DRC: Balozi wa Rwanda apewa saa 48 za kuondoka Nchini humo

DRC: Balozi wa Rwanda apewa saa 48 za kuondoka Nchini humo

Na tunaofuatilia kwa ukaribu sana Kinachoendelea tunajua kuwa pia kuna Msaada wa Kijeshi ( ila unafanywa Kisirisiri ) Ili Kuipiga Rwanda.

Naionya hiyo nchi Kiherehere Afrika Mashariki kuwa lisifanye hivyo bali lijikite zaidi katika Kutatua huu Mgogoro vinginevyo nayo itakumbukana na kile isichokitegemea kutoka kwa Manguli, Mafundi na Wababe wa Vita vya Kiuweledi Taifa la Rwanda.

Nimemaliza.

Acha kutisha watu Rwanda pamoja na uwekezaji wake kwenye jeshi bado ni mchumba tu kwa JWTZ
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu ,kuwa Balozi wa Rwanda nchini DRC amefukuzwa nakupewa masaa 48 awe ameshapotea mjini Kinshasa la si hvyo kitakachompata itakuwa history .

DRC wamechoka na upumbafu wa rwanda kwa kuendelee kuhihujumu nchi hyo kupitia kikundi Cha waasi Cha M23 kinacho ratibiwa vizur na serekali ya Rwanda sas wacongo wamechoka leo wamefanya maandamao mji mzima wa goma kuelekea mpkani mwa nchi ya Kigali kushinikiza Rwanda kuacha kuhihujumu Congo Dr.

Sas kwa upande wetu huku Tanzania tutumie nafsi hyo hyo kupinga ujinga na upumbafu wa Rwanda katk kuhujumu East Africa yetu .Tuungane na wenzetu wakongo kwani Ni jmaa zetu kupinga upuuzi wa Rwanda ili amani ipatikane mashariki mwa DRC ,Ni ujinga tukiendelee kumuongopa kagame na asipo kemewa na jumuhiya hii bas jamaa iko siku atakuja kutukalia kooni

Ni wajimu wa mam kumfukuza na kumrudisha nyumbani balozi huyo ili akili za kagame zireje na aone kuwa Hakuna mtu anamuunga mkono upuuzi wake anaoufanyia ndugu zetu kina Mayele,Moloko,Bangala ,Mwinyi zaheri,Tk master,Joicelomalisa,Makambo ,Tishishimbi , na wengine wote wanaocheza ktk ligi yetu pendwa ya nbc premier


Wakongo Ni ndugu zetu wa damu Kuna mtu aliwai nimbia kuwa ndugu zetu kbsa halisi kwa hapa Africa Ni wakongo hata john malecela Ana asili ya Congo
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu ,kuwa Balozi wa Rwanda nchini DRC amefukuzwa nakupewa masaa 48 awe ameshapotea mjini Kinshasa la si hvyo kitakachompata itakuwa history .

DRC wamechoka na upumbafu wa rwanda kwa kuendelee kuhihujumu nchi hyo kupitia kikundi Cha waasi Cha M23 kinacho ratibiwa vizur na serekali ya Rwanda sas wacongo wamechoka leo wamefanya maandamao mji mzima wa goma kuelekea mpkani mwa nchi ya Kigali kushinikiza Rwanda kuacha kuhihujumu Congo Dr.

Sas kwa upande wetu huku Tanzania tutumie nafsi hyo hyo kupinga ujinga na upumbafu wa Rwanda katk kuhujumu East Africa yetu .Tuungane na wenzetu wakongo kwani Ni jmaa zetu kupinga upuuzi wa Rwanda ili amani ipatikane mashariki mwa DRC ,Ni ujinga tukiendelee kumuongopa kagame na asipo kemewa na jumuhiya hii bas jamaa iko siku atakuja kutukalia kooni

