hao naowapelekea wamewahi kushinda ubingwa wa dunia ?Wewe ni mbishi wa asili.
Beba hiyo computer yako uende nayo hapo college.
Mkuu wewe unajua kucheza draft? Ushawahi hata kuitwa mwamba kwenye kijiwe chenu? Unawajua mabingwa wa draft tz? Maana isije ukawa unabisha tu ingali umesoma tu kuwa kuna programu inaitwa Chinok mtandaoni ukawachukulia poa vipanga wa draft in real timehao naowapelekea wamewahi kushinda ubingwa wa dunia ?
kama bingwa wa dunia hawezi hao wataweza ?
niwa pelekee kina nani ? hao wanaoambiwa waunganishe vichwa 10 washindane na huyo mkulima ambae huenda nae anatumia program hii ?
kabishane na googleMkuu wewe unajua kucheza draft? Ushawahi hata kuitwa mwamba kwenye kijiwe chenu? Unawajua mabingwa wa draft tz? Maana isije ukawa unabisha tu ingali umesoma tu kuwa kuna programu inaitwa Chinok mtandaoni ukawachukulia poa vipanga wa draft in real time
Simple , achana na bingwa wa dunia mkuu.hao naowapelekea wamewahi kushinda ubingwa wa dunia ?
kama bingwa wa dunia hawezi hao wataweza ?
niwa pelekee kina nani ? hao wanaoambiwa waunganishe vichwa 10 washindane na huyo mkulima ambae huenda nae anatumia program hii ?
kabishane na google nimechoka kubishana na wewe unaedhani apps hizo za simu ni sawa na computer program inayowagalagaza mabingwa wa draft wa duniaSimple , achana na bingwa wa dunia mkuu.
Beba computer yako Nenda nayo manyanya na dau lako kubwa tuu, nakuhakikishia utapigwa adi ufilisike. Mwishoni utaeka bond iyo computer nayo italiwa
Google hua ni binadamu ndo tuna feed information, ata wewe unaeza enda andika leo mkulima ni bingwa wa draft kuwai kutokea, na mwaka 2500 mtu akaikuta.kabishane na google nimechoka kubishana na wewe unaedhani apps hizo za simu ni sawa na computer program inayowagalagaza mabingwa wa draft wa dunia
niambie ni mwanadamu gani kakariri moves zote bilioni 500 za drafti ??
nakumbuka game ilipigwa kitundaKipindi hicho, ila Game ya mwisho SISCO alishinda 5-0
Baada ya hapo Ronaldo hataki ,hata dau likiwekwa 1M , hataki ,sio muda nilikuwa naongea nae why hataki anasema Dogo alimtusi ,unaenda zaidi ya miaka miwili Sasa ,hataki kucheza nae
Hilo ni goli mbona, hata akiingia kuliaUna maanisha aweke king hapo? Kama ndio hivyo. Je akiomba hiyo kete kwa nyuma haitoliwa?View attachment 2470303
Sisco alishapigwa game 3 kati ya 5 na Mr. Waziri (Huyu ni Mwalimu wa sekondari) kama unamjua vizuri. Ila tusiongee sana itafika siku tuMsomali anakuja Sana manyanya pale hata mechi na Sisco hawez omba Wala kupangiwa..sio uzani wake,,...huyo anahangaishana na kina Ally white wachezaji uzani flani wa katkat ao wa mabao
sisco sio kama hafungwi mkuu..usininukuu vibaya,ila ndo fundi mkubwa wa mabao kwa sasa,mechi anazofungwa ni za kuzisaka na tochi,kufungwa ni sehemu ya mchezoSisco alishapigwa game 3 kati ya 5 na Mr. Waziri (Huyu ni Mwalimu wa sekondari) kama unamjua vizuri. Ila tusiongee sana itafika siku tu
[emoji28][emoji28][emoji28]Google hua ni binadamu ndo tuna feed information, ata wewe unaeza enda andika leo mkulima ni bingwa wa draft kuwai kutokea, na mwaka 2500 mtu akaikuta.
Kingine Checkers ya 2007 ina kanuni tunazotumia Tanzania.??
Usiwe unakariri tu mkuu ,elewa .
Ukibisha sana ,beba computer yako na iyo app yako kapige ela pale manyanya [emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Duuhh, nimetoka kapa
IBM walikua na software ya CHESS ambayo kwa namna yeyote binadamu hazingeweza kuifunga,,unajua nini kilitokea???beba laptop yako na hela nenda kwa mabingwa na hela Ku prove point yako..acha ubishi wa nenda Google kama wewe ndio wa kwanza kwenda Google kuangalia madrafti..Niwakumbushe tu kwamba mchezo wa draft uliweza kuwa solved kwa asilimia 100 mwaka 2007, moves bilioni 500 zinazoweza kuchezwa kwenye draft zimo ndani ya proram za computer kama chinook, hata uende hapo kariakoo huwezi kumkuta mtu aliekariri moves zote
Alikuwa wa Dsm, akiishi temeke maeneo ya mwembe yanga. Anaitwa mchafu kwa sababu ni mchafu kweli. Hana muda wa kufua wala kuoga. Yeye draft tu.Huyu Juma Mchafu ni yule wa Mwanza?
