DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

kabishane na google nimechoka kubishana na wewe unaedhani apps hizo za simu ni sawa na computer program inayowagalagaza mabingwa wa draft wa dunia

niambie ni mwanadamu gani kakariri moves zote bilioni 500 za drafti ??
Unachokisema uko sahihi pia hauko sahihi..moves billion 500 ni nyingi kwa bigwa kumeza kama zilivo..ila mkuu hebu test kwenda na kompyuta uwe unaigilizia hapo draft college..ukiwapiga utakua umewapa mbinu extra ya kujifunza..akikupiga utaacha ad pc
 
Kuna jamaa mtaani anaitwa kapilima, huyu jamaa anaweza akakupangia draft la siku tatu tena lenye kete ambazo zimekaa randomly bila kukosea
 
Weka hiyo program hapa ikiwezekana share link

Kama wewe umeshindwa kufanya challenge kwa mabingwa na hiyo software yako, tuwekee link tukusaidie halafu tutakuletea mrejesho hapa
 
We leta iyo program niidownload, mana me nimetafuta hata iyo program ya chinok sijaipata
 
We leta iyo program niidownload, mana me nimetafuta hata iyo program ya chinok sijaipata
Na sometimes unakuta ime base kwenye french au yale ma draft yenye vyumba zaidi ya 64 au pengine yale madraft ambayo hayana mstari wa major
 
SISCO ALIPIGWA 2-0

ILA NADHANI MECHI ITARUDIWA
Hata mechi ikirudiwa Sisco Tula Tula atalazwa chini na Mkulima na kula mboko kama kijana wa chekechea!

Stori za Mtaani ni kuwa Mkulima hafungiki labda ukae na bibi yako mcheze pamoja kichawi!!Huyu mkulima itakuwa Huwa anakuja manyanya na kucheki draft tu bila kucheza maana hajitambulishi online! Watu hawamjui sura yake!!

Hao kina Mangwelele sijui Ally white mara Dunga na Kijiko na Kagunga , msomali na matula Tula wengine hawasogezi pua Sisco tu ndo mbishi japo Kila siku anapasuka yumo tu!
 
Hivi mimi mnanijua lakini?
 
Huyu Sisco ni wawapi?

Wamkoani au?
Sisco kibongo bongo ndo top..

Mkulima anasadikika ni wa Kenya.

Sisco unampata manyanya pale, mi niliwai ona anampa mtu sare 3 na sisco akapusuka mara mbili (Jamaa anaitwa masamaki, wanamjua ni muhuni anajua draft ila hachezi la mashindano makubwa)..

Na pia hawa mabingwa kuna mda wanafungwa kwa sababu hawataki kuonesha silaha zao kwa bei nafuu..

Issa Meno ya Mamba alimkatalia jamaa angu kucheza nae kisa dau dogo, enzi izo ni bingwa wa Tz...

Ukitaka watu waweke bunduki zao na vifaru, nenda kwenye michuano ya Java. Mzigo unakua mrefu..

Utamkuta Nduli, Noel, Ronaldo, Dogo Sisco, Dogo Ally, Dogo Yasini, Kiwembe, Fyatuka, Ally white, Rama Arusha, Kwatamwivi, Simba wa kongwa,.. Na mafundi wengine kibaooo
 
White, Dogo Yassini na meno ya mamba hao nawajua

Huyo white mitaa yake nadhani ni yombo nishawahi shuhudia game yake na dogo Hamisi
 
Mkulima watu hawamjui?
 
Kuna mechi muda huu ONLINE mkulima VS Ronaldo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…