Dr. Vedasto Kyaruzi daktari mpigania uhuru wa Tanganyika

Dr. Vedasto Kyaruzi daktari mpigania uhuru wa Tanganyika

Udadisi,


  1. Tandon called Abdulwahid and other patriots like Chege Kibachia, Makhan Singh, Fred Kubai, James Kivu, I.K. Musazi, Erika Fiah and Gama Pinto as veteran leaders of the struggle of the peoples of East Africa... whom our recent historians have forgotten.
  2. Ramadhani Mashado Plantan broke this monopoly and unholy alliance between the colonial government and missionaries. Following the footsteps of Erika Fiah, the first African to publish a newspaper in colonial Tanganyika, Mashado registered his own paper Zuhra.
  3. Kleist was secretary of the African Association for many years with a brief period in 1933 when he resigned after clashing with Erika Fiah.
  4. But Fiah did not stay long in power; he was soon phased out by Union members and one Salum Mohamed took over the leadership from him.
  5. Fiah, Kleists arch-enemy was elected General Secretary of the Dockworkers Union to replace him. But Fiah did not stay long in power; he was soon phased out by Union members and one Salum Mohamed took over the leadership from him.
  6. Abdulwahid should resign and pave the way for Fiah to take over leadership of the union. This created two factions within the union. One faction wanted Abdulwahid to continue leading the union and another called for his immediate resignation.
  7. Fiah was preferred because dockworkers thought Abdulwahid was too moderate and supported Fiahs radical stand.
  8. Abdulwahid also came to learn that his former opponent for the union post and his fathers political adversary of many years, Erika Fiah, was instigating the union leadership to overthrow that South African son of Kleist.
  9. A biography of Erika Fiah is in Kwetu No.11, 4 th August, 1940.
Sheikh Mohamed Said shurkan kwa huu ulimbo.
 
Last edited by a moderator:
Bi mkubwa, hakuna hata askofu aliyewahi kukemea biashara hiyo, mbaya zaidi kule "west Africa" wakati wa "Trans Atlantic Slave" baadhi yao walisafiri na wafanyabishara haramu ya watumwa na kuwabatiza baadhi ya watumwa hao. Je, unajua kuwa baadhi ya masheikh na maustaadh kule Zanzibar walikuwa wanawamiliki na kuwauza watumwa?

Hilo wala halina shaka liko wazi kabisa, tena wateja wao wakubwa walikuwa wazungu, mpaka chumba cha hifadhi watumwa hapo Unguja kipo ndani ya Kanisa Anglikana, underground, umeshakitembelea?. Mbona si huko tu? huku bara hiyo ndiyo ilikuwa biashara ya machifu, wakiuza Waafrika wenzao.

Isitoshe, unajuwa kuwa hiyo biashara haijaisha mpaka leo? sasa imebadilishwa jina tu. Kuna ma employment agents kibao tu. Kuna watu wanaitwa ma "scouts" kazi zao kutazama vipaji vya watu na kuwauza amma ndani ya nchi amma nje ya nchi. Unajuwa leo nikitaka hausigeli kutoka mkoani haraka haraka nawasiliana na madalali, kila kichwa wanacholeta wanachukuwa ujira wao. Hata wewe ukitaka baa meidi si unajuwa wapi pa kuwapata?

Utumwa haujaisha duniani, unaendelea mpaka leo:

There are 21-30 million people in slavery today. They are forced to work without pay, under threat of violence, and they're unable to walk away. You can find them in brothels, factories, mines, farm fields, restaurants, construction sites and private homes. Many slaves have been tricked by traffickers who lure vulnerable people with false promises of good jobs or education. Some slaves are marched to work at gunpoint. Others are trapped by phony debts from unscrupulous moneylenders. Slavery is illegal everywhere, but it happens nearly everywhere.

Source: About Slavery - Free the Slaves


Isitoshe, unajuwa katika nchi 160 duniani, Tanzania ni ya 29 kwa biashara ya utumwa hivi sasa?

