Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,842
- 16,058
- Thread starter
- #21
Ngoja malegend waje mkuuKama ile Tezza ambayo inafanyiwa udambwi na GTP na Jetcruza ikija hapo Kigamboni itawasumbua sana..
Chuma ina 1jzGte.. na inakubali boost vibaya mno..
Kuna project miaka ya nyuma ilikuw Tezza ya Dibo nafkir ilipigwa 2JzGte ikawa overpowered.. road haikai inakuvuta nje ya lane...........
Any legend out here...?