Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
We kwa unavyoona kati ya Sisco na Ronaldo yupi mkali?Kipindi hicho, ila Game ya mwisho SISCO alishinda 5-0
Baada ya hapo Ronaldo hataki ,hata dau likiwekwa 1M , hataki ,sio muda nilikuwa naongea nae why hataki anasema Dogo alimtusi ,unaenda zaidi ya miaka miwili Sasa ,hataki kucheza nae