Kumbe draft linalipa naona jamaa anapush audi daah
HIVYO TUNAOMBA ULIANGALIE HILI KWA MTAZAMO WA KIPEKEEDalmax kawaida huku mnakolifunga, nenda kule kwenye game analysis uone kete zake. Nilikuwa nafuatilia game yao kwa kuangalia suggestions za Dalmax, walikuwa wanatembea mulemule. Hapa bongo hakuna mtu wa kumfunga anayetumia game analysis. Ni sare au kufungwa.Dalmax program ya kawaida ukienda kwa mkulima anakupiga kama mbwa unadhani hao wakina sisqo au Noel hawaijui dalmax na pia nakuhakikishia hata yule Noel au CR7 AU SISQO anakupiga na dalmax yako mfano dalmax akianza major asilimia 100 anafungwa
Mabingwa huko mbele kete tatu za mwanzo hauchezi kama unavyotaka. Kuna makubaliano kuwa kete tatu za mwanzo zitakuwaje kisha wanaendelea.Kuna tofauti kati ya Bingwa na kujua
Mtu anayejua draft ni yule ambaye anajua namna ya kulicheza kwa kufuata sheria na sio lazima awe bingwa
Ukiitwa Bingwa tafsiri yake ni complete package unaelewa sheria na mbinu za kiuchezaji
Na ndio wakikutana mabingwa wanacheza kete zote zile za mbele kwa maana ya kwamba kama wewe ulikuwa ni aina ya wale wachezaji unayejua copy ya major peke yake ukianishiwa pembeni lazima upotee
Mabingwa wanatakiwa wajue hiyo michezo yote
Wanakuja kufungana kwa kuzidiana tricks na hesabu kiasi thats why unaona leo kashinda huyu kesho huyu aliyefunhwa ana advantage ya kumfunga mpinzani wake kwasbabu anakuwa ameenda kuangalia wapi alifungiwa na mbinu gani ya kumshinda mpinzani wake
Chukua dalmax nenda kacheze na mkulima uoneDalmax kawaida huku mnakolifunga, nenda kule kwenye game analysis uone kete zake. Nilikuwa nafuatilia game yao kwa kuangalia suggestions za Dalmax, walikuwa wanatembea mulemule. Hapa bongo hakuna mtu wa kumfunga anayetumia game analysis. Ni sare au kufungwa.
Si ndiyo wote walikuwa wanatumia jana na Cr7. Unafikiri alikuwa anatokatoka kwa ajili gani. Ukicheza game moja lazima uiseti upya. Walipata sare zote sababu wote walikuwa wanaitumia.Chukua dalmax nenda kacheze na mkulima uone
inaonekana ww mgeni kabisa dalmax hafui dafu nakupa offer kama upo dar es salam njoo manyanya jumanne na tunakupa mchezo utumie dalmax halafu ucheze na mabingwa uoneSi ndiyo wote walikuwa wanatumia jana na Cr7. Unafikiri alikuwa anatokatoka kwa ajili gani. Ukicheza game moja lazima uiseti upya. Walipata sare zote sababu wote walikuwa wanaitumia.
Kumbe huyu ndio Ronaldo CR7?
Tanzania draft online ngoja nikaicheki kisha nipashe kabla ya kuanza kuwachapa huyo tapeli mkulimaNataka nikujaribu twende tanzania draft online tucheze mm natumia dalmax ww usitumie nione ukitoka salama aisee nitakukubali na nitakuwa mwanafunzi wako
Wewe ndiyo mkulima mimi nikicheza nitacheza na mkulima tu ...wengine mtanipotezea muda wangu bure chukua hata dalmax ucheze nalo michezo 10 ukiweza kulifunga 7 bila ya kurudisha kete nyumq basi unaweza kunishawishi nikutafute live na pesa nitaweka kwa upande wangu tu siitaji yako nitakupa michezo kumi ukifanikiwa kunifunga 4 kati ya kumi nakulipa pesaplayok unatumia account gani nije nikufunge?
