Sawa inawezekana ukawa unajua draft sana ila sijatoshelezwa na hoja zako kuhusiana na sare ya draft hilono offense Scars, ila wewe bado
Hapo umepotea hiyo kete naiziba na kingiNaiomba hiyo kete kwa nyuma, wewe utacheza vipi?View attachment 2470318
Narudi pale pale nilipotoka
Naisogeza hatua moja mbele kete yangu ya roadNarudi pale pale nilipotoka
Ukija mwisho unanipa nafasi ya kucheza kete yangu ile ya nyuma kabisa
then naiomba ya katiUkija mwisho unanipa nafasi ya kucheza kete yangu ile ya nyuma kabisa
Hapo nimegunduathen naiomba ya kati
Umenifanya nitoke home niende kiji 🤣 weni
Unaisogeza kufuata road ama kuelekea wapi? Kama utasogeza kufuata road itakuwa haizibiki tena nikiiombea majorNaisogeza hatua moja mbele kete ya gu ya road
Ukisema uje kuiomba kwa nyuma nakuzuia kwa kuziba na kingi
Wewe kwa hesabu zako mpaka hapo hilo ni goliNarudi pale pale nilipotoka
Mkuu mimi draft ndio mchezo wangu pendwa ndio sehemu ambayo nikiwa popote pale najiona nipo nyumbani🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwa vyovyote vile hakuna goli kwasababu kitendo cha awali cha kukuomba kete na ukaziba maanake nimeshakutoa kwenye namna ya kuilinda hiyo kupitia major.Wewe kwa hesabu zako mpaka hapo hilo ni goli
Mimi mwenyewe ni mchezaji average nilivyoliona hilo bao sikutaka kulikibali kiwepesi kuwa ni sare
Siku zote unapoona watu wanachukua bao kama kipande ujue kuna cheating codes hapo ambazo ziko hidden
Angalia dronedrake alivyotoa sare na jinsi wewe ulivyokuwa unalicheza utaona utofauti
Naisogeza mbele kufuata roàdUnaisogeza kufuata road ama kuelekea wapi? Kama utasogeza kufuata road itakuwa haizibiki tena nikiiombea major
Kwa maelezo yako jinsi ulivyotoa hapo kuna goli yani lazima ufungweKwa vyovyote vile hakuna goli kwasababu kitendo cha awali cha kukuomba kete na ukaziba maanake nimeshakutoa kwenye namna ya kuilinda hiyo kupitia major.
Saizi nisharudi home naona uvivu kupamda kijiweni, ila kwa ulivyoeleza hilo ni goliPanga hiyo kete unavyoisogeza uone kama sio sare yenyewe hiyo. Scars
Kwa Sasa Sisco, Ronaldo anaogopa akicheza nae akifungwa ,dogo atachukua nafasi yake ,heshima itashuka kwenye madraftWe kwa unavyoona kati ya Sisco na Ronaldo yupi mkali?