Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Dr. Zaik Nakir amwesasili nchini Zanzibar na katika mahojiano aliyoyafanya amesema kuwa mhadhara atakaofanya hauna utata wowote kwani ataongelea vitu vilivyopo katika maandiko ya Biblia na Quran. Amesema kuwa Biblia imemuongelea Muhammad na pia Quran imemuongelea Yesu.
Source:
View: https://m.youtube.com/watch?v=SeRWg75qAM8
Source:
View: https://m.youtube.com/watch?v=SeRWg75qAM8