DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao

DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao

kuna haja ya kufikiria upya namna ya kushirikiana na Taifa la DRC katika baadhi ya mambo mbalimbali!!!
 
Mkuu wa mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko nchini Congo, Jean-Jacques Muyembe amesema wamechaguliwa na wako tayari kushiki majaribio ya chanjo ya #CoronaVirus

Ameshauri kuwa majaribia hayo yanaweza kufanyika Mwezi Julai au Agosti. Amesema “Inawezekana #Covid19 ikashindikana, lakini chanjo inaweza kuishinda kama ilivyokuwa kwenye ugonjwa wa Ebola, ni chanjo zilitusaidia”

Swala hili linatokea baada ya video ya wanasayansi wawili wa ufaransa kuvuja wakishauriana kuwatumia waafrika kama majaribio ya chanjo

Mchezaji wa mpira wa miguu, Didier Drogba alipinga vikali swala hili aliloliona la kibaguzi na amesema afrika sio maabara wala Afrika sio sehemu ya majaribio

====
The Democratic Republic of Congo is prepared to take part in testing of any future vaccine against the coronavirus, the head of the country's taskforce against the pandemic said on Friday.

"We've been chosen to conduct these tests," said the head of the national biological institute, Jean-Jacques Muyembe.

"The vaccine will be produced in the United States, or in Canada, or in China. We're candidates for doing the testing here," Muyembe told a news briefing in comments that sparked controversy in DR Congo amid charges the population was being used as guinea pigs.

Muyembe suggested that clinical trials could begin in July or August.

Muyembe's comments came as two leading French doctors came under a storm of criticism after discussing on a television programme the idea of testing a vaccine for coronavirus in Africa.

Camille Locht, head of research at the National Institute of Health and Medical Research (INSERM) in Lille, and Jean-Paul Mira, head of intensive care at the Cochin hospital in Paris, suggested that Africa offered better conditions for testing the vaccine.

Their remarks sparked furious criticism, with the French anti-racism NGO, SOS Racisme, saying, "No, Africans aren't guinea pigs".
Even former international and Ivory Coast football star Didier Drogba joined in.

"It is inconceivable that we continue to accept this. Africa is not a laboratory. I strongly denounce these very serious, racist and contemptuous words," the former Chelsea and Marseille striker wrote on his Facebook page and on Twitter.

"Help us save lives in Africa and stop the spread of the virus that is destabilising the whole world instead of seeing us as guinea pigs. It is absurd."
The tenth Ebola epidemic in DR Congo is set to be declared over on April 12, after it killed more than 2,200 people in the east of the country since its outbreak on August 1, 2018.

More than 320,000 people were given two different experimental vaccines to stop the spread.

"At some point, COVID-19 will be uncontrollable," the virologist said.
"The only way to control it will be a vaccine, just like Ebola. It was a vaccine that helped us end the Ebola epidemic."
 
Hawa jamaa ni mapunguani na hawajitambui! Nchi ya DRC sijui nani aliiwalaani? Unaweka rehani wananchi wako wafanyiwe majaribio ya kupandikiziwa vimelea vya magonjwa ya CORONA heti wanatafuta kinga na dawa? Haya makampuni ya utafiti ya kimataifa yana hela ya kutosha ya kuwezesha kufanyia majaribio ya dawa kwa wanyama ambao mfumo wa miili yao na damu na mmengenyo wa chakula na uzalianaji ni sawa na binadamu. Wanyama hao ni kama panya! Sasa wananchi wa DRC wamegeuzwa panya? Hawajui madhara watakayoyapata kama hayo majaribio hayatafanikiwe? DRC mtafuteni Mungu!
 
Wewe upo kama nchi yako mnalock down watu na kucopy method za wazungu kila kitu lakini covid-19 cases zinazidi kuongezeka kenya

Kati ya wasaliti wabaya hapa Africa ni wakenya!!

Sent using Jamii Forums mobile app


Nyie mnaficha haddi kuwaponza Wazanzibari, wagonjwa wenu wametokea Tanga mkoa ambao hata hamjawahi kuutaja kwenye Corona, aidha mpo mpo hata hamjui ngoma inavyotamalaki au mumeamua kuficha. Japo naamini kwa mlivyo wazembe inawezekana hata hamna habari mpo mpo tu.

Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar - JamiiForums
 
What?? COVID-19 ni radiation disease?? Are you serious?? Is your conclusion based on science or assumptions? From what research? Do you have some clinical evidence au ni hizo story za conspiracy? Can a radiation disease be CONTAGIOUS or TRANSMITTED....... Aaaah nimechoka!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Inakukumbusha nini hii, Chernobyl? 😁
 
ni ajabu kweli ,hivyo yule jamaa mwenye mashavu kama mimi ameona ebora haimtoshe sasa ana × na corona ,kila lakheli kwao
 
Yaache yaendelee maana sisi watu weusi hatuko tayari kuwekeza kwenye tafiti au kwa wanasayansi. Tunajali sana siasa na mazindiko, maono hayapo, wala hatujali taifa linakoelekea. Mfano mdogo ni huu, kijana aliyesomeshwa kwa kodi yetu mpaka akawa daktari, amepewa masharti kibao ili afungue huduma ya afya, lakini mganga wa kienyeji analaza mpaka wagonjwa kwenye mabanda ya nyasi. Tusipende sana kuheshimika bila kutengeneza mazingira ya kuheshimiwa.
 
DR Congo 'prepared' to take part in vaccine testing: official

The Democratic Republic of Congo is prepared to take part in testing of any future vaccine against the coronavirus, the head of the country's taskforce against the pandemic said on Friday.

"We've been chosen to conduct these tests," said the head of the national biological institute, Jean-Jacques Muyembe.

"The vaccine will be produced in the United States, or in Canada, or in China. We're candidates for doing the testing here," Muyembe told a news briefing in comments that sparked controversy in DR Congo amid charges the population was being used as guinea pigs.

Muyembe suggested that clinical trials could begin in July or August.

"At some point, COVID-19 will be uncontrollable," the virologist said.

"The only way to control it will be a vaccine, just like Ebola. It was a vaccine that helped us end the Ebola epidemic."

Muyembe's comments came as two leading French doctors came under a storm of criticism after discussing on a television programme the idea of testing a vaccine for coronavirus in Africa.

Camille Locht, head of research at the National Institute of Health and Medical Research (INSERM) in Lille, and Jean-Paul Mira, head of intensive care at the Cochin hospital in Paris, suggested that Africa offered better conditions for testing the vaccine.

Their remarks sparked furious criticism, with the French anti-racism NGO, SOS Racisme, saying, "No, Africans aren't guinea pigs".

Even former international and Ivory Coast football star Didier Drogba joined in.

"It is inconceivable that we continue to accept this. Africa is not a laboratory. I strongly denounce these very serious, racist and contemptuous words," the former Chelsea and Marseille striker wrote on his Facebook page and on Twitter.

"Help us save lives in Africa and stop the spread of the virus that is destabilising the whole world instead of seeing us as guinea pigs. It is absurd."

The tenth Ebola epidemic in DR Congo is set to be declared over on April 12, after it killed more than 2,200 people in the east of the country since its outbreak on August 1, 2018.

More than 320,000 people were given two different experimental vaccines to stop the spread.


Source: AFP
Na mashaka na congo kwa nini ikubali chanjo ifanyiwe majaribo kwake, wakati obama mwenyewe haja unga mkono chanjo kufanyiwa Africa nazani anajua mazara yake ni makubwa hapo badae. Africa siku tukiwa na sauti mmoja kila kitu kitakwenda sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa za kutibu binadamu huwa zinajaribiwa kwa binadamu, mnataka majaribio yafanyike wapi?
Si kweli !! Nguruwe naPanya ni viumbe ambao wana ukaribu na binadamu kwa asilimia kubwa .
Huko kwenye maabara huwa wanaanzia kwa panya au jamii ya panya i.e guinea pigs, wanawapiga ugonjwa kisha wanapiga na dawa zao za majaribio wakionesha nafuu na kupona basi hiyo dawa ndo inahamia kwa binadamu na mara zote huwa inafanikiwa watu kupona ,sasa kwa huu ugonjwa kwanza hauathiri wanyama so wamekosa pa kufanyia majaribio yao ndo wakaona waamie afrika ,na wakati wana death row inmates wengi tu (wange watumia hao wenye hukumu za vifo kama wapo desparate kiasi hicho).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli !! Nguruwe naPanya ni viumbe ambao wana ukaribu na binadamu kwa asilimia kubwa .
Huko kwenye maabara huwa wanaanzia kwa panya au jamii ya panya guinea pigs wanawapiga ugonjwa kisha wanapiga na dawa zao za majaribio wakionesha nafuu na kupona basi hiyo dawa ndo inahamia kwa binadamu na mara zote huwa inafanikiwa watu kupona ,sasa kwa huu ugonjwa kwanza hauathiri wanyama so wamekosa pa kufanyia majaribio yao ndo wakaona waamie afrika ,na wakati wana death row inmates wengi tu (wangwatumia hao wenye hukumu za vifo kama wapo desparate kiasi hicho).

