Dr. Vedasto Kyaruzi daktari mpigania uhuru wa Tanganyika

Dr. Vedasto Kyaruzi daktari mpigania uhuru wa Tanganyika

Ustaadh gombesugu, habari ya siku nyingi jamaa yangu! Tuanzie popote tu sina shida! wote walifanya unyama wakutisha huku wakitumia jina la Mungu wao kuharalisha uhayawani wao! wala hatuna sababu yoyote ile ya kuwakumbatia baadhi kwa vile wanatuhusu na kuwabeza wengine kwavile hawatuhusu. gombesugu, vita na ukatili mkubwa duniani unafanya kwa mwamvuli wa imani za dini. Bila imani hizo dunia ingekuwa mahali bora sana pa kuishi!



Bwana Gwalihenzi,

Salaam sana wangu.

Hata nami nimefurahika mno,yakuwa hatimae tumekutanika tena!

Wacha kabumbu lianze sasa! Lakini naona wewe tayari umeshaanza kumchezea fouls Sheikh Mohamed Said!? Kwi! Kwi! Kwi!

Mimi nitakua "mshika kibendera" kwenye jamvi hili!

Ahsanta.
 
Hivi KUPIGANIA UHURU ndo kufanyaje vile??? Hivi nyie mnataka tuamini kwamba waazilishi wa TAA/TANU ndo WALIOPIGANIA uhuru TU! Vipi waliomwaga damu kwenye vita vya Maji Maji, akina Mkwawa , Mirambo and all over Tanganyika , walikufa for what??? Uhuru!!! Kila Mtanganyika aliyekuwa mtu mzima kabla ya 1961 alipigania uhuru, period!!

Hao mbona wote wameandikwa habari zao na Mwandishi huyu huyu aliyeleta habari za Dr. Kyarusi? pitia nyuzi zinazomhusu humu JF utawakuta wote hao.

Au mwambie tu akumwagie vipande humu humu akupe raha kidogo.

cc Mohamed Said
 
baada ya Nyerere kutoka UNO ndipo Dossa Aziz a.k.a the Bank akachukua jukumu la kumlipa Mshahara Nyerere kwa kipindi choote cha harakati...maana kule UNO aliambiwa achague kati ya ualimu au Siasa na yeye akachagua Siasa...

Lakini historia Mdebwedo ya Tanzania ati inasema Dossa the Bank alikuwa ni Dereva wa Nyerere...

Teh teh kwa Gari gani haswa?
Gang Chomba

Huu ulimbo umenipasua mbavu.
 
Last edited by a moderator:
Huu ndio kutokujua historia na misingi ya historia! nani anaweza kufuta matukio yaliyokwisha tokea? anachofanya mchochezi Mohamed Said ni kuyatafsiri matukio ya kihistoria kwa manufaa yake ya kishetani na sio vinginevyo!
Kwa faida ya JF tufahamishe kitabu cha historia ya Tanzania kinapatikana wapi?
 
Kwa faida ya JF tufahamishe kitabu cha historia ya Tanzania kinapatikana wapi?
Ritz, mbona unarudisha mjadala uliokwisha fungwa!mara ngapi mambo haya yameletwa hapa jamvini, mara nyingi ngano za huyo mzee wako zimechambuliwa hapa na ninyi wafia dini mkishia na histohisia zenu!
 
Hao mbona wote wameandikwa habari zao na Mwandishi huyu huyu aliyeleta habari za Dr. Kyarusi? pitia nyuzi zinazomhusu humu JF utawakuta wote hao.

Au mwambie tu akumwagie vipande humu humu akupe raha kidogo.

cc Mohamed Said

Tatizo hujielewi na hutaki kuelewa....think at molecular level....akili umeifunga kama hewa kwenye mpira.
 
Si ndio askofu wako huyo? tena nasikia kanisani kwake ana watumwa kibao kawabadilisha jina wanaitwa ma sista.

Shallow thinking ; nilijua huwezi chomoka hapo na udini wako !! Na huyu mbunge wenu hasiyejua kufikiria nje ya box...soma hiyo link uone ndugu zako wa dini waenda Arabuni kuteswa na kazi za ndani......
 
nyerere alivyokwenda kwenye Baraza la UNO akakutana na Msomi wa kitanzania enzi hizo...hapa namzungumzia Kigoma Malima, kisha Malima alimshangaa Nyerere akiwa katika vazi la Suti moja matata saana...
Malima akamuuliza Nyerere ''hili vazi umelitoa wapi?...maana hata huku tu wazungu hawamudu kulinunua''

Nyerere akamjibu hii ni suti ya Milionea Dossa a.k.a the Bank, ameniazima niivae na pia hii tai nayo aliifunga yeye na kuniasa nisiifungue mpaka ntakaporudi.

teh teh dah Ishi ujionee...
leo hii watoto wetu hawausomi ukweli wa Mtanzania Mkarimu kupata kutokea...yaani Waziri Dossa Aziz
Mnaendelea kulishana ngano za masika tu,
 
Shallow thinking ; nilijua huwezi chomoka hapo na udini wako !! Na huyu mbunge wenu hasiyejua kufikiria nje ya box...soma hiyo link uone ndugu zako wa dini waenda Arabuni kuteswa na kazi za ndani......

