Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Tatizo lake mkulima hajulikani kumpata ana kwa ana ngumu yeye ni online hapo ndipo watu wanapata mashaka na huyu mtuItoshe kusema huyo Mkulima ni mwalimu na fundi kwa hapa Tanzania.. Ebu anzisheni la East Afrika apambane na mabingwa wa kwa majirani tuone
Nazani hukunielewa..wakati sisqo anajoin na kina nduli na noel,,bingwa alikua ni mzee noel nazani apo utakubali kwanza..Katika kupima kipaji cha mtu watu hawaangalii kipaji chako bali watakuhukumu kwa matokeo yake unayatoa wengi wana vipaji lakini matokeo zero unadhani messi au ronaldo wana uwezo mkubwa kushinda gaucho na zidane hapana ila messi na ronaldo wameleta matokeo ambayo ni magumu kutokea that's why wanaonekana bora kwa kizazi hiki
Hivyo current form ya matokeo ya miaka hivi karibuni kwa watu huru inambeba zaidi Sisqo kushinda Noel hivyo Noel kama ana kipaji kushinda Sisqo athibitishe katika mashindano makubwa kwa kuwa bingwa lakini sio huko vijiweni kwenu mkiwa mnawaangalia Sisqo ni top kwa now kwa watu huru
nimekupata je noel kaanza kutambulika kama bingwa mwaka gani mfano sisqo naona mwaka jana na huuNazani hukunielewa..wakati sisqo anajoin na kina nduli na noel,,bingwa alikua ni mzee noel nazani apo utakubali kwanza..
Pili kusema kutumia akili nyingi hii haipingiki man,, nenda manyanya buni mchezo wako wa style yoyote lazima atafutwe noel au mangwez(sema Sasa hachez mno),, mfano bingwa sijui atoke kigoma atake french utaruka na noel atakuua..cjui Kuna mwana alikuja akacombine french na Chinese noel alimpiga vbaya mno..jamaa anatumia sana akili ila draft inabidi uchukue muda kula copy na mazoezi,,
Mzee noel ni bingwa mda mrefu sana.. Sisco ni mkubwa Kwa madanali ila ubingwa wa kitaifa ni kuanzia apo 21 ndo jina limekua kubwa ila mzee noel ni wa mda mrefu mnonimekupata je noel kaanza kutambulika kama bingwa mwaka gani mfano sisqo naona mwaka jana na huu
hapo sawa ingawa nilitamani kujua mwka gani alivyoanza kutambuka bingwa kama vile sisqo 2021Mzee noel ni bingwa mda mrefu sana.. Sisco ni mkubwa Kwa madanali ila ubingwa wa kitaifa ni kuanzia apo 21 ndo jina limekua kubwa ila mzee noel ni wa mda mrefu mno
kweli kabisa kuna ule wa jifunze copy sijui upo wapi
Jumapili 8-1-2023. Kilifanyika kikao kizito ANDROMEDA GALAXY, kilicho hudhuriwa na wajumbe kadhaa kutoka BLACK EYED GALAXY ambako huko ndio asili na Makazi ya MKULIMA[emoji89]KWAKUHITIMISHA HAYO TUNA UJUMBE KWENUMKULIMA [emoji89] ACHAFUKWA [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]mkulima kala mbegu antaka kutuua njaa mkulima huyu vipi mkulima ametokota ukipanda ubuyu utavuna ubuyu[emoji91][emoji91]... TAARIFA KUTOKA ANDROMEDA GALAXY ...[emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] anaujumbe Mzito kwenu
Jumapili 8-1-2023. Kilifanyika kikao kizito ANDROMEDA GALAXY, kilicho hudhuriwa na wajumbe kadhaa kutoka BLACK EYED GALAXY ambako huko ndio asili na Makazi ya MKULIMA[emoji89]
Baada ya Masaa kadhaa ya majadiliano ya kilichotokea... Kikao kilikuja na maafikiano kadhaa ambayo ni Ujumbe mzito kwenye sayari hii....!!!
1} RONALDO ameingia kwenye record ya kuwa Binadamu wa kwanza aliyeweza kuzuia sare michezo 24, Tunampongeza kwa hiyo.
2} Huyo RONALDO ndie atakuwa Binaadamu wa KWANZA na WA MWISHO kuzuia sare TENA katika michezo 24 [emoji89]
KWAKUHITIMISHA HAYO TUNA UJUMBE KWENU
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] AOMBA MECHI YA MARUDIANO NA RONALDO.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] ACHAFUKWA [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
kama dogo ally hivi je kwa sisco atatoka kweliMatokeo Kimara Matosa
Dogo Ally 2, Cr7 1
Cr7 amefungwa ngoma ya 14, na kavimba tege ya pili
Wapo tege ya Mwishooooooooo,,,, Dogo Ally is the winner[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii gemu si ya kukosa😅EXCLUSIVE
Timu: Dogo Sisco Vs Cr7 Mnyama ( Confirmed )
Mdhamini: Boss Java
Zawadi: 300,000/= (winner 200k na Looser 100k )
Lini: Jumapili tarehe 15 January 2023 Saa tisa kamili jioni
Wapi: JAVA FAMILY LOUNGE ( Kitunda )
Mfumo: Ngoma 24 - Omary John + tege kumi za mzee Ngapu
Mratibu: Masta Mtemi (15,000)
Photographer : Masta Mtemi
Kamisaa: Fidelis (10,000)
Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila kutakuwa na nauli ya shilingi laki moja kwa atakaefungwa kama Kifuta jasho na endapo mechi itaisha sare hawa jamaa watapewa laki na ishirini kila mmoja
Tajiri Mkubwa JAVA amesema wacha kiwake,, Wazaramo wanasema hawana ulimbo wa kutegela Ng'onzi,, na Waswahili wanasema asie na mwana aeleke Jiwe[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Mama Mkanye Mwanao
Cr7 mjanja Leo lazima ilikuwa apigwe ,Maana asingeweza kutoa miguu yote, Sisco angeenda kumkaguakama dogo ally hivi je kwa sisco atatoka kweli
hata mm kama nimefikiria iloCr7 mjanja Leo lazima ilikuwa apigwe ,Maana asingeweza kutoa miguu yote, Sisco angeenda kumkagua
mkulima na nduli lini[emoji91][emoji91]... TAARIFA KUTOKA ANDROMEDA GALAXY ...[emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] anaujumbe Mzito kwenu
Jumapili 8-1-2023. Kilifanyika kikao kizito ANDROMEDA GALAXY, kilicho hudhuriwa na wajumbe kadhaa kutoka BLACK EYED GALAXY ambako huko ndio asili na Makazi ya MKULIMA[emoji89]
Baada ya Masaa kadhaa ya majadiliano ya kilichotokea... Kikao kilikuja na maafikiano kadhaa ambayo ni Ujumbe mzito kwenye sayari hii....!!!
1} RONALDO ameingia kwenye record ya kuwa Binadamu wa kwanza aliyeweza kuzuia sare michezo 24, Tunampongeza kwa hiyo.
2} Huyo RONALDO ndie atakuwa Binaadamu wa KWANZA na WA MWISHO kuzuia sare TENA katika michezo 24 [emoji89]
KWAKUHITIMISHA HAYO TUNA UJUMBE KWENU
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] AOMBA MECHI YA MARUDIANO NA RONALDO.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] ACHAFUKWA [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]