Jisomee: http://www.globalslaveryindex.org/findings/?gclid=CL-fqLvYrLoCFfHKtAod6SQAPA#overview
 
baada ya Nyerere kutoka UNO ndipo Dossa Aziz a.k.a the Bank akachukua jukumu la kumlipa Mshahara Nyerere kwa kipindi choote cha harakati...maana kule UNO aliambiwa achague kati ya ualimu au Siasa na yeye akachagua Siasa...

Lakini historia Mdebwedo ya Tanzania ati inasema Dossa the Bank alikuwa ni Dereva wa Nyerere...

Teh teh kwa Gari gani haswa?
 
Natamani nisikie mnatuletea habari za askofu au wachungaji waliopigania uhuru wa Tanganyika, au Kanisa lilikuwa halipo siku hizo?

Hivi KUPIGANIA UHURU ndo kufanyaje vile??? Hivi nyie mnataka tuamini kwamba waazilishi wa TAA/TANU ndo WALIOPIGANIA uhuru TU! Vipi waliomwaga damu kwenye vita vya Maji Maji, akina Mkwawa , Mirambo and all over Tanganyika , walikufa for what??? Uhuru!!! Kila Mtanganyika aliyekuwa mtu mzima kabla ya 1961 alipigania uhuru, period!!
 
Hilo wala halina shaka liko wazi kabisa, tena wateja wao wakubwa walikuwa wazungu, mpaka chumba cha hifadhi watumwa hapo Unguja kipo ndani ya Kanisa Anglikana, underground, umeshakitembelea?. Mbona si huko tu? huku bara hiyo ndiyo ilikuwa biashara ya machifu, wakiuza Waafrika wenzao.

Isitoshe, unajuwa kuwa hiyo biashara haijaisha mpaka leo? sasa imedilishwa jina tu. Kuna ma employment agents kibao tu. Kuna watu wanaitwa ma "scouts" kazi zao kutazama vipaji vya watu na kuwauza amma ndani ya nchi amma nje ya nchi. Unajuwa leo nikitaka hausigeli kutoka mkoani haraka haraka nawasiliana na madalali, kila kichwa wanacholeta wanachukuwa ujira wao. Hta wewe ukitakka baa meidi si unajuwa wapi pa kuwapata?

Utumwa haujaisha duniani, unaendelea mpaka leo:



Isitoshe, unajuwa katika nchi 160 duniani, Tanzania ni ya 29 kwa biashara ya utumwa hivi sasa?

Jisomee: http://www.globalslaveryindex.org/findings/?gclid=CL-fqLvYrLoCFfHKtAod6SQAPA#overview
cc. Mohamed Saidi
 
baada ya Nyerere kutoka UNO ndipo Dossa Aziz a.k.a the Bank akachukua jukumu la kumlipa Mshahara Nyerere kwa kipindi choote cha harakati...maana kule UNO aliambiwa achague kati ya ualimu au Siasa na yeye akachagua Siasa...

Lakini historia Mdebwedo ya Tanzania ati inasema Dossa the Bank alikuwa ni Dereva wa Nyerere...

Teh teh kwa Gari gani haswa?
Hii ndio sumu ya Mohamed Saidi, mwenyewe akisoma hapa bichwa linamvimba!
 
Hilo wala halina shaka liko wazi kabisa, tena wateja wao wakubwa walikuwa wazungu, mpaka chumba cha hifadhi watumwa hapo Unguja kipo ndani ya Kanisa Anglikana, underground, umeshakitembelea?. Mbona si huko tu? huku bara hiyo ndiyo ilikuwa biashara ya machifu, wakiuza Waafrika wenzao.

Isitoshe, unajuwa kuwa hiyo biashara haijaisha mpaka leo? sasa imedilishwa jina tu. Kuna ma employment agents kibao tu. Kuna watu wanaitwa ma "scouts" kazi zao kutazama vipaji vya watu na kuwauza amma ndani ya nchi amma nje ya nchi. Unajuwa leo nikitaka hausigeli kutoka mkoani haraka haraka nawasiliana na madalali, kila kichwa wanacholeta wanachukuwa ujira wao. Hta wewe ukitakka baa meidi si unajuwa wapi pa kuwapata?