Ni wajimu wa mam kumfukuza na kumrudisha nyumbani balozi huyo ili akili za kagame zireje na aone kuwa Hakuna mtu anamuunga mkono upuuzi wake anaoufanyia ndugu zetu kina Mayele,Moloko,Bangala ,Mwinyi zaheri,Tk master,Joicelomalisa,Makambo ,Tishishimbi , na wengine wote wanaocheza ktk ligi yetu pendwa ya nbc premier


Wakongo Ni ndugu zetu wa damu Kuna mtu aliwai nimbia kuwa ndugu zetu kbsa halisi kwa hapa Africa Ni wakongo hata john malecela Ana hasili ya Congo
Ana HASILI? 😳😳😳 ELIMU NI JAMBO LA MUHIMU SANA NINYI DARASA LA SABA MTAANZA LINI PRE FORM ONE?
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu ,kuwa Balozi wa Rwanda nchini DRC amefukuzwa nakupewa masaa 48 awe ameshapotea mjini Kinshasa la si hvyo kitakachompata itakuwa history .

DRC wamechoka na upumbafu wa rwanda kwa kuendelee kuhihujumu nchi hyo kupitia kikundi Cha waasi Cha M23 kinacho ratibiwa vizur na serekali ya Rwanda sas wacongo wamechoka leo wamefanya maandamao mji mzima wa goma kuelekea mpkani mwa nchi ya Kigali kushinikiza Rwanda kuacha kuhihujumu Congo Dr.

Sas kwa upande wetu huku Tanzania tutumie nafsi hyo hyo kupinga ujinga na upumbafu wa Rwanda katk kuhujumu East Africa yetu .Tuungane na wenzetu wakongo kwani Ni jmaa zetu kupinga upuuzi wa Rwanda ili amani ipatikane mashariki mwa DRC ,Ni ujinga tukiendelee kumuongopa kagame na asipo kemewa na jumuhiya hii bas jamaa iko siku atakuja kutukalia kooni

Ni wajimu wa mam kumfukuza na kumrudisha nyumbani balozi huyo ili akili za kagame zireje na aone kuwa Hakuna mtu anamuunga mkono upuuzi wake anaoufanyia ndugu zetu kina Mayele,Moloko,Bangala ,Mwinyi zaheri,Tk master,Joicelomalisa,Makambo ,Tishishimbi , na wengine wote wanaocheza ktk ligi yetu pendwa ya nbc premier


Wakongo Ni ndugu zetu wa damu Kuna mtu aliwai nimbia kuwa ndugu zetu kbsa halisi kwa hapa Africa Ni wakongo hata john malecela Ana hasili ya Congo
Mkuu unaijua lakini history ya kwann warwanda wapo congo na walifanyiwa kitu gani na wakongo
 
Yaani intelejensia ya nchi za East Africa (Tanzania, Kenya, Uganda) miaka yote imeshindwa kung'amua tatizo lililopo DRC hadi hali imekuwa tete, ndo leo hii tuanze kuwaamsha........liwalo na liwe, acha wakongo wapiganie nchi yao, nchi za kiafrika zina unafiki mwingi sana.
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu ,kuwa Balozi wa Rwanda nchini DRC amefukuzwa nakupewa masaa 48 awe ameshapotea mjini Kinshasa la si hvyo kitakachompata itakuwa history .

DRC wamechoka na upumbafu wa rwanda kwa kuendelee kuhihujumu nchi hyo kupitia kikundi Cha waasi Cha M23 kinacho ratibiwa vizur na serekali ya Rwanda sas wacongo wamechoka leo wamefanya maandamao mji mzima wa goma kuelekea mpkani mwa nchi ya Kigali kushinikiza Rwanda kuacha kuhihujumu Congo Dr.

