislam mpaka hii Leo,Tatizo sio kugoma kuabudu tatizo ni kutenganisha Dini na Culture ya Kigeni kweni huwezi kumuabudu Allah bila kusema Kiarabu?!