Hahahahahah, ungekuja na hasira namna hiyo?

"Arabuni" ya wapi, Nzega au Bujumbura? dunia nzima kuna hizo kazi za ndani;

jisomee, labda utachaguwa Zurich au London; Imperial Nannies - Home Page - We supply live in, daily, temporary and overseas nannies or governesses for private homes worldwide.
 
Tatizo hujielewi na hutaki kuelewa....think at molecular level....akili umeifunga kama hewa kwenye mpira.

Umeuliza habari za Maji Maji, nikakujibu:

Hao mbona wote wameandikwa habari zao na Mwandishi huyu huyu aliyeleta habari za Dr. Kyarusi? pitia nyuzi zinazomhusu humu JF utawakuta wote hao.

Au mwambie tu akumwagie vipande humu humu akupe raha kidogo.

cc Mohamed Said

sasa naona unaruka tena kwa vishindo, khee, unanini weyee?
 
Your book is just about muslims who fought for Tanganyika independence, was this man a muslim?
Remote,
Inaelekea hujasoma kitabu changu.

Kitabu kimewataja wote walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru
Dk. Kyaruzi akiwa mmojawapo.

Usifanye haraka ya kulaumu kabla hujasoma yaliyoandikwa.
 
Mohamed Saidi, nilidhani utaibadiri misimamo yako ya kibaguzi! bado unaendeleza uhasama ambao haupo isipokuwa ndani ya akili yako iliyojaa chuki na uozo!
Fahamu wazi kuwa vijana hao hao wanaweza kuwauliza "masheikh" aah! kumbe nyie na wafanyabiashara ya watumwa (waarabu na waswahili) lenu lilikuwa moja!

Sasa ulitaka aandike uwanja wa uhuru ulitawaliwa na maaskofu na kwaya?
 
Your book is just about muslims who fought for Tanganyika independence, was this man a muslim?

Katika hiyo nukuu ya Mohamed Said uliyoiweka hili hukuliona?

quote_icon.png
By Mohamed Said

Remote,
Inaelekea hujasoma kitabu changu.

Kitabu kimewataja wote walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru
Dk. Kyaruzi akiwa mmojawapo.


Usifanye haraka ya kulaumu kabla hujasoma yaliyoandikwa.
 
Last edited by a moderator:
Katika hiyo nukuu ya Mohamed Said uliyoiweka hili hukuliona?
Wote!!??, haiwezekani bhana, Mohamed Said mwenyewe alishawahi kusema kuwa kile kitabu ametunga kwa ajili ya wazee wake wa kiislamu ambao anadai wamesahaulika kwenye historia ya wapigania uhuru wa Tanganyika.
Halafu wee m'mama mbona unajidai kumjibia?, aje mwenyewe anyooshe maelezo asituchanganyie habari,
Was Dr Kyaruzi a muslim?
 
Wewe jamaa bado hujafa tu!?...wewe ni mmojawapo ya Wanafiki/wazandiki wakubwa humu mitandaoni wasiolitakia mema Taifa letu changa.

Huna credibility ya kuuliza suali la maana au kutoa mchango wowote watu wenye maarifa yao wakakuamini,asilan abadan!

Kwenye mnakasha wa mwisho na Sheikh Mohamed Said,tulikuomba ulete/utoe uthibitisho wenye kuthibitika juu ya yale "madai"/tuhuma aka makhanatha yako yakuwa unajua na pia una "uthibitisho" ati Sheikh Mohamed Said ni Member wa Muslim Brotherhood,na wanafanza/anafanza mipango ya kuisilimisha nchi/Tanzania iwe chini ya Islamic Sharia na utumbo mwingineo mwingi ulioandika!?

Vipi sasa yakurubia takriban mwezi wa tano tangia tukuombe uthibitishe kwayo!?

Ahsanta.

Al akhy kumbe na wewe Umeona huyu jamaa ni mnafiki sana wao badala ya kujadili lililoletwa wanajadili jina la mzee MS.
 
Back
Top Bottom