Sas kwa upande wetu huku Tanzania tutumie nafsi hyo hyo kupinga ujinga na upumbafu wa Rwanda katk kuhujumu East Africa yetu .Tuungane na wenzetu wakongo kwani Ni jmaa zetu kupinga upuuzi wa Rwanda ili amani ipatikane mashariki mwa DRC ,Ni ujinga tukiendelee kumuongopa kagame na asipo kemewa na jumuhiya hii bas jamaa iko siku atakuja kutukalia kooni

Ni wajimu wa mam kumfukuza na kumrudisha nyumbani balozi huyo ili akili za kagame zireje na aone kuwa Hakuna mtu anamuunga mkono upuuzi wake anaoufanyia ndugu zetu kina Mayele,Moloko,Bangala ,Mwinyi zaheri,Tk master,Joicelomalisa,Makambo ,Tishishimbi , na wengine wote wanaocheza ktk ligi yetu pendwa ya nbc premier


Wakongo Ni ndugu zetu wa damu Kuna mtu aliwai nimbia kuwa ndugu zetu kbsa halisi kwa hapa Africa Ni wakongo hata john malecela Ana hasili ya Congo
Yaani Kaka yako kula mazao yako unaumia. Mbona hamuandamani ili wale wafaransa na wabelgiji wasichukue madini ya kongo. Kweli adui yako Ni ndugu yako.
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu ,kuwa Balozi wa Rwanda nchini DRC amefukuzwa nakupewa masaa 48 awe ameshapotea mjini Kinshasa la si hvyo kitakachompata itakuwa history .

DRC wamechoka na upumbafu wa rwanda kwa kuendelee kuhihujumu nchi hyo kupitia kikundi Cha waasi Cha M23 kinacho ratibiwa vizur na serekali ya Rwanda sas wacongo wamechoka leo wamefanya maandamao mji mzima wa goma kuelekea mpkani mwa nchi ya Kigali kushinikiza Rwanda kuacha kuhihujumu Congo Dr.

Sas kwa upande wetu huku Tanzania tutumie nafsi hyo hyo kupinga ujinga na upumbafu wa Rwanda katk kuhujumu East Africa yetu .Tuungane na wenzetu wakongo kwani Ni jmaa zetu kupinga upuuzi wa Rwanda ili amani ipatikane mashariki mwa DRC ,Ni ujinga tukiendelee kumuongopa kagame na asipo kemewa na jumuhiya hii bas jamaa iko siku atakuja kutukalia kooni

Ni wajimu wa mam kumfukuza na kumrudisha nyumbani balozi huyo ili akili za kagame zireje na aone kuwa Hakuna mtu anamuunga mkono upuuzi wake anaoufanyia ndugu zetu kina Mayele,Moloko,Bangala ,Mwinyi zaheri,Tk master,Joicelomalisa,Makambo ,Tishishimbi , na wengine wote wanaocheza ktk ligi yetu pendwa ya nbc premier


Wakongo Ni ndugu zetu wa damu Kuna mtu aliwai nimbia kuwa ndugu zetu kbsa halisi kwa hapa Africa Ni wakongo hata john malecela Ana hasili ya Congo
Wakongo Ni ndugu zetu wa damu Kuna mtu aliwai nimbia kuwa ndugu zetu kbsa halisi kwa hapa Africa Ni wakongo hata john malecela Ana hasili ya Congo[emoji3064][emoji2827]
 
Ana HASILI? [emoji15][emoji15][emoji15] ELIMU NI JAMBO LA MUHIMU SANA NINYI DARASA LA SABA MTAANZA LINI PRE FORM ONE?
Narekebisha mzee acha hzo Hilo ndio kosa umeliona wew au hujui maswala muhimu na migogoro ya great lakes region [emoji4]
 
Yaani intelejensia ya nchi za East Africa (Tanzania, Kenya, Uganda) miaka yote imeshindwa kung'amua tatizo lililopo DRC hadi hali imekuwa tete, ndo leo hii tuanze kuwaamsha........liwalo na liwe, acha wakongo wapiganie nchi yao, nchi za kiafrika zina unafiki mwingi sana.
Sahih kbsa acha kina Mayele wache mpira wakapambanie nnchi yao
 
Sasa kama DRC kila wakati anawatuhumu M23 ni kutoka kwa Mr Slim sasa kwanini haonyeshi ubabe zaidi ya hapo ya kumuondoa tu Balozi?