Tamko rasmi lini badoTAARIFA KUTOKA KWA MKULIMA [emoji89]
KUELEKEA MECHI YA NDULI VS MKULIMA
_*Barua ya wazi kwa RAISI WA WATU HURU
Tunashukuru sana kwa mpambano uliotuwekea na NDUGU NDULI NDULIMA... Hakika litakuwa pambano lenye Mvuto saana.
Kitendo cha sisi kupata Pesa ya BANDO tu baada ya ushindi kinatunyong'onyesha sana! Kwa vigezo vifuatavyo.....!!!!
1} Mkataba tunaotoa ni Mgumu sana, sawa na Mkataba wa kuvua Mamba.[emoji17]
2} Lazima tutumie nguvu kubwa kufanya Utafiti wa michezo mipya ili kumfunga mchezaji Mkubwa kama Nduli, Sisco, Noel, Mamba au Ronaldo
3} Tunatumia mda mwingi kucheza hizi game takribani masaa 6
4} It deteriorates the Quality of our Brand
HIVYO TUNAOMBA ULIANGALIE HILI KWA MTAZAMO WA KIPEKEE
upo mkoa gani kwanza maana kila mkoa kuna mabingwa tunawajuaWewe ndiyo mkulima mimi nikicheza nitacheza na mkulima tu ...wengine mtanipotezea muda wangu bure chukua hata dalmax ucheze nalo michezo 10 ukiweza kulifunga 7 bila ya kurudisha kete nyumq basi unaweza kunishawishi nikutafute live na pesa nitaweka kwa upande wangu tu siitaji yako nitakupa michezo kumi ukifanikiwa kunifunga 4 kati ya kumi nakulipa pesa
Wakuu....Timu: Cr7 Vs Dogo Ally( confirmed )
Zawadi: 50,000/= (winner 40k na Looser 10k )
Mratibu: Mkorea (5000)
Kamisaa: Chande (5000)
Hio manyanya saa 9 na pia inategemea na ukubwa wa mechiWakuu....
Kuna kitu kinani-dissappoint hapa.
Mbona hizi zawadi naona kama ni ndogo sana kulinganisha na brand za hawa mabingwa?
Yaani bingwa wa draft Tanzania nzima anacheza game 24 mfululizo (zingine usiku wa manane), anatumia akili nyingi, halafu akishinda anaambulia 40,000 tu?
hiyo ndiyo changamoto, michezo 24 inachukua muda mrefu.Tatizo madraft yao yanachukua muda mrefu yani kama ni streaming basi ni masaa kibao
Dalmax yule wa kucheza naye hata mimi humfunga. Hapa nazungumza wewe tumia kichwa halafu mimi nitumie game analysis ya Dalmax. Huingizi goli. Hata huyo Mkulima na Ronaldo jana ndiyo waliyokuwa wanatumia. Ile inakuonyesha kabisa hiyo kete ina nguvu kiasi gani kwa namba. Positive na negative. Mtu yeyote mwenye idea ya bao hawezi kufungwa akitumia Dalmax.inaonekana ww mgeni kabisa dalmax hafui dafu nakupa offer kama upo dar es salam njoo manyanya jumanne na tunakupa mchezo utumie dalmax halafu ucheze na mabingwa uone
Kuna tofauti kati ya Bingwa na kujua
Mtu anayejua draft ni yule ambaye anajua namna ya kulicheza kwa kufuata sheria na sio lazima awe bingwa
Ukiitwa Bingwa tafsiri yake ni complete package unaelewa sheria na mbinu za kiuchezaji
Na ndio wakikutana mabingwa wanacheza kete zote zile za mbele kwa maana ya kwamba kama wewe ulikuwa ni aina ya wale wachezaji unayejua copy ya major peke yake ukianishiwa pembeni lazima upotee
Mabingwa wanatakiwa wajue hiyo michezo yote
Wanakuja kufungana kwa kuzidiana tricks na hesabu kiasi thats why unaona leo kashinda huyu kesho huyu aliyefunhwa ana advantage ya kumfunga mpinzani wake kwasbabu anakuwa ameenda kuangalia wapi alifungiwa na mbinu gani ya kumshinda mpinzani wake
Mkulima Leo kafa 3 bila michezo kumi,Kwa RAMA ARUSHA mjini hapa.