DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

Huyo mkulima ni undisputed player hivyo mabingwa wa draft tanzania hakuna anaweza kumfunga hivyo yeye anakupa sare michezo 24 maana yake katika michezo iyo asipokufunga wewe ni bingwa
Kwa nini game 24 ? Ukishatoa sare mara 10 your head is fried, unafungwa kwa kuchoka akili, kwa hiyo hapo mnapimana stamina, na sio tena uwezo wenu akili zikiwa fresh and zippy. Kwa nini hili hawalioni?
 
Huyu Juma Mchafu ni yule wa Mwanza?
 
Ujue mimi siwaelewi elewi unapaswa upate sare ngapi umshinde
Eti sare 24! RIdiculous.

Baada ya sare 10 kichwa kishakuwa deep fried. Yeye kakariki kopi za yeye kutoka droo, humfungi na haumizi kichwa. Ukichoka kichwa anakung' oa kama Alli alivyompiga Foreman walipokuja Congo.

Halafu droo zenyewe sasa, nishaona kijiwe cha mabingwa Buguruni Chama, wewe unaepewa mteremko wa kutafuta droo wanakuanzishia kete yako ya kwanza, you have no choice japo zamu ni yako. Kwa hiyo mnacheza kopi ambayo YEYE BINGWA ndo kai master. So crazy yani.
 
Hii Tanzania draughts naipatJe
 
Nimefurahi nilitaka kuuliza sare 24 inakuaje..pia fafanuzi kidogo kama hutojali tege,john na Omary ni nini
Omari John hawa ndio waanzilishi walipenda kucheza michezo yote ya mwanzo kwa kucheza kila kete ambayo ndio inatoa michezo 7 kwa kuwaenzi tunasema tunacheza omari John ok
Na tege ni mchezo wa kumuanzisha mpinzani ambapo yeye anaamini unacheza kete dhaifu
 
mkulima na noel. babaaskofu matokeo yalikuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…