Tuff
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 300
- 700
Basi acha tuishie hapo mkuu. Ila nilikuwa curious kujua 4cyl inayoboost 2.5 barsNaaah sina Evil (EVO) ... nikitaja tuu ID inakuw exposed..🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi acha tuishie hapo mkuu. Ila nilikuwa curious kujua 4cyl inayoboost 2.5 barsNaaah sina Evil (EVO) ... nikitaja tuu ID inakuw exposed..🤣
Sawa mkuuu😂Share picha na updates Itscharlie video za MB nyingi uchumi umeyumba.
😅😅😅DaahKuna mwamba anajiita RT Motors alikua na A6 Audi.
Kuna mwanetu alikua na BMW 3 Series ikakalishwa na Vitz RS.
Uchawi wa TT ni Accerelation.
Kama risk taker, njia ya Ubungo Riverside, Flyover hadi Mlimani, unafika 180kphKwa hapa DAR kama unataka kuipima gari yako nenda hapo darajani muda wa asubuhi SAA 12 jumapili maana panakuwa hakuna magari mengi ...hapa gari yako kama IPO vizuri unaweza kupata speed 160 .
Ningekuwa nipo DAR ningeenda kushuhudia Moto unavyomwagika
Haya magari yanapendwa Sana na wahindi, hawa wenzetu wakipata ajali fasta wanapelekwa ulaya kutibiwa,View attachment 3006780Keiwood mzee wa Subaru... Yeye makelele tu Coco mbio hawezi..
Wenye crown wanafikisha chap Sana Sisi wengine wenye baby walker labda 120Kama risk taker, njia ya Ubungo Riverside, Flyover hadi Mlimani, unafika 180kph
Leo Audi sQ5 ndo kashindaKwa hapa DAR kama unataka kuipima gari yako nenda hapo darajani muda wa asubuhi SAA 12 jumapili maana panakuwa hakuna magari mengi ...hapa gari yako kama IPO vizuri unaweza kupata speed 160 .
Ningekuwa nipo DAR ningeenda kushuhudia Moto unavyomwagika
Aisee nimekosa hii alafu naona hawa wandaaji wanashindwa kutangaza hii michezo sijui kwanini..Leo Audi sQ5 ndo kashinda