Leo nimeHaya magari yanapendwa Sana na wahindi, hawa wenzetu wakipata ajali fasta wanapelekwa ulaya kutibiwa,
Kuna mhindi mmoja yupo kariakoo mtaa wa kiungani anamiliki Volkswagen R32 hii mashine ni kama ndege hivi Kwa jinsi inavyokimbia
Sema kwa bongo Bado hatuna gari za drag race nyingi ni Subaru tu za mikeleleHaya magari yanapendwa Sana na wahindi, hawa wenzetu wakipata ajali fasta wanapelekwa ulaya kutibiwa,
Kuna mhindi mmoja yupo kariakoo mtaa wa kiungani anamiliki Volkswagen R32 hii mashine ni kama ndege hivi Kwa jinsi inavyokimbia
Tatizo hatuna maeneo mengi ya michezo Kwa wenzetu wakenya michezo tofauti na soka wanapewa kipaumbele.Leo nime
Sema kwa bongo Bado hatuna gari za drag race nyingi ni Subaru tu za mikelele
Uzito mchawi. Crown ina 2 tons wakati Brevis 1.5 tons.Brevis ikiichapa crown 😂
Mkuu ukipata tena ratiba ya mwezi September usisahau kuni-tagNi ajabu hata mitandaoni watu walikuwa hawajui kuna Nini watu wangejaaa sana ila season 2 ni September na season 3 ni December
Hiyo brevis nahisi ni 300i kama ni hii inautofauti na zile brevis 250i...kama ni brevis 300i hapa lazima crown akalishwe mapema sanaUzito mchawi. Crown ina 2 tons wakati Brevis 1.5 tons.
Niliwaambia mapema kuhusu hiyo gari..Mkuu hii altezza Leo imesumbua sana Leo naskia automax ndo kaifanyia mautundu
Tatizo hatuna maeneo mengi ya michezo Kwa wenzetu wakenya michezo tofauti na soka wanapewa kipaumbele.
Tanzania tunalazimishwa kupenda soka Ila Sisi wengine ugonjwa wetu ni kwenye magari tumkuu ni
Kumbeeee 😂😂😂😂Uzito mchawi. Crown ina 2 tons wakati Brevis 1.5 tons.
Hiyo brevis nahisi ni 300i kama ni hii inautofauti na zile brevis 250i...kama ni brevis 300i hapa lazima cro
Da crown kapigwa koteHiyo brevis nahisi ni 300i kama ni hii inautofauti na zile brevis 250i...kama ni brevis 300i hapa lazima crown akalishwe mapema sana
wn akalishwe mapema
Kaweka hela humo.Aiseee kweli kawaumbua sana Leo ni muhindi mmoja
Kuna Project bado hazijatokaNimekubali katika altezza zilizobakia bongo hii inakaliza teza zote
1jz gte engine kwa sasa inafika hela ngapi?Kuna Project bado hazijatoka
Aisee sijajua maana zinatofautiana specs, YOM, pia na status (Used for how long)..1jz gte engine kwa sasa inafika hela ngapi?
Demu wangu wamekutolea ban?Mambo mrembo
Bae cuteyy Jana umeondoka magetoni ukasahau chupiMm c mumeo wameona huwez kuishi bila Mm utakufa njaa