Ni kweli kabisa unajua ukicheza omari john hapo ile 14 major kavimba taa tren nugza mabano pasati na tege inawezekana kabisa mechi ikawa draw kwa anaejua draft sana hapo kumfunga ngumu inakuwa sare mkikutana mabingwa sasa zile tege 10 ndio watu wanakuwa wanachoka maana 24 games akili hoi na wanafanya hivi lengo kupata bingwaanakufunga kwa sababu mnacheza mara 24. Concentration na umakini wa kichwa unapungua kadri mnavyoondelea.
Hata mabingwa wa dunia wa chess hawachezi michezo 24 mfululizo. Hivi wacheza drafti wa Tanzania hawalioni hili, wana akili moja tu ya drafti ?
Anajua mpaka anakera kweli
Yule jamaa anatumia program ukitaka kuamini weka dk 5 unamfunga that's why ukicheza na mkulima lazima dk zake ziwahi kuisha na ndio maana hataki kujionesha kama ana amini yeye ni real ajitokeze katika bench yule mkulima ni program tu anatumiaInakuwa hivi, kuna program za computer zimemezeshwa kila copy ya draft na mbinu, hakuna kipya utachofanya ambacho haijui, kwa kifupi ni kwamba hakuna mwanadamu anaeweza kushinda, na hata zikicheza computer 2 ni droo.
mfano wa hizi program ni kama chinook iliyoweza kuzimeza kopi zote za kushinda na kutoa sare. HAIFUNGIKI !! achana na hizo games za kwenye simu, hazifikii hata theluthi ya kilichomo kwenye chinook.
Kwa mtu anaecheza mtandaoni anaweza kuzitumia program hizo kujimwambafai, upande moja anakuwa na laptop yenye hiyo program upande wa pili ndio anakuwa na simu anayochezea draft mtandaoni.
Mpinzani akisukuma kete, nae anaigiliza hio move anaiweka kwenye program ya computer, computer ikicheza yeye anaigilizia anacheza hivyo hivyo kwenye simu yake mtandaoni,
nimestuka sana pale imefikia hatua huyo mkulima hataki kajiamini kiasi kuviomba vikundi vya draft viwe vinahangia kwa mpigo wawe wanaunganisha vichwa, yawezekana ni mtaalam ila kwenye hili ndipo nilipomtilia shaka huenda ana kichwa kama computer ama anatumia program ya computer.
Wanaocheza drafti yawezekana wanachojua zaidi ni drafti ila wasisahau kwamba teknolojua imekuwa kubwa sana, wawe makini !! wao wanaweza kudhani kwa kuwa anaecheza ni mtu basi wanamwamini kumbe mtu wanaecheza nae anaigilizia kwenye computer.
Nasikia kuna sponsor analipa pesa... Awe makini.
ππ π π π π14 major kavimba taa tren nugza mabano pasati na tege
Mkulima ni program tu na kama anajiamini yeye anajua atoke real katika benchi na kingine kinachofanya niamini kuwa mkulima anatumia program ukicheza nae muda wake unawahi kuisha na pili pale gemu inapoanza labda ww umeanza kucheza kete ya kwanza yeye atachykuwa kama dka hata 2 ndio acheze huo ni ushahidi mpka arekebishe program kwa kutoa michezo iliyopita ndio acheze tenaKama unamjua kiuhalisia Sisco,noel, Ronaldo na umewai kuongea nao wanajua kama mkulima ni program anatumia,,
na sio mara ya kwanza noel,Sisco wanacheza na mkulima ,,Sisco alifungwa 2-0 na mkulima mda sana tuu na akawa anasema ni program..babaaskofu yani noel kma ww ni member wa playok tumeona game zao nyingi tuu.. ndio maana kina java wanasema watu watafute sare interm kama kujipima na program tuone uwezo wa vijana umekua Kwa kiasi gani..
Mkulima anasemekana ni amani sanga ambae kiukwel ni tura tuu live..
Kama ww ni member wa playok Kuna mwamba anatusumbua anaitwa ashkelon ambaye ni Ronaldo anatoa sana droo na mkulima Kwa sababu anakuambia iyo ni program usiishambulie kwasababu mkulima hashambulii ukikosea kidogo iyo chumaaa..
Mtu pekee alieingia nyavuni kwake ni David mbeya tuu..ni ngumu mtu kucheza game 200 na zaid bila kufungwa hasa na wakubwa wenzako..
Sisco
Sisco ni mzuri na anatumia nafasi yake kua juu apige pesa Kwa Sasa..
Kuhusu kumtukana Ronaldo ni Ile bifu tu yakimakundi coz Sisco,nduli,noel ni kundi Moja..na Ronaldo hataki kucheza sikuizi na mmoja wao yoyote wengine wakiwepo..yani akicheza na noel hataki Sisco na nduli wawepo java aliweka 800k iliwacheze noel na cr7..cr7 akaweka kipingamizi iko..