DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

Kuna mtu alisema kwenye kahawa ferry kuwa mkulima ni zombi au robot hajulikani Yuko wapi na ni nani na hajawahi kufungwa na wote wanaojiita mabingwa wa draft. Yuko online tu anakula hela za vibonde wote tz nzima hadi hao sijui kina Mangwelele Sisco na Cr7 wenu! Ukweli ni upi?
Aje acheze na mimi live tuone mnachezewa akili na huyo mkulima awezi kuchezea akili ya jinias lwiva ninaye piga draft la dalmax vibaya sana na ninalikubali sana dalmax ni draft zuri sana ukiweza kulifunga kwa wastani wa 70% basi hakuna kenge yoyote atakaye kuchezea ...nimecheki move za kete za mkulimq nimegundua mapungufu
 
Aje acheze na mimi live tuone mnachezewa akili na huyo mkulima awezi kuchezea akili ya jinias lwiva ninaye piga draft la dalmax vibaya sana na ninalikubali sana dalmax ni draft zuri sana ukiweza kulifunga kwa wastani wa 70% basi hakuna kenge yoyote atakaye kuchezea ...nimecheki move za kete za mkulimq nimegundua mapungufu
Online unatumia ID gani wewe tura?
 
Mimi si amini kuwa ni bigwa kweli nimecheki anavyo cheza ni kawaida sana bora niendelee kupambana na DALMAX tu ndiyo naendana nayo
Dalmax watu wanalibutua SUTI

Lina kopi zipo limited ,kwa matura ,Dalmax wanaona limeshindikana

Kuna jamaa alikuja kijiweni akaliwekea DALMAX eti tutungane nalo ,aliliwa pesa Hadi akakimbia
 
Aje acheze na mimi live tuone mnachezewa akili na huyo mkulima awezi kuchezea akili ya jinias lwiva ninaye piga draft la dalmax vibaya sana na ninalikubali sana dalmax ni draft zuri sana ukiweza kulifunga kwa wastani wa 70% basi hakuna kenge yoyote atakaye kuchezea ...nimecheki move za kete za mkulimq nimegundua mapungufu
MKULIMA huwa anaanza hivo hivo ,baadae mchezo wa 14 ,anaanza kutoa VIFINYO

HII MICHEZO 14 YA KWANZA ,kwa mcheza Darft fundi ,hizo huwa Ni SARE ,ukifungwa inaonekana Bado HUJALIMALIZA DRAFT
 
[emoji91][emoji91][emoji91] TAARIFA KUTOKA ONLINE [emoji91][emoji91][emoji91]



MKULIMA [emoji89] anawasalimia saaana saaana!



Pia MKULIMA [emoji89] anampongeza SISCO ushindi wake dhidi ya DOGO ALLY



MKULIMA [emoji89] aliitazama MECH ilikuwa yenye ushindani na Magoli Mengi







MKULIMA [emoji89] hana shida ya KUITAWALA hii DUNIA yenu bali anachokitaka yeye ni kuona MMENYOOSHA MIKONO JUU NA KUKIRI KUWA HAMUWEZI KUZUIA SARE KATIKA MICHEZO 24, NAJUA HUENDA LIKAWA JAMBO LA FEDHEA KUKIRI UDHAIFU HUU LAKINI HAMNA BUDI KUFANYA HIVYO ILI MUENDELEE KUWA HURU NA LIMKIA LENU. [emoji89]



MKULIMA [emoji89] ameona ombi la mmoja wa Viongozi wa GROUP LA DRAFT TZ , akiomba ikiwezekana hizo sare katika MICHEZO 24 mzuie kwa UTIMU Mfano leo iwe ni zamu ya WATU HURU kesho WICS kesho kutwa PRS, Vilevile ameenda mbali zaidi kwa kusema hizi sare Mzuie kwa mgawanyo wa kimikoa, Mfano leo zamu ya DAR, kesho TANGA, kwesho kutwa MORO.



TUMELITAFAKARI KWA KINA TUMEONA WAZO LAKE LINA MASHIKO ILA KWA MASHARTI YAFUATAYO............[emoji89]

1} Tutaondoa UNDO option
2} Time itakuwa 7+2



TUKIKUBALIANA MASHARTI HAYO MKULIMA [emoji89] ATAKUWA TAYARI KUTOA MASHARTI YA KUZUIA SARE KWA MAKUNDI .
Wewe ndiyo mkulima janja yako nimeijua unaweza kudanganya wajinga wote ila siyo majinius ngoja nikutafutie muda nijiunge tucheze
 
Nimecheka hoyo mikwara ya Mkulima

So tunaweza finalize kuwa Mkulima ndio best player kwa Tanzania au kuna wengine wapo??
Huyo jamaa mkulima hamuwezi kumfunga hadi mimi genius niwapeni siri yake nimesha gundua siri yake ...huyu boya anawachezeeni trick kama za wanamazingaombwe tu ....kama mnabisha mtafuteni live mcheze naye draft muone kama anaweza hata kidogo ...kuna trick nimesha ijua anayo tumia kuwafungeni .. kama amniamini msakizieni acheze draft na mimi ...kwa kuwa mm nimefudhu draft za kwenye kompyuta ikiwemo dalmax hivyo hata kama akitumia ujanja anao tumia ambao mimi naujua awezi kunishinda ....leo ndiyo mineingia kwenye huu uzi nikashangaa watz jinsi mnavyo fanywa mazuzu kwa kuchezewa trick za darasa la 3 na huyo jamaa anaye jitaja kwa jina la mkulima.
 
Huyo jamaa mkulima hamuwezi kumfunga hadi mimi genius niwapeni siri yake nimesha gundua siri yake ...huyu boya anawachezeeni trick kama za wanamazingaombwe tu ....kama mnabisha mtafuteni live mcheze naye draft muone kama anaweza hata kidogo ...kuna trick nimesha ijua anayo tumia kuwafungeni .. kama amniamini msakizieni acheze draft na mimi ...kwa kuwa mm nimefudhu draft za kwenye kompyuta ikiwemo dalmax hivyo hata kama akitumia ujanja anao tumia ambao mimi naujua awezi kunishinda ....leo ndiyo mineingia kwenye huu uzi nikashangaa watz jinsi mnavyo fanywa mazuzu kwa kuchezewa trick za darasa la 3 na huyo jamaa anaye jitaja kwa jina la mkulima.
Kama unazungumzia game analysis ya kwenye Dalmax utakuja lia. ila kwa matura utapata sare na magoli.
 
Dalmax watu wanalibutua SUTI

Lina kopi zipo limited ,kwa matura ,Dalmax wanaona limeshindikana

Kuna jamaa alikuja kijiweni akaliwekea DALMAX eti tutungane nalo ,aliliwa pesa Hadi akakimbia
Hakuna haja ya kubishana hapa sana ngoja nitajiunga nije nione kama huyo mkulima na niweza mimi ...the great kete ngumu
 
Kama unazungumzia game analysis ya kwenye Dalmax utakuja lia. ila kwa matura utapata sare na magoli.
Sijakuelewa mimi sijui majina ya magemu ya mitaani nacheza kwenye kompyuta chess ,draft , na kwenye chess ya dunia nipo daraja la kwanza ...nifafanulie hayo majina maana yake nini ...matura ni kitu gani?
 
Back
Top Bottom