Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Nimefurahi nilitaka kuuliza sare 24 inakuaje..pia fafanuzi kidogo kama hutojali tege,john na Omary ni niniHuyo mkulima ni undisputed player hivyo mabingwa wa draft tanzania hakuna anaweza kumfunga hivyo yeye anakupa sare michezo 24 maana yake katika michezo iyo asipokufunga wewe ni bingwa
Ndiio OJ 14 na tege 10Nimefurahi nilitaka kuuliza sare 24 inakuaje..pia fafanuzi kidogo kama hutojali tege,john na Omary ni nini
naunga mkono hojaTuambie muda sisi wadu tutacheki
Ikiwezekana huu uzi uwe ni special kutupia update ya mapambano yote
Mkuu wewe ndiye waukae bin kujua😃Ndiio OJ 14 na tege 10
Kwa nini game 24 ? Ukishatoa sare mara 10 your head is fried, unafungwa kwa kuchoka akili, kwa hiyo hapo mnapimana stamina, na sio tena uwezo wenu akili zikiwa fresh and zippy. Kwa nini hili hawalioni?Huyo mkulima ni undisputed player hivyo mabingwa wa draft tanzania hakuna anaweza kumfunga hivyo yeye anakupa sare michezo 24 maana yake katika michezo iyo asipokufunga wewe ni bingwa
Ujue mimi siwaelewi elewi unapaswa upate sare ngapi umshindeKwa nini game 24 ? Ukishatoa sare mara 10 your head is fried, anakufunga. Kama wana akili za drafti kwa nini hili hawalioni?
Huyu Juma Mchafu ni yule wa Mwanza?Kitambo sana hii mambo sijafatilia. Kifupi ni kwamba wakali wa draft wapo wengi. Na ikipigwa mbungi ni makosa madogo sana yanapelekea mtu kufungwa.
Kati ya mabingwa wa draft nimebahatika kumwona Cr7, wa sinza, Mangwelele, Marehemu Jumah Mchafu na mkali wa vipande Gadzilla.
Japo sijacheza muda mrefu sana ila mimi kete najua kusukuma sana tu.
Eti sare 24! RIdiculous.Ujue mimi siwaelewi elewi unapaswa upate sare ngapi umshinde
Kete zote za mwanzo ina michezo 7 ambayo mabano pasati major nugza taa tren kavimba tege ambapo mikicheza kila mtu akianza inakuwa 14 na pia tege zinakuwa 10Kwa nini game 24 ? Ukishatoa sare mara 10 your head is fried, anakufunga. Kama wana akili za drafti kwa nini hili hawalioni?
Hii Tanzania draughts naipatJeSisco anasema Simu iliisha chaji akatumia ya mtu
Matokeo ALIPIGWA 2-0
Akakimbia
Kundi la WATU HURU lenye wachezaji Kama NDULI ,NOEL ,SISCO na mafundi wengine wa Draft TZ
Wanaanda marudiano na MKULIMA
PIA LEO KUTAKUWA NA MTANANGE
WA NOEL BINGWA KUTOKA NJOMBE NA MKULIMA
View attachment 2467722
na mwisho wa siku kopi zote saba ni droo zikichezwa zinavyotakiwa, kwa saab draughts ni solved game .Kete zote za mwanzo ina michezo 7 ambayo mabano pasati major nugza taa tren kavimba tege ambapo mikicheza kila mtu akianza inakuwa 14 na pia tege zinakuwa 10
Hamuwezi mkulima!tuwekee link ya Group la Draft TZ tujiunge
Ngumu kutoa sare zote kama kwa hiyo michezo kama mtu ana uwezo atakufunga tuna mwisho wa siku kopi zote saba ni droo zikichezwa zinavyotakiwa, kwa saab draughts ni solved game .
Omari John hawa ndio waanzilishi walipenda kucheza michezo yote ya mwanzo kwa kucheza kila kete ambayo ndio inatoa michezo 7 kwa kuwaenzi tunasema tunacheza omari John okNimefurahi nilitaka kuuliza sare 24 inakuaje..pia fafanuzi kidogo kama hutojali tege,john na Omary ni nini
mkulima na noel. babaaskofu matokeo yalikuaje?Omari John hawa ndio waanzilishi walipenda kucheza michezo yote ya mwanzo kwa kucheza kila kete ambayo ndio inatoa michezo 7 kwa kuwaenzi tunasema tunacheza omari John ok
Na tege ni mchezo wa kumuanzisha mpinzani ambapo yeye anaamini unacheza kete dhaifu
mkulima 3 noel bila yule jamaa undisputed that's why yeye anaweka sare tu anajua huna uwezo wa kumfungamkulima na noel. babaaskofu matokeo yalikuaje?
jana usiku nilikuwa playok online kuanzia saa 4 mpaka 5 lakini sikuona mkulima akicheza.mkulima 3 noel bila yule jamaa undisputed that's why yeye anaweka sare tu anajua huna uwezo wa kumfunga