Utumwa haujaisha duniani, unaendelea mpaka leo:



Isitoshe, unajuwa katika nchi 160 duniani, Tanzania ni ya 29 kwa biashara ya utumwa hivi sasa?

Jisomee: http://www.globalslaveryindex.org/findings/?gclid=CL-fqLvYrLoCFfHKtAod6SQAPA#overview

Kuna askofu mmoja anaitwa ABBAS MTEMVU ni mwenyekiti wa Bravo Job Center anawapeleka madada kufanya kazi ndani Dubai : *ABBAS MTEMVU AENDELEA KUWAPATIA WATANZANIA KAZI DUBAI ~ SUFIANIMAFOTO
 
Alichofanya Mohamed Said ni kuwarudisha wazee wa Kiislam waliokuwa wamefutwa kwenye historia ya Tanganyika.

Huko ndiyo kuutumia Uislam vibaya?
Huu ndio kutokujua historia na misingi ya historia! nani anaweza kufuta matukio yaliyokwisha tokea? anachofanya mchochezi Mohamed Said ni kuyatafsiri matukio ya kihistoria kwa manufaa yake ya kishetani na sio vinginevyo!
 
Hahaaaaahaa nilishasema vita hii ninayopigana na wewe ni vita kubwa, na ni vita kati ya wema na ubaya,

Wewe unaongoza ubaya na mimi naongoza uzuri,

Naona umekuja kwa mwavuli wa Dr Kyaruzi, lakini sumu ni ileile,

Vita kati ya wema na ubaya siku zote wema hushinda, ndio hushinda kwakuwa palipo wema na Jah yu kati yake,


Naaaam ngano za gerezani zimekosa mlaji, na sasa imekubali matokeo.

Karibu Mohamed Said,

Tukimaliza kumsoma huyu Daktari wa Kwanza kabisa Tanganyika, nitakuleteeni tumsome Mwalimu wa kwanza kabisa na muasisj wa AA Mwalimu Cesil Matola, Kisha tutamsoma Shehe Issa Bin Amir, na kumsoma tena mwana wa hekima za pwani na Mvuvi mashuhuri katika pwani ya Azania, si mwingini bali ni Mzaramo halisi bwana Ally Ramadhani,


Hao nisehemu muhimu ya historia ya mapambano ya uhuru wa Tanganyika
 
Shariff Ritz,
Ulimbo mzuri sana kwa kutegea shorwa.
Lazima atanasa.

Zamani enzi za utoto wakati Dar es Salaam bado ndogo.

Wakati wa likizo tukitege ndege Bonde la Msimbazi kulia kwa daraja la Magomeni
Morogoro Road.


Sheikh Mohamed Said.


Je hao shorwa/shorwe uwazungumziao ni wale shorwe vibwenzi!?...maana nakhis hao ndo walojazana humu Jf.

Ahsanta.
 
baada ya Nyerere kutoka UNO ndipo Dossa Aziz a.k.a the Bank akachukua jukumu la kumlipa Mshahara Nyerere kwa kipindi choote cha harakati...maana kule UNO aliambiwa achague kati ya ualimu au Siasa na yeye akachagua Siasa...

Lakini historia Mdebwedo ya Tanzania ati inasema Dossa the Bank alikuwa ni Dereva wa Nyerere...

Teh teh kwa Gari gani haswa?


Duh! We mtu unatisha!

Lete mavitus Mkuu...

Ahsanta.
 
nyerere alivyokwenda kwenye Baraza la UNO akakutana na Msomi wa kitanzania enzi hizo...hapa namzungumzia Kigoma Malima, kisha Malima alimshangaa Nyerere akiwa katika vazi la Suti moja matata saana...
Malima akamuuliza Nyerere ''hili vazi umelitoa wapi?...maana hata huku tu wazungu hawamudu kulinunua''

Nyerere akamjibu hii ni suti ya Milionea Dossa a.k.a the Bank, ameniazima niivae na pia hii tai nayo aliifunga yeye na kuniasa nisiifungue mpaka ntakaporudi.

teh teh dah Ishi ujionee...
leo hii watoto wetu hawausomi ukweli wa Mtanzania Mkarimu kupata kutokea...yaani Waziri Dossa Aziz
 
Back
Top Bottom