Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My name is wayne palmer not john wayne...nipo hapahapa kaka yangu...
Nakukubali sana...ila unapo-turn radical haah...nasikitika sn..kwa sababu najua unavitu vingi...
Kama nchi hii inakuwa institution..basi wewe ni kati ya wale tunawaita...institutional memories...watu muhimu sana..
Kwa Tanganyika ni maeneo hayo tu? Na kwa Nchi ya Zanzibar je?
Aahhh...kaka mpaka sasa unasali msikiti wa manyema?!...badilisha bana....LOL
Mkuu nadhani uliwahi kuwataja akina Dk.Kyaruzi na Dk.Mutahangarwa kama sikosei, hapa baadhi ya wana JF wanataka kukuchemsha tu MkuuMS, sikumbuki kama uliwahi kusema Dk.Kyaruzi alisilimu(not sure of the term) na kujulikana kama Alhaji Dk.Kyaruzillah bin Iwe bin Bojo!! Mkuu ninacho kiona mimi nafikili baadhi ya members wanaona katika simulizi zako, wakina Dk.Kyaruzi na wenzake hawakupewa uzito wa kutosha in othewords walitajwa in a watered down format - tatizo ndilo hilo mkuu, I might be wrong.Remote,Inaelekea hujasoma kitabu changu.Kitabu kimewataja wote walioshiriki katika harakati za kupigania uhuruDk. Kyaruzi akiwa mmojawapo.Usifanye haraka ya kulaumu kabla hujasoma yaliyoandikwa.
Kwani huyu ni wa gerezani, kipata na aggrey. Naona sasa unaanza kuwa objective sio kila siku gerezani kana kwamba Tanganyik ilkuwa hapo tu.
Mkuu nadhani uliwahi kuwataja akina Dk.Kyaruzi na Dk.Mutahangarwa kama sikosei, hapa baadhi ya wana JF wanataka kukuchemsha tu MkuuMS, sikumbuki kama uliwahi kusema Dk.Kyaruzi alisilimu(not sure of the term) na kujulikana kama Alhaji Dk.Kyaruzillah bin Iwe bin Bojo!! Mkuu ninacho kiona mimi nafikili baadhi ya members wanaona katika simulizi zako, wakina Dk.Kyaruzi na wenzake hawakupewa uzito wa kutosha in othewords walitajwa in a watered down format - tatizo ndilo hilo mkuu, I might be wrong.
sasa ni kwa nini historia ifichwe??
Samahani mkuu nilikuwa sijasoma attachment yako, nimeipitia inaeleweka. Hivi Dk.Kyaruzi hakuacha popote copy ya manuscripts ya kitabu alicho taka ku-publish nasikia hata baadhi ya manuscripts za historia ya Sykes ziliwahi kupotea kimihujiza kuan ukweli gani katika hilo - tujuze mkuu. Kitu kingine Je, Dk. Mutahangarwa and Dk.Tsere walihishia wapi? Inaelekea Dk. Michael Lugazia na Dk.Kyaruzi waliendelea na mambo ya Uganga wa binadamu, in fact katika kukua kwangu sikuwahi kusikia Dk.Lugazia kujihusisha na mambo ya siasa. Mengine ntakuhuliza kadri tunavyo kwenda. CHEERS.Bukyanagandi,Kama ungenipatia majina ya hao ''watered down format'' In Sha Allah mimi ningechambua na kuwekajamvini jinsi nilivyowaandika katika kitabu.Natoa changamoto kwako na kwa yoyote yule alete majina.Dk. Kyaruzi baada ya kuchaguliwa rais wa TAA 1950 hakudumu kwani 1951 akapewa uhamishokwenda Kingolwira kisha Nzega.Kwa siasa za pale New Street huo ndiyo ukawa mwisho wake.Ikiwa kama kuna mtu ana taarifa zake zaidi jamvi ndilo hili na atuletee maneno tufaidike.
Mkuu napendekeza barabara karibu na Posta imepakana sana na ilipokuwa Hospitali yake. R.I.P Dk.Kyaruzi.Tumempa barabara hadi Kibaki lakini tuna wazalendo lukuki hata barabara za huko mikoani tunashindwa kuwapa. Itabidi akina Amani wa bukoba tuwaambie wampe Kyaruzi hata ile barabara ya Kashai kama kumbukumbu.
Mkuu napendekeza barabara karibu na Posta imepakana sana na ilipokuwa Hospitali yake. R.I.P Dk.Kyaruzi.
Nguruvi,
Mbona unajipongeza kwa silo?
Kwani hujasoma kitabu changu?
Hayo unayojisifia kuwa nimerekebisha mbona sihabadili kitu?
Yote hayo yamo kwenye kitabu changu.
Sasa wewe na Remote hiyo elimu mnayojipongeza mmetoa
kunibadili ni elimu ipi?
Huo ukweli ni ukweli upi?
Hiyo nguvu yako ya hoja iko wapi?
Ala hata kabla hujadurusu unaingia ulingoni na Mohamed Said!
We unataka kufia ulingoni?
Nguruvi una kichwa kigumu sana wewe mtu.
Nimekuwekea habari za Dk. Kyaruzi tena kwa namba kuanzia 1-...
Nikakueleza kuwa haya yametoka katika kitabu changu na juu
ya haya yote unakuja na hayo hapo juu...
Au ile post imekupita hukuisoma?
Sasa si unamtafuta undani Faiza bila ya sababu?
Sijawahi kucheka kama nilivyocheka leo! Duh, Mohamed Said! Eti anadhani itapatikana faida kwa kumkumbuka Dr. Vedasto Kyaruzi daktari mpigania uhuru kwa kutuletea makala iliyojaa ngano ambazo kama kawaida si zaidi ya porojo zilizotawaliwa na histohisia. Hadithi, hadithi! uongo njoo utamu kolea! Nitarudi.
Ingelikuwa ni Abdu Sykes, Sheikh Hassan Bin Ameir na Mshume Kiyate nao ungelipendekeza wapewe barabara?????
This is just silly! ni habari ile ile ila kivingine! kwa kutumia Dr. Kyaruzi unataka kutuelekeza kuhusu Sykes! na kwa mgongo wake unataka kutuelezea histohisia ile ya kidini.