DRC: Balozi wa Rwanda apewa saa 48 za kuondoka Nchini humo

DRC: Balozi wa Rwanda apewa saa 48 za kuondoka Nchini humo

Makabila mengibya kibongobya kibantu yametokea congo na cameroon enzi izo kama wachaga wasukuma wanyamwez wazaramo wagogo wapemba nk so n ndugu zetu hao sema mtoa mada sijafurahishwa kuhusisha haya mambo na UTOPWAX
 
Jamii forums na pia nna mwanang ni mwandishi wa habari rwanda

Wewe una mtoto mkubwa kiasi hicho? Ulizaa ukiwa na miaka 5?
 
Rwanda ana ujinga wake wa tamaa ya kutafuta pesa kwa njia yoyote iwe halal au haramu.... Iwe Kisiasa, kijesh, kidiplomasia

Congo pia wametawaliwa na tamaa... Ushirikiano miongoni mwao ni mdogo katika kumaliza suala la waasi.


Hivi ni kweli nchi kama congo na ukubwa wake ule unaamini inashindwa kumaliza kikundi cha waasi hata kama kinasapotiwa namna gani,

Sasa nguvu ya kupigana vita na rwanda unaitoa wapi kama sio ujinga ujinga...

Kusanya nguvu tembeza kichapo kwa waasi... Watatajana tu wenyewe nani anawalea na nani kawaleta.. very simple
 
Rwanda ana ujinga wake wa tamaa ya kutafuta pesa kwa njia yoyote iwe halal au haramu.... Iwe Kisiasa, kijesh, kidiplomasia

Congo pia wametawaliwa na tamaa... Ushirikiano miongoni mwao ni mdogo katika kumaliza suala la waasi.


Hivi ni kweli nchi kama congo na ukubwa wake ule unaamini inashindwa kumaliza kikundi cha waasi hata kama kinasapotiwa namna gani,

Sasa nguvu ya kupigana vita na rwanda unaitoa wapi kama sio ujinga ujinga...

Kusanya nguvu tembeza kichapo kwa waasi... Watatajana tu wenyewe nani anawalea na nani kawaleta.. very simple
Mommadou Ndala aliwai kuchapana na M23 kwa moyo mmoja na alifanikiwa sana.
Badala yake mabosi wake jeshini wakamuua kwa wivu maana alipendwa sana na Kabila jr
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu ,kuwa Balozi wa Rwanda nchini DRC amefukuzwa nakupewa masaa 48 awe ameshapotea mjini Kinshasa la si hvyo kitakachompata itakuwa history .

DRC wamechoka na upumbafu wa rwanda kwa kuendelee kuhihujumu nchi hyo kupitia kikundi Cha waasi Cha M23 kinacho ratibiwa vizur na serekali ya Rwanda sas wacongo wamechoka leo wamefanya maandamao mji mzima wa goma kuelekea mpkani mwa nchi ya Kigali kushinikiza Rwanda kuacha kuhihujumu Congo Dr.

Sas kwa upande wetu huku Tanzania tutumie nafsi hyo hyo kupinga ujinga na upumbafu wa Rwanda katk kuhujumu East Africa yetu .Tuungane na wenzetu wakongo kwani Ni jmaa zetu kupinga upuuzi wa Rwanda ili amani ipatikane mashariki mwa DRC ,Ni ujinga tukiendelee kumuongopa kagame na asipo kemewa na jumuhiya hii bas jamaa iko siku atakuja kutukalia kooni

Ni wajimu wa mam kumfukuza na kumrudisha nyumbani balozi huyo ili akili za kagame zireje na aone kuwa Hakuna mtu anamuunga mkono upuuzi wake anaoufanyia ndugu zetu kina Mayele,Moloko,Bangala ,Mwinyi zaheri,Tk master,Joicelomalisa,Makambo ,Tishishimbi , na wengine wote wanaocheza ktk ligi yetu pendwa ya nbc premier


Wakongo Ni ndugu zetu wa damu Kuna mtu aliwai nimbia kuwa ndugu zetu kbsa halisi kwa hapa Africa Ni wakongo hata john malecela Ana asili ya Congo

Tanzania yenye misimamo isiyotetereka haipo tena:

Lililokuwa taifa la kupigiwa Mfano halipo tena
 
Back
Top Bottom