Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Huyo Mangwe muhuni tu. Kaona vijana wako moto kajitia kustaafu.Magwelele kila Siku tupo nae ,Siku hizi hachezi ,Juzi hapa alikuwa anaumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mangwe muhuni tu. Kaona vijana wako moto kajitia kustaafu.Magwelele kila Siku tupo nae ,Siku hizi hachezi ,Juzi hapa alikuwa anaumwa
Aje acheze na mimi live tuone mnachezewa akili na huyo mkulima awezi kuchezea akili ya jinias lwiva ninaye piga draft la dalmax vibaya sana na ninalikubali sana dalmax ni draft zuri sana ukiweza kulifunga kwa wastani wa 70% basi hakuna kenge yoyote atakaye kuchezea ...nimecheki move za kete za mkulimq nimegundua mapungufuKuna mtu alisema kwenye kahawa ferry kuwa mkulima ni zombi au robot hajulikani Yuko wapi na ni nani na hajawahi kufungwa na wote wanaojiita mabingwa wa draft. Yuko online tu anakula hela za vibonde wote tz nzima hadi hao sijui kina Mangwelele Sisco na Cr7 wenu! Ukweli ni upi?
Online unatumia ID gani wewe tura?Aje acheze na mimi live tuone mnachezewa akili na huyo mkulima awezi kuchezea akili ya jinias lwiva ninaye piga draft la dalmax vibaya sana na ninalikubali sana dalmax ni draft zuri sana ukiweza kulifunga kwa wastani wa 70% basi hakuna kenge yoyote atakaye kuchezea ...nimecheki move za kete za mkulimq nimegundua mapungufu
Draft la kihuni ilo mimi genius nimesema jamaa anatumia computer kuwashinda aje kwangu tuone kama sijampiga super kwenye michezo 24 mmoja super itamuhusuUjue mimi siwaelewi elewi unapaswa upate sare ngapi umshinde
Dalmax watu wanalibutua SUTIMimi si amini kuwa ni bigwa kweli nimecheki anavyo cheza ni kawaida sana bora niendelee kupambana na DALMAX tu ndiyo naendana nayo
MKULIMA huwa anaanza hivo hivo ,baadae mchezo wa 14 ,anaanza kutoa VIFINYOAje acheze na mimi live tuone mnachezewa akili na huyo mkulima awezi kuchezea akili ya jinias lwiva ninaye piga draft la dalmax vibaya sana na ninalikubali sana dalmax ni draft zuri sana ukiweza kulifunga kwa wastani wa 70% basi hakuna kenge yoyote atakaye kuchezea ...nimecheki move za kete za mkulimq nimegundua mapungufu
Huwa yupo hivo hivo Siku Zote ,mwisho utasikia KASHINDAMkulima ananyanyasika kwa Ronaldo
Tanzania janja janja tu hakuna cha mkulima wala ushushi wa mkulimaKete zote za mwanzo ina michezo 7 ambayo mabano pasati major nugza taa tren kavimba tege ambapo mikicheza kila mtu akianza inakuwa 14 na pia tege zinakuwa 10
Wekeni link hapa nasi tuingie wakuu
Mm namfunga huyo mkulima feki atakuwa ajakutana na majiniasi wenye kujua upuuzi wakemkulima 3 noel bila yule jamaa undisputed that's why yeye anaweka sare tu anajua huna uwezo wa kumfunga
Wewe ndiyo mkulima janja yako nimeijua unaweza kudanganya wajinga wote ila siyo majinius ngoja nikutafutie muda nijiunge tucheze[emoji91][emoji91][emoji91]TAARIFA KUTOKA ONLINE [emoji91][emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] anawasalimia saaana saaana!
