KISWAHILI Kinaeleweka na Asilimia 95+ ya Watanzania.Kwanini kiswahili wakati TZ tuna makabila 120+ na kila kabila Lina lugha yake?! Kuswali na kuadhini kwa kiswahili si kuwatia watu wa makabila mengine katika utumwa wa waswahili?!
View attachment 3119878
Senegal na Nchi nyingine za West Africa zimeanza kuamka na kupiga Marufuku Hijabu.
Mungu Mkubwa hatimae Mwafrika anaamka.
Mwaka 2016 nikiwa barabarani jijini Kairo nchini Misri (Egybt) nilikutana na mwarabu mmoja raia wa nchi hiyo na katika mazungumzo akaniambia kwamba "rais wa Misri ( mh Abdel Fattaah Al sisi ) anauchukia uislamu"View attachment 3119969
Rwanda wameshapiga Marufuku Burka. Safi sana.
Kuzunguka Al Kaaba na kubusu jiwe jeusi sio upagani bali ni ibada iliyoasisiwa na Nabii Ibrahim na mwanae Nabii Ismaili عليهما السلام.Usinihamishe kwenye Mada nilikujibu uliposema Waarabu walimpinga Mohamed.
Nikasema Mohamed alikuwa Mwarabu na Dini yake ni ya Kiarabu alichobadilisha ni kuondokana na Polytheism ndio maana alichukiwa.
Lakini ibada za Wapagani za kuzunguka maka na kubusu JIWE JEUSI ziko palepale hadi leo.
Huo ni uongo wa mchana Ibada za Kipagani ziliingizwa kwenye Uisilamu kilichobadilishwa ni kuzunguka Kaaba huku wamevaa nguo kabla ya Muhammad walikuwa wakizunguka uchi.Kuzunguka Al Kaaba na kubusu jiwe jeusi sio upagani bali ni ibada iliyoasisiwa na Nabii Ibrahim
Khanga na vitenge huvaliwa kwa namna na mitindo tafauti.Huwa anavaa Khanga na Vitenge sio lazima niweke picha.
Huo ni uongo wa mchana Wakati wa Muhammed katika Karne ya 7 hakukutana na Farao ni stori alizozikopi kutoka kwenye Bible na Torah.
Wewe umetuletea picha za wanawake toka Iswatini na Afrika Kusini kwamba ndivyo wanawake wakiafrika wanavyovaa.Ninachotaka kukuelewesha ni kwamba Mke wangu havai Mabuibui wala Hijabu.
Wewe umetuletea picha za wanawake toka Iswatini na Afrika Kusini kwamba ndivyo wanawake wakiafrika wanavyovaa.
Sasa ndiyo nikataka utuletee picha ya mkeo tuone kama anavaa hivyo ili na sisi wake zetu tuwanunulie nguo za kiafrika!
Huna HojaWewe umetuletea picha za wanawake toka Iswatini na Afrika Kusini kwamba ndivyo wanawake wakiafrika wanavyovaa.
Sasa ndiyo nikataka utuletee picha ya mkeo tuone kama anavaa hivyo ili na sisi wake zetu tuwanunulie nguo za kiafrika!
Hizo ni tabia za kiarabu za kuzuia Nyege kwa VITAMBAA wakati Nyege inatakiwa izuiwe kwenye NAFSI.Mimi MKE wangu anavaa hivi na nikimuona hivi moyo wangu unavutiwa sana na nakuwa mwenye furaha upendo na amani sana ya kwamba Al hamdu lillaah Allaah kanipa MKE anayejua lengo la yeye na Mimi kuwepo hapa duniani kuwa ni kumtimikia yeye Allaah na kufuata amri zake pamoja na Mila, tamaduni, desturi na maadili aliyofunfisha mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.