CV joint kama unataka kujua draft niambie utajua copy zote kuanzia
sumu ya pandu
mabano
pasati
mbuzi kavimba
taa tren
major yote
nugza
tege
ila uwe na vitu vifuatavyo smart phone yenye uwezo wa kuchukua dalmax,az record,utenge muda wa kujifunza maana linapoteza muda ukitaka kujua na pesa kidogo ukiwa na hivi nakuhakikishia utajua tu
Wengi wanaojuwa hawataki na wa ujue boss ila fanya hiv tafuta na pakuwa draft lenye hits then ww ziache zicheze zenyewe ww kazi ya kukariri copy tuMimi nahitaji kulijua draft,tafadhali naomba utaratibu wa kuzipata hizo copy
Mnachezaje kwenye draft kama hilo? jiheshimuni bana.Wakubwa hii kitaalamu inaitwaje mana hapo hakuna alikula kete za mwenzie na zambarau nd anazamu ya kuchezaView attachment 2529627
Madraft yanauzwa wapMnachezaje kwenye draft kama hilo? jiheshimuni bana.
ngoja nikufanyie mpango kamanda anguMimi nahitaji kulijua draft,tafadhali naomba utaratibu wa kuzipata hizo copy
Huyo mkulima ni binadamu? Au roboti?[emoji91][emoji91][emoji91]TAARIFA KUTOKA ONLINE [emoji91][emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] anawasalimia saaana saaana!
Pia MKULIMA [emoji89] anampongeza SISCO ushindi wake dhidi ya DOGO ALLY
MKULIMA [emoji89] aliitazama MECH ilikuwa yenye ushindani na Magoli Mengi
MKULIMA [emoji89] hana shida ya KUITAWALA hii DUNIA yenu bali anachokitaka yeye ni kuona MMENYOOSHA MIKONO JUU NA KUKIRI KUWA HAMUWEZI KUZUIA SARE KATIKA MICHEZO 24, NAJUA HUENDA LIKAWA JAMBO LA FEDHEA KUKIRI UDHAIFU HUU LAKINI HAMNA BUDI KUFANYA HIVYO ILI MUENDELEE KUWA HURU NA LIMKIA LENU. [emoji89]
MKULIMA [emoji89] ameona ombi la mmoja wa Viongozi wa GROUP LA DRAFT TZ , akiomba ikiwezekana hizo sare katika MICHEZO 24 mzuie kwa UTIMU Mfano leo iwe ni zamu ya WATU HURU kesho WICS kesho kutwa PRS, Vilevile ameenda mbali zaidi kwa kusema hizi sare Mzuie kwa mgawanyo wa kimikoa, Mfano leo zamu ya DAR, kesho TANGA, kwesho kutwa MORO.
TUMELITAFAKARI KWA KINA TUMEONA WAZO LAKE LINA MASHIKO ILA KWA MASHARTI YAFUATAYO............[emoji89]
1}Tutaondoa UNDO option
2}Time itakuwa 7+2
TUKIKUBALIANA MASHARTI HAYO MKULIMA [emoji89] ATAKUWA TAYARI KUTOA MASHARTI YA KUZUIA SARE KWA MAKUNDI.
Toa no au tuu ge kwenye group za draft tzcv joint na Charmaine muje mpate copy zote kuanzia mabano kavimba pandu pasati taa tren major na tege
akili kweli ni nyweleWakubwa hii kitaalamu inaitwaje mana hapo hakuna alikula kete za mwenzie na zambarau nd anazamu ya kuchezaView attachment 2529627
mkulima hajawahi onekana katika benchi Zaidi ya kucheza online hafungwi huyo sijui anatumia kitu ganiHuyo mkulima ni binadamu? Au roboti?
Hii kwan aionekan ama man sijaelewa man ujuaj mwingine bhnaakili kweli ni nywele
sasa kete nyeusi, chumba nacho cheusi pia
oi nicheck inboxHii kwan aionekan ama man sijaelewa man ujuaj mwingine bhna
Njoo Soldraxplayok drafti la Kibongo kuanzia saa 6 usiku kunakuwa kimyaaa hakuna wa kucheza naye, mida hiyo Wabongo wanakuwa wamejipumzisha.
mida hiyo ya usiku wa manane ukiona hauna usingizi na playok hakuna wa kucheza naye, nenda kwenye madrafti ya nchi zingine za Russian checkers (Wabongo tunaliita French) na Czech checkers (hili ni kama la Kibongo 95%), madrafti ya nchi hizo wachezaji hawakauki masaa 24, hasa Russian checkers.
Mkulima unamjua au unamskia Mkuu hafungwi huyo jamaa wewe unataka kupambana na mabingwa kuna wakina Rinaldo sisco nduli noel mamba dogo shuku ww pambana na hao kwanza tuoneNimeona unamsifia sana mkulima. Anacheza kwenye website gani? Nahitaji kucheza naye. Na anacheza ipi? American pool rules ambayo huku mnajua French au Tanzania rules ambayo mnaita British. Nipo mkoani kikazi. Sina ratiba ya kuja Dar karibuni. Alipatikana bingwa yeyote mitandaoni mniambie.