Pia MKULIMA [emoji89] anampongeza SISCO ushindi wake dhidi ya DOGO ALLY
MKULIMA [emoji89] aliitazama MECH ilikuwa yenye ushindani na Magoli Mengi
MKULIMA [emoji89] hana shida ya KUITAWALA hii DUNIA yenu bali anachokitaka yeye ni kuona MMENYOOSHA MIKONO JUU NA KUKIRI KUWA HAMUWEZI KUZUIA SARE KATIKA MICHEZO 24, NAJUA HUENDA LIKAWA JAMBO LA FEDHEA KUKIRI UDHAIFU HUU LAKINI HAMNA BUDI KUFANYA HIVYO ILI MUENDELEE KUWA HURU NA LIMKIA LENU. [emoji89]
MKULIMA [emoji89] ameona ombi la mmoja wa Viongozi wa GROUP LA DRAFT TZ , akiomba ikiwezekana hizo sare katika MICHEZO 24 mzuie kwa UTIMU Mfano leo iwe ni zamu ya WATU HURU kesho WICS kesho kutwa PRS, Vilevile ameenda mbali zaidi kwa kusema hizi sare Mzuie kwa mgawanyo wa kimikoa, Mfano leo zamu ya DAR, kesho TANGA, kwesho kutwa MORO.
TUMELITAFAKARI KWA KINA TUMEONA WAZO LAKE LINA MASHIKO ILA KWA MASHARTI YAFUATAYO............[emoji89]
1}Tutaondoa UNDO option
2}Time itakuwa 7+2
TUKIKUBALIANA MASHARTI HAYO MKULIMA [emoji89] ATAKUWA TAYARI KUTOA MASHARTI YA KUZUIA SARE KWA MAKUNDI.
Huyo jamaa mkulima hamuwezi kumfunga hadi mimi genius niwapeni siri yake nimesha gundua siri yake ...huyu boya anawachezeeni trick kama za wanamazingaombwe tu ....kama mnabisha mtafuteni live mcheze naye draft muone kama anaweza hata kidogo ...kuna trick nimesha ijua anayo tumia kuwafungeni .. kama amniamini msakizieni acheze draft na mimi ...kwa kuwa mm nimefudhu draft za kwenye kompyuta ikiwemo dalmax hivyo hata kama akitumia ujanja anao tumia ambao mimi naujua awezi kunishinda ....leo ndiyo mineingia kwenye huu uzi nikashangaa watz jinsi mnavyo fanywa mazuzu kwa kuchezewa trick za darasa la 3 na huyo jamaa anaye jitaja kwa jina la mkulima.Nimecheka hoyo mikwara ya Mkulima
So tunaweza finalize kuwa Mkulima ndio best player kwa Tanzania au kuna wengine wapo??
Kama unazungumzia game analysis ya kwenye Dalmax utakuja lia. ila kwa matura utapata sare na magoli.Huyo jamaa mkulima hamuwezi kumfunga hadi mimi genius niwapeni siri yake nimesha gundua siri yake ...huyu boya anawachezeeni trick kama za wanamazingaombwe tu ....kama mnabisha mtafuteni live mcheze naye draft muone kama anaweza hata kidogo ...kuna trick nimesha ijua anayo tumia kuwafungeni .. kama amniamini msakizieni acheze draft na mimi ...kwa kuwa mm nimefudhu draft za kwenye kompyuta ikiwemo dalmax hivyo hata kama akitumia ujanja anao tumia ambao mimi naujua awezi kunishinda ....leo ndiyo mineingia kwenye huu uzi nikashangaa watz jinsi mnavyo fanywa mazuzu kwa kuchezewa trick za darasa la 3 na huyo jamaa anaye jitaja kwa jina la mkulima.
Hakuna haja ya kubishana hapa sana ngoja nitajiunga nije nione kama huyo mkulima na niweza mimi ...the great kete ngumuDalmax watu wanalibutua SUTI
Lina kopi zipo limited ,kwa matura ,Dalmax wanaona limeshindikana
Kuna jamaa alikuja kijiweni akaliwekea DALMAX eti tutungane nalo ,aliliwa pesa Hadi akakimbia
Sijakuelewa mimi sijui majina ya magemu ya mitaani nacheza kwenye kompyuta chess ,draft , na kwenye chess ya dunia nipo daraja la kwanza ...nifafanulie hayo majina maana yake nini ...matura ni kitu gani?Kama unazungumzia game analysis ya kwenye Dalmax utakuja lia. ila kwa matura utapata sare na magoli.
Ilo nalo neno kama mkulima bingwa kwanini hatoki live katika benchiHakuna haja ya kubishana hapa sana ngoja nitajiunga nije nione kama huyo mkulima na the great kete ngumu
Yupo nje ya nchi kwasasaIlo nalo neno kama mkulima bingwa kwanini hatoki live katika benchi