Nchi kubwa namna hiyo bora ingekatwa katwa tu au hatuna akili mpaka mzungu aseme
Ikatwe katwe apewe nani? Ebu tupe mfano kwa kutumia akili ya mzungu.
 
Wakongo Ni ndugu zetu wa damu Kuna mtu aliwai nimbia kuwa ndugu zetu kbsa halisi kwa hapa Africa Ni wakongo hata john malecela Ana hasili ya Congo[emoji3064][emoji2827]
[emoji23][emoji23] asili mkuu ,Ni kweli hako ka mzee Ana asili za kikongo wew mcheki vzr
 
Mkuu ungenieleza japo kidgo nifahamu
kihistoria miaka ya zaman warwanda waliamia congo wakaish maeneo ya congo na wakazaliana vizazi na vizazj. na wakakalibishwa lakn miaka ya mbele kdg baada ya kuingia madarakani Mobbutu seseko akataka kuwatimua watu wenye asili ya rwanda maan jamaa walikuwa wapo maenek yenye mali. Mobuttu akataka kuwaondoa lakin kabila akaona acha aungane nao kumpiga Mobutu akawapa na ahadi kama tutashinda vita nitawakabidhi uraia rasmi na amatobuguziwa kilichotokea .

jamaa walipigana na watu wao baadhi wakafa lakini baada ya kushinda hawakutambuliwa kupewa uraia
 
Na tunaofuatilia kwa ukaribu sana Kinachoendelea tunajua kuwa pia kuna Msaada wa Kijeshi ( ila unafanywa Kisirisiri ) Ili Kuipiga Rwanda.

Naionya hiyo nchi Kiherehere Afrika Mashariki kuwa lisifanye hivyo bali lijikite zaidi katika Kutatua huu Mgogoro vinginevyo nayo itakumbukana na kile isichokitegemea kutoka kwa Manguli, Mafundi na Wababe wa Vita vya Kiuweledi Taifa la Rwanda.

Nimemaliza.
Rwanda imejengwa kwenye misingi ya hofu na dhaifu tu.
Ni Bomu linalosubiri kulipuka tu anytime.
Kumwangusha PK ni kuanzia ndani mwake Rwanda mule mule kwa kumuhujumu kijasusi, cuz am sure intelligence yake inapenyeka tu vzr.
 
kihistoria miaka ya zaman warwanda waliamia congo wakaish maeneo ya congo na wakazaliana vizazi na vizazj. na wakakalibishwa lakn miaka ya mbele kdg baada ya kuingia madarakani Mobbutu seseko akataka kuwatimua watu wenye asili ya rwanda maan jamaa walikuwa wapo maenek yenye mali. Mobuttu akataka kuwaondoa lakin kabila akaona acha aungane nao kumpiga Mobutu akawapa na ahadi kama tutashinda vita nitawakabidhi uraia rasmi na amatobuguziwa kilichotokea .

jamaa walipigana na watu wao baadhi wakafa lakini baada ya kushinda hawakutambuliwa kupewa uraia
Hz hbr naweza kuzipata wapi Ni source ipi ya kuamini umeinukuu mkuu samahani lkn
 
Mtu pekee aliyekuwa ana. Mmudu SLIM ni MSOGa king.

Huyo Maza wenu Wala Hana huo uthubutu licha ya kwamba nchii hii Ina ushawishi mkubwa EA na SADC.

Watajifanya kama hawaoni ila Kila siku Raia DRC mashariki wanauliwa, wanabakwa, wanatumikishwa na wale waasi wa M23.

Angekuwa Msoga king angetuma brigedia mmoja wa JEIWIII akakichafue huko KIVU na Goma.

Mama Asali sidhani kama ataweza.
 
Hz hbr naweza kuzipata wapi Ni source ipi ya kuamini umeinukuu mkuu samahani lkn
Jamii forums na pia nna mwanang ni mwandishi wa habari rwanda

 
Back
Top Bottom