Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi mungu wetu ni Allaah الله na anayo majina mengine mazuri na matukufu wala haitwi ngai .Maadamu malengo ya kusali ni kumuabudu MUNGU NGAI sisi Waafrika tutumie Lugha zetu.
Hata Waturuki wameoindoa Lugha ya Kiarabu kwenye Shule zao ili kuepukana na Arabization.
Nimekuuliza je unajua kuwa waarabu walimpiga vita mtume Muhammadi صلى الله عليه وآله وسلم.Tunachopinga ni Uislamu kutumika kama Trojan Horse kuingiza Utamaduni wa Mwarabu Afrika.
Mtume wenu alikuwa Mwarabu na Dini yake ya Kiarabu alichobadilisha ni kuondokana na Polytheism na kusimika Monotheism ndio maana WAARABU WENZAKE wakamchukia.Nimekuuliza je unajua kuwa waarabu walimpiga vita mtume Muhammadi صلى الله عليه وآله وسلم.
Allaah ni mungu wetu waislamu wa makabila na mataifa yote.Huyo Allah ni wa Waarabu MUNGU NGAI ni wetu sisi WAAFRIKA. "MAABIDI"
Sio kweli, usitake KUFOSI hiyo Allah wenu kwetu sisi sisi tumeumbwa na MUNGU/NGAI.Allaah ni mungu wetu waislamu wa makabila na mataifa yote.
Sasa wewe unataka turudi kwenye ibada za kuabudu miungu mingi kama walivyokuwa waarabu kabla ya uislamu na tuache kuabudu Mungu mmoja kama alivyofunfisha mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم!!!Mtume wenu alikuwa Mwarabu na Dini yake ya Kiarabu alichobadilisha ni kuondokana na Polytheism na kusimika Monotheism ndio maana WAARABU WENZAKE wakamchukia.
Lakini Rituals ni zile zile kama kuzunguka Kaaba na Kubusu Jiwe Jeusi.
Hebu weka picha ya mkeoView attachment 3120032View attachment 3120034View attachment 3120031
Angalia Wanawake wetu wa Kiafrika wakiwa katika Mavazi yao ya Asili wanavyopendeza.
Usinihamishe kwenye Mada nilikujibu uliposema Waarabu walimpinga Mohamed.Sasa wewe unataka turudi kwenye ibada za kuabudu miungu mingi kama walivyokuwa waarabu kabla ya uislamu na tuache
Kwanini kiswahili wakati TZ tuna makabila 120+ na kila kabila Lina lugha yake?! Kuswali na kuadhini kwa kiswahili si kuwatia watu wa makabila mengine katika utumwa wa waswahili?!KISWAHILI.
Kwahiyo rafiki unataka waafrika wote tufanane na huyu jamaa??!!😂😂😂😂😂View attachment 3119907
Wisdom of ancestors