Ni sare ile. Nilishuhudia ile game.Ipo hivo Hilo kwa wengi hata mafundi wenyewe wanasema Ni Goli kwa 3
Ila mkulima alitoa Sare vzr kabisa, na Video yake IPO
Kuna Step anafanya hapo Hadi Sare
Kimeshachukuliwa Kama kipande, watu wataanza kuzunguka nacho kuwapiga watu pesa
najaribu kuwaokoa wacheza draft hao, isije ikawa ni kijana wa form 3 yupo na laptop yake kawazidi akili wakubwa zake wanaodhani wanacheza na mtu bila kujua huyo mtu anatumia akili ya computer kuigilizia movesAcha jamaa awanyooshe
Kumbe mnamjua kabisa basi ni mwambaUsichokijua ni kwamba kuna mashindano ya face to face mengi yamefanyika na still jamaa anawacharaza
dronedrake
Wacheza draft wote wakubwa wanajua app zote za madraft tofauti na jinsi unavyo wakadirianajaribu kuwaokoa wacheza draft hao, isije ikawa ni kijana wa form 3 yupo na laptop yake kawazidi akili wakubwa zake wanaodhani wanacheza na mtu bila kujua huyo mtu anatumia akili ya computer kuigilizia moves
Nenda Kinondoni manyanya ulizia draft college ni wapiKumbe mnamjua kabisa basi ni mwamba
Mkulima naye anajuaNimeangalia mpka gemu ya 14 ilikuwa draw nahisi yule sisko alichoka tu ila mkulima daa nimeshindwa kumuelewa maana hakuna mtu wa kawaida anaweza cheza kama vile sehemu unaona angefungwa yeye anatoa sare kilaini
Eng Ze dudu njoo uchuke maajuzi nikufundishe upambane na kina sisko
Ngumu kutoa sare zote kama kwa hiyo michezo kama mtu ana uwezo atakufunga tu
hizo apps za simu cha mtoto kabisa zina copy chache na zimetengenezwa kwa feautures za kawaida, huwezi kulinganisha na programs zilizotengenezwa na watu waliosomea sayansi ya drafti, mfano wa program kama chinook wameilisha mbinu na copy zote nayo ikawa inasaidiwa na computer izijue copy za ziada... HAIFUNGIKI!!!!Wacheza draft wote wakubwa wanajua app zote za madraft tofauti na jinsi unavyo wakadiria
Huyo dalmax watu wanamchapa hata sare hazioni
Huu mchezo unaweza ukauchukulia kama passion wenzako hiyo ni ajira na kila siku wanatafuta mbinu mpya
Beba hiyo laptop yako nenda pale manyanya draft college waambie tucheze draft ila mimi nitakuwa natumia formula za hii program afu wewe utakuwa unatumia akili yakohizo apps za simu cha mtoto kabisa zina copy chache na zimetengenezwa kwa feautures za kawaida, huwezi kulinganisha na programs zilizotengenezwa na watu waliosomea sayansi ya drafti, mfano wa program kama chinook wameilisha mbinu na copy zote nayo ikawa inasaidiwa na computer izijue copy za ziada... HAIFUNGIKI!!!!
Mkuu tatizo huwa mnacheza drafts za kwenye apps za simu ambazo zinatumia hesabu basic kabisa, Computer program kama chinook iliyofanyiwa utafiti kwa miaka 19 kuanzia 1989 hadi 2007 ni kitu kingine, haina kipya cha kujifunza na HAIFUNGIKI !!Beba hiyo laptop yako nenda pale manyanya draft college waambie tucheze draft ila mimi nitakuwa natumia formula za hii program afu wewe utakuwa unatumia akili yako
Halafu weka dau hata 50k uone watu wanavyoingia porini kusaka hela ya madaftari ya watoto shuleni
Acha mbambamba,, we ushaambiwa beba hiyo chinook yako nenda nayo kinondoni manyanya draft college,, hivyo we kwa akili yako unajua hiyo chinook unaijua we peke yako? Au mkulima peke yake? Hizo program watu wanazijua sana, ila kinachotumika ni akili za mtu na sio hizo program,, na ukibisha we nenda na computer yako pale.Mkuu tatizo huwa mnacheza drafts za kwenye apps za simu ambazo ni basic kabisa, Computer program kama chinook iliyofanyiwa utafiti kwa miaka 19 kuanzia 1989 hadi 2007 ni kitu kingine, HAIGUNGIKI !!
Tangu mwaka 2007 chinook ilipoweza kuusoma mchezo wa draft kwa asilimia 100, HAIGUNGIKI !!
Acha ubishi tafadhali, Chinook kamshinda bingwa wa drafti duniani tangu 1993 na mpaka sasa hakuna bingwa wa dunia aliewahi kushinda.Acha mbambamba,, we ushaambiwa beba hiyo chinook yako nenda nayo kinondoni manyanya draft college,, hivyo we kwa akili yako unajua hiyo chinook unaijua we peke yako? Au mkulima peke yake? Hizo program watu wanazijua sana, ila kinachotumika ni akili za mtu na sio hizo program,, na ukibisha we nenda na computer yako pale.
Acha ubishi tafadhali, Chinook kamshinda bingwa wa drafti duniani tangu 1993 na mpaka sasa hakuna bingwa wa dunia aliewahi kushinda.
Drafti imebaki kuwa mchezo wa binadamu sio wa kupambanisha na computer, Ni sawa na mchezo wa mbio hatuwezi kuwaweka paka washindane na binadamu.