Drag race kufanyika Kigamboni kesho

Drag race kufanyika Kigamboni kesho

Themann

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2022
Posts
3,842
Reaction score
16,058
Wakuu mambo vipi poleni na majukumu yakujenga taifa nawapenyezea hii wale wapenda magari na miendo Ile drag race iliyofanyika mwaka jana pale Nyerere Bridge Kigamboni inarudiwa tena hii ni season ya pili kama ulimisi mwaka jana usipange kukosa ni kesho June 2 mwenye more info atupie hapa sijajua muda ni kwanzia saa ngapi gari zote za mbio tuned vs stock zitakuwepo.

IMG-20240601-WA0045.jpg
 
Kuna mwamba anajiita RT Motors alikua na A6 Audi.

Kuna mwanetu alikua na BMW 3 Series ikakalishwa na Vitz RS.

Uchawi wa TT ni Accerelation.
Ishhhh 😂😂 vtz rs au ni kale keupe nakaonaga Coco beach halafu nafatilia drag race za Kenya kuna aud tt imekalisha gtr au hii tt ya huku ni stock na Ile ni tuned
 
Wakuu mambo vipi poleni na majukumu yankujenga taifa nawapenyezea hii wale wapenda magari na miendo Ile drag race iliyofanyika mwaka jana pale Nyerere bridge kigamboni inarudiwa tena hii ni season ya pili kama ulimisi mwaka jana usipange kulosa kesho mwenye more info atupie hapa sijajua muda ni kwanzia saa ngapi.
Bei gani kiingilio? Pia darajani maeneo gani
 
Kama ile Tezza ambayo inafanyiwa udambwi na GTP na Jetcruza ikija hapo Kigamboni itawasumbua sana..

Chuma ina 1jzGte.. na inakubali boost vibaya mno..

Kuna project miaka ya nyuma ilikuw Tezza ya Dibo nafkir ilipigwa 2JzGte ikawa overpowered.. road haikai inakuvuta nje ya lane...........

Any legend out here...?
 
Wana zi tune mbwa wale. Wakenya wako serious. Majiko yao shikamoo
Kuna hioo tt nataka kesho niione je Ina maajabu Mimi naendaga pale coco kila jumapili saivi drag race walishaaja askari wa doria wanasumbua ila sometime wanakiwashaga ila nategemea kesho nione kila aina ya mpira kuna majesta moja inanikoshaga sana hii hapa chini

PXL_20240408_115107199.jpg
PXL_20240421_163007547.jpg
 
Back
Top Bottom