Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Hapana ilikuwa juzi iyo mkulima na noel na majuzi yake ilikuwa sisco na mkulimajana usiku nilikuwa playok online kuanzia saa 4 mpaka 5 lakini sikuona mkulima akicheza.
au walitumia accounts nyingine?
Noel 0 mkulima 3tupeni matokeo ya mkulima vs noel
TAARIFA KUTOKA ONLINE [emoji91][emoji91][emoji91] Pia MKULIMA [emoji89] anampongeza SISCO ushindi wake dhidi ya DOGO ALLYMKULIMA [emoji89] hana shida ya KUITAWALA hii DUNIA yenu bali anachokitaka yeye ni kuona MMENYOOSHA MIKONO JUU NA KUKIRI KUWA HAMUWEZI KUZUIA SARE KATIKA MICHEZO 24, NAJUA HUENDA LIKAWA JAMBO LA FEDHEA KUKIRI UDHAIFU HUU LAKINI HAMNA BUDI KUFANYA HIVYO ILI MUENDELEE KUWA HURU NA LIMKIA LENU. [emoji89]TUMELITAFAKARI KWA KINA TUMEONA WAZO LAKE LINA MASHIKO ILA KWA MASHARTI YAFUATAYO............[emoji89]1} Tutaondoa UNDO option2} Time itakuwa 7+2TUKIKUBALIANA MASHARTI HAYO MKULIMA [emoji89] ATAKUWA TAYARI KUTOA MASHARTI YA KUZUIA SARE KWA MAKUNDI .Nimecheka hoyo mikwara ya Mkulima[emoji91][emoji91][emoji91]TAARIFA KUTOKA ONLINE [emoji91][emoji91][emoji91]
MKULIMA [emoji89] anawasalimia saaana saaana!
Pia MKULIMA [emoji89] anampongeza SISCO ushindi wake dhidi ya DOGO ALLY
MKULIMA [emoji89] aliitazama MECH ilikuwa yenye ushindani na Magoli Mengi
MKULIMA [emoji89] hana shida ya KUITAWALA hii DUNIA yenu bali anachokitaka yeye ni kuona MMENYOOSHA MIKONO JUU NA KUKIRI KUWA HAMUWEZI KUZUIA SARE KATIKA MICHEZO 24, NAJUA HUENDA LIKAWA JAMBO LA FEDHEA KUKIRI UDHAIFU HUU LAKINI HAMNA BUDI KUFANYA HIVYO ILI MUENDELEE KUWA HURU NA LIMKIA LENU. [emoji89]
MKULIMA [emoji89] ameona ombi la mmoja wa Viongozi wa GROUP LA DRAFT TZ , akiomba ikiwezekana hizo sare katika MICHEZO 24 mzuie kwa UTIMU Mfano leo iwe ni zamu ya WATU HURU kesho WICS kesho kutwa PRS, Vilevile ameenda mbali zaidi kwa kusema hizi sare Mzuie kwa mgawanyo wa kimikoa, Mfano leo zamu ya DAR, kesho TANGA, kwesho kutwa MORO.
TUMELITAFAKARI KWA KINA TUMEONA WAZO LAKE LINA MASHIKO ILA KWA MASHARTI YAFUATAYO............[emoji89]
1}Tutaondoa UNDO option
2}Time itakuwa 7+2
TUKIKUBALIANA MASHARTI HAYO MKULIMA [emoji89] ATAKUWA TAYARI KUTOA MASHARTI YA KUZUIA SARE KWA MAKUNDI.
Huyu Noel si mchizi kutoka Iringa afu naskia ni ticha?Noel 0 mkulima 3
Huyo Huyo Ni wanjombeHuyu Noel si mchizi kutoka Iringa afu naskia ni ticha?
Kacjapika tena kwa Mkulima aiseeee huyu Mkulima nataka nione mechi yake na Ronaldo matokeo yatakuwaje
Mkulima Kuna mtu anamsumbua Sana Kule Online anaitwa ASHKELON ukikuta mechi Yao huwa Ni balaaNimecheka hoyo mikwara ya Mkulima
So tunaweza finalize kuwa Mkulima ndio best player kwa Tanzania au kuna wengine wapo??
Yes uwe uzi rasmi mzee hapo utakuwa umetishaaHuyo Huyo Ni wanjombe
Unapotaja Mabingwa wa Draft TZ
Mangwelele
Ronaldo
Noel
Sema Ronaldo anafurahia Sana wenzie wanavyochapika , Anasema anataka game na MKULIMA [emoji89] amfundishe adabu
Ikiwa confirmed nitaweka humu
Huu uwe uzi rasmi wa Draft
Mbona kama Mkulima alipaswq afungwe kete tatu?
kama ni zamu ya huyo mwende nyekundu ni sare, kama ni zamu ya mwenye nyeupe basi ni wavuMbona kama Mkulima alipaswq afungwe kete tatu?
Yani hapo sijaelewa sare analitoaje huyo mwenye nyekundu hata kama ikiwa zamu yakekama ni zamu ya huyo mwende nyekundu ni sare, kama ni zamu ya mwenye nyeupe basi ni wavu
Kipindi hicho, ila Game ya mwisho SISCO alishinda 5-0Yes uwe uzi rasmi mzee hapo utakuwa umetishaa
Sema katika hao mabingwa why Sisco hujamuweka?
Ronaldo naskia amepasuka mara kibao kwa Sisco au ilikuwa mkataba wa sare nini?
Ipo hivo Hilo kwa wengi hata mafundi wenyewe wanasema Ni Goli kwa 3Mbona kama Mkulima alipaswq afungwe kete tatu?
Sisco wanasema anahitaji ku mantain ,kwa muda mrefuYes uwe uzi rasmi mzee hapo utakuwa umetishaa
Sema katika hao mabingwa why Sisco hujamuweka?
Ronaldo naskia amepasuka mara kibao kwa Sisco au ilikuwa mkataba wa sare nini?
Hamna goli hapo, mwenye nyeupe anabidi akubali kati ya kuliwa kete yake iliyokuwa njiani au amruhusu mwenye nyekundu akae major.Mbona kama Mkulima alipaswq afungwe kete tatu?