Kama unamjua kiuhalisia Sisco,noel, Ronaldo na umewai kuongea nao wanajua kama mkulima ni program anatumia,,
na sio mara ya kwanza noel,Sisco wanacheza na mkulima ,,Sisco alifungwa 2-0 na mkulima mda sana tuu na akawa anasema ni program..babaaskofu yani noel kma ww ni member wa playok tumeona game zao nyingi tuu.. ndio maana kina java wanasema watu watafute sare interm kama kujipima na program tuone uwezo wa vijana umekua Kwa kiasi gani..
Mkulima anasemekana ni amani sanga ambae kiukwel ni tura tuu live..
Kama ww ni member wa playok Kuna mwamba anatusumbua anaitwa ashkelon ambaye ni Ronaldo anatoa sana droo na mkulima Kwa sababu anakuambia iyo ni program usiishambulie kwasababu mkulima hashambulii ukikosea kidogo iyo chumaaa..
Mtu pekee alieingia nyavuni kwake ni David mbeya tuu..ni ngumu mtu kucheza game 200 na zaid bila kufungwa hasa na wakubwa wenzako..
Sisco
Sisco ni mzuri na anatumia nafasi yake kua juu apige pesa Kwa Sasa..
Kuhusu kumtukana Ronaldo ni Ile bifu tu yakimakundi coz Sisco,nduli,noel ni kundi Moja..na Ronaldo hataki kucheza sikuizi na mmoja wao yoyote wengine wakiwepo..yani akicheza na noel hataki Sisco na nduli wawepo java aliweka 800k iliwacheze noel na cr7..cr7 akaweka kipingamizi iko..
Noel
Noel anapata shida sana akienda kazini..kurudi anakuta vijana wamejiupdate mnoo kwaiyo anapata shida kwakua mkoani hmna mabingwa wakubwa..mfano jamaa apo juu amemtaja msomali ambako tunamjua akija manyanya ni mchezaji wa kawaida..refer game ya omary kiwembe vs noel
Alipata shida mno akafa 4-1..kina Sisco daily wanajiupdate..
Nduli
A very good consistent man Inatosha kumdescribe ivo..akipoteana kidgo atamuita Sisco,noel ampe kitu..
Chess huu mchezo ni mgumu mno ndio mana watz tumeukimbia..
Currently Kwa Sasa Sisco ni mkubwa mnooo..
My believe huu mkataba wa droo wakimpa Ronaldo anaweza toboa,,just a believe.. kwasababu wamecheza games nyingi mkulima akashinda 2..
Draft raha sana.. wengine cc wenye point 1500 za kudandadanda tunateseka mnoo..