Kuna mwamba anajiita RT Motors alikua na A6 Audi.Ivi mkuu mwaka jana alishinda nani nilimis last year nilikuwa out of Dsm
Ishhhh 😂😂 vtz rs au ni kale keupe nakaonaga Coco beach halafu nafatilia drag race za Kenya kuna aud tt imekalisha gtr au hii tt ya huku ni stock na Ile ni tunedKuna mwamba anajiita RT Motors alikua na A6 Audi.
Kuna mwanetu alikua na BMW 3 Series ikakalishwa na Vitz RS.
Uchawi wa TT ni Accerelation.
Wana zi tune mbwa wale. Wakenya wako serious. Majiko yao shikamooIshhhh 😂😂 vtz rs au ni kale keupe nakaonaga Coco beach halafu nafatilia drag race za Kenya kuna aud tt imekalisha gtr au hii tt ya huku ni stock na Ile ni tuned
Bei gani kiingilio? Pia darajani maeneo ganiWakuu mambo vipi poleni na majukumu yankujenga taifa nawapenyezea hii wale wapenda magari na miendo Ile drag race iliyofanyika mwaka jana pale Nyerere bridge kigamboni inarudiwa tena hii ni season ya pili kama ulimisi mwaka jana usipange kulosa kesho mwenye more info atupie hapa sijajua muda ni kwanzia saa ngapi.
Vipi na yule wa altezza aliyekalishwa na Starlet glanzaKuna mwamba anajiita RT Motors alikua na A6 Audi.
Kuna mwanetu alikua na BMW 3 Series ikakalishwa na Vitz RS.
Uchawi wa TT ni Accerelation.
Mkuu 4EFTE inakuwaga moto sana ikifanyiwa tuning au mapping ndo maana Indonesia na Malaysia wanazikubali sanaKilitoka kama mkuki
Saa ngapiFree. Darajani pale pale
Night sioItakua saa 4 hivi maana sijaona ratiba kamili.
Ni kweli kabisaKilitoka kama mkuki
Audi tt kuishinda GTR next to impossible.Ishhhh 😂😂 vtz rs au ni kale keupe nakaonaga Coco beach halafu nafatilia drag race za Kenya kuna aud tt imekalisha gtr au hii tt ya huku ni stock na Ile ni tuned
Kuna hioo tt nataka kesho niione je Ina maajabu Mimi naendaga pale coco kila jumapili saivi drag race walishaaja askari wa doria wanasumbua ila sometime wanakiwashaga ila nategemea kesho nione kila aina ya mpira kuna majesta moja inanikoshaga sana hii hapa chiniWana zi tune mbwa wale. Wakenya wako serious. Majiko yao shikamoo
Msalimie Jason FrisbyI wish ningekuwepo Dsm, so far itakuw hot hot.. nipo on project sahiv nafika 2.5 bars with 350hp..
Kesho tukutane Sambu mchana (watu wa Arusha tunaelewana)
Zimefika..Msalimie Jason Frisby