Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
raraa reree kwa mitazamo hii kuna haja ya kujiuliza kwanini majina ya kibantu yametoweka? 🤣Muislamu gani anaitwa Johnson?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
raraa reree kwa mitazamo hii kuna haja ya kujiuliza kwanini majina ya kibantu yametoweka? 🤣Muislamu gani anaitwa Johnson?
Niliyosema yatawafaa wale wenye akiliSheikh unakubali kiwepesi kama hivi?
Hivi una habari mtume aling’oka meno akiipambania dini?halafu upo hapa kusema uislam ndiyo dini bora huku kuthibitisha hutaki?
Unazidi kuchanganya madesa tu!B. ˹through which˺ the angels and the ˹holy˺ spirit1 will ascend to Him on a Day fifty thousand years in length.
a. Allah anasema siku moja ya
[22:47] Wanakuomba uiharakishe adhabu. Hakika Mwenyezi Mungu havunji ahadi yake. Na Siku moja kwa Mola wenu Mlezi ni kama miaka elfu ya hisabu yenu.
amekwenda kwenye dini ya mababu zake, hakuna dini isiyo sambaza chukiInapaswa dunia nzima ielewe,ukiachana na hiyo uislamu ndio dini inayoeneza chuki na uadui dhidi ya watu wasio waumini wa dini hiyo,na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi na magaidi.
Si kweli kwamba Kiarabu ndio lugha pekee ya kuongea Na Allah. Allah utaongea nae kwa lugha yeyote ile. Hio kiarabu ni kwajili ya umoja kwamba tumeumbwa kwa lugha tofauti hivyo tukikutana pale kwa mfano Maka kuhiji kila mtu aongee kilugha chake utakua sio ustaarabu hivyo ibada inaendeshwa kwa kiarabu tena muhimu ni ile sura ya kwanza kimpangilio katika Quran Al fatihah ambayo kila muislam anaijua hata iweje lazima kwakweli Mungu alliturahisishia hio sura alhamdulillah.Kitendo tu cha kuhalalisha kiarabu iwe lugha pekee ya kuongea na alaa hiyo ni dosari
Ndio maana Allah akaweka utaratibu kuepusha dini yake ya haki kuendeshwa na matakwa ya watuuMkuu, nami nilikuwa nawaza kwamba huo mwito wa ibada (wazana) hauna tafsiri kwa lugha zingine? Nilitamani sana tuusikie kwa lugha zingine kama "kindengereko " ingikuwa poa sana.
Ukiwa na akili timamu na mfuatiliaji wa mambo nje ya yale unayokaririshwa msikitini, utaukimbia uislamu.
Unless, uwe unanufaika nao.
Kwanza Mungu aliyetuumba tuongee lugha tofauti Hana akili ila nyie waislamu jau sana,Si kweli kwamba Kiarabu ndio lugha pekee ya kuongea Na Allah. Allah utaongea nae kwa lugha yeyote ile. Hio kiarabu ni kwajili ya umoja kwamba tumeumbwa kwa lugha tofauti hivyo tukikutana pale kwa mfano Maka kuhiji kila mtu aongee kilugha chake utakua sio ustaarabu hivyo ibada inaendeshwa kwa kiarabu tena muhimu ni ile sura ya kwanza kimpangilio katika Quran Al fatihah ambayo kila muislam anaijua hata iweje lazima kwakweli Mungu alliturahisishia hio sura alhamdulillah.
Baada ya swala maombi yote uombe kwa lugha inayotaka wewe
uislamu na ukristo havivundishi ugaidi, vikundi vya kigaidi vinatokea kwasababu mbalimbali, ndefu kujadiliUkristu unasema kuua ni dhambi na ndiyo maana tuna agano jipya.
ila je ukishambuliwa utakaa kimya?
Unajua zamanı black America wengi walidhani kwamba uislam ndio dini ya mtu mweusi/muafrica ila sasa wengi wameshaamka na kushtukia uwongo wa mwarabuMaadhali kadai uislam unamfanya mtu kufuata tamaduni za kiarabu/arabisation,basi ni dhahiri uislam haujui na ni haki yake kuhamia kwenye mizimu ya kiafrika, waarabu walimuandama muhammad wakidai anawaharibia tamaduni zao,wakampiga mpaka vita vya damu na nyama
"na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi"Inapaswa dunia nzima ielewe,ukiachana na hiyo uislamu ndio dini inayoeneza chuki na uadui dhidi ya watu wasio waumini wa dini hiyo,na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi na magaidi.
Allah alituumba tuongee lugha tofauti ili tupate kumjua yeye kuwa ndiye mwenye uwezo wa kuumba atakavyoKwanza Mungu aliyetuumba tuongee lugha tofauti Hana akili ila nyie waislamu jau sana,
Ndiyo.Na ukristo pia utaukimbia.
Bado hujaj8bu Hoja ya Dr.Umar Johnson.Maadhali kadai uislam unamfanya mtu kufuata tamaduni za kiarabu/arabisation,basi ni dhahiri uislam haujui na ni haki yake kuhamia kwenye mizimu ya kiafrika, waarabu walimuandama muhammad wakidai anawaharibia tamaduni zao,wakampiga mpaka vita vya damu na nyama
Bilifikiri ndio nini !.Ooh, bilifikiri utasema Mazayuni.
Uislamu unaruhusu kuua asiye muislamu na aliyebadili Imani kutoka uislamu kwenda kwingineuislamu na ukristo havivundishi ugaidi, vikundi vya kigaidi vinatokea kwasababu mbalimbali, ndefu kujadili