Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Kiarabu na uislamu huwezi ukatenganisha, peponi lugha itakayozungumzwa ni kiarabu, na sio kichina, kiswahili au kiingereza n.k. sema watu kama wewe huwezi elewa
Acha kudanganya Waafrika na hiyo Pepo yenu, nitajie Mtu hata mmoja aliyeenda na kurudi kuja kuhadithia?!
 
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.

Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu tena bali amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika, yaani African Spiritualism.


View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS

Dini zote hazina faida yoyote kama kuna mtu amefaidika kupitia dini atuambie labda wezi wa sadaka
 
ashura-muharram-nasheed-performance-africa-nauha-muslims-program-nakuru-kenya-46171142.jpg

Utasema sisi Waafrika hatuna Culture!
 
Zulu-Dance-Blog-Volume-4-French-Deal-1.jpg

Waafrika tuna Mila na Tamaduni zetu
 
elderly-rastafarian-man-smoking-cannabis_464863-3487.jpg

Tumeumbwa na MUNGU kuwa Waafrika na tuna Mila na Tamaduni zetu.
 
Reviving-the-Oral-Traditions-of-Africa.jpg

African Culture. Wodabe Tribe of Niger.
 
23102018_france_full_face_veil.jpg

Arab Culture, Arabized African Woman.
 
220px-N°3_HAÏK_alt_version.jpg

Wanawake wa Kiarabu wakiwa wamevalia Mavazi ya Utamaduni WAO.
 
7_burqa.jpg

Wanawake wa Kiafrika waliolaghaiwa ili kufuata Utamaduni wa Kigeni.
 
Ingawa siafiki huko alikokwenda.

Ila ana hoja asikilizwe.
 
Back
Top Bottom