Zuga
Scars
Taarifa ya Makubaliano
Baada ya majadiliano Mazito kati ya Tajiri Java, Mtu kati, na Viongozi wa Cr7 na hatimae wamefika makubaliano,, Iko hivi viongozi wa cr7 hawajaikataa mechi ya Dogo Sisco bali walitaka matakwa yao yatimizwe moja ya sharti lao kubwa ni zawadi iongezwe kidogo ambalo kwa Hakika Boss Java amekubali ombi lao na amejazia kishungi kutoka zawadi ya 250k hadi 300k.
Vile vile Mgawanyo wa hiyo zawadi ni kama Ifuatavyo ; winner 200k na looser ni 100k,, Boss Java amesema Afya tu kwake sio kesi kikubwa watu wapate burudani ya kutosha .
Viongozi wa Cr7 wamekiri sasa Cr7 yupo teyari kupambana na Sisco na ikiwezekana Viongozi wa watu huru nao wathibitishe ili Tangazo la mechi lianze kutembea,, Ikumbukwe tu Cr7 amejizolea umaarufu mkubwa baada ya kumzuia MKULIMA ngoma 24.
Naomba kuwasilisha ,,,,,,,,