toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
M
Huyo Sisco hawezi kushindikana Tanzania nzima kwasababu hajacheza na wacheza draft wote
Nimeangalia draft na kucheza sana ila kuna Dogo mmoja msomali yupo Arusha sijawahi kuona akifungwa na nina uhakika huyo Sisco hamsogelei. Huyo jamaa nahisi ndio mchawi wa draftmletr