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi fanyeni utafiti mpate chanjo yenu kuliko kusubiri wazungu
 
Hongera sana DRC, kiongozi wenu ndiye shujaa anawajali watu wake, huu sio muda wa ubabe, lazima tushrikiane, itangazeni hata mimi nije niwe wa kwanza kujaribisha.
 
Hawa wenzako walipigwa vaccination huko huko kwenu sasa ni Vilio,What’s your comment on this ??.. Kenya: Thousands infertile after govt-sponsored vaccination - Odinga

Hicho ni kitu umeokoteza tu huko wakati wapinzani walikua wanaibuka na kila aina ya matamko, kitu kama hicho halafu kisiwe reported kwa mainstream media tangu mwaka huo wa 2017, ongeza na zako akili.
Ukweli ni kwamba Miafrika tuliingia hii dunia kwa bahati mbaya, hatuna mchango wowote kwa lolote zaidi ya kutembeza kibakuli na kuwa mzigo kwa wengine. Mnapiga makelele kuhusu hii chanjo ya Corona utadhani kuna chanjo nyingine yoyote mliwahi kugundua kama Waafrika, ilhali ukweli chanjo zote na za kila aina huwa tunasubiri kuletewa na mzungu baada ya yeye kugundua na kufanya majaribio yote huko kwake.
Leo hii bila aibu utakuta baadhi ya mataifa ya Kiafrika yanapanga foleni yakisubiri misaada ya wazungu huku hao wazungu wakiendelea kuathirika kuliko Afrika, wanakufa kwa maelfu lakini bado wanajitutumua kututumia misaada, bure kabisa.
 
Hicho ni kitu umeokoteza tu huko wakati wapinzani walikua wanaibuka na kila aina ya matamko, kitu kama hicho halafu kisiwe reported kwa mainstream media tangu mwaka huo wa 2017, ongeza na zako akili.
Ukweli ni kwamba Miafrika tuliingia hii dunia kwa bahati mbaya, hatuna mchango wowote kwa lolote zaidi ya kutembeza kibakuli na kuwa mzigo kwa wengine. Mnapiga makelele kuhusu hii chanjo ya Corona utadhani kuna chanjo nyingine yoyote mliwahi kugundua kama Waafrika, ilhali ukweli chanjo zote na za kila aina huwa tunasubiri kuletewa na mzungu baada ya yeye kugundua na kufanya majaribio yote huko kwake.
Leo hii bila aibu utakuta baadhi ya mataifa ya Kiafrika yanapanga foleni yakisubiri misaada ya wazungu huku hao wazungu wakiendelea kuathirika kuliko Afrika, wanakufa kwa maelfu lakini bado wanajitutumua kututumia misaada, bure kabisa.
Ninachojua mimi wazungu hawanaga cha bure so hata kama anakupa msaada lazima umpe kitu, so it’s not like they are doing us a favor they are benefiting from us as much they give us. So they are just returning the favor. Turudi kwenye hoja, kwa nini majaribio yafanyike Afrika wakati sisi sio waathirika wakubwa??.
 
Ninachojua mimi wazungu hawanaga cha bure so hata kama anakupa msaada lazima umpe kitu, so it’s not like they are doing us a favor they are benefiting from us as much they give us. So they are just returning the favor. Turudi kwenye hoja, kwa nini majaribio yafanyike Afrika wakati sisi sio waathirika wakubwa??.

Hiyo misaada ya bure kama tunajua haitufai mbona tunapiga mafoleni tukiwaomba, nimeona juzi Tanzania imetuma ombi kwa hao hao wanaoteseka kwa kirusi ikiwaomba msaada ili kunusuru uchumi wake, ni kama utembeze kibakuli cha kuombea msaada maeneo ya watu waliofiwa ambao wanaomboleza.

Kuhusu kwanini chanjo ifanyike Afrika tumelijadili kwenye baadhi ya nyuzi hadi sina haja ya kuandika hizo insha zote upya. Ninachofahamu ni kwamba Afrika hatuna jeuri ya kuingia lockdowns wanazofanya kwao wazungu, hiki kirusi kikitua vizuri Tandale na kianze kuua kama Italy, watu mtazikana na kuanza kukimbiana, yaani utakuta mnakimbiana baba anawakimbia watoto wake, miili inaachwa bila wa kuizika, inaozea kwenye nyumba na pembezoni mwa barabara.

Hapa bado kirusi hakijaeleweka eleweka kwa Afrika tujichimbie mapema kwa chanjo, tujilinde muda huu bado hakijulikani kwanini Afrika kimetuhurumia na kuua wachache ukilinganisha na kule kwa wale ambapo wanadondoka kwa makumi ya maelfu, wale hata wakifa wengi, wana mbinu na mifumo ya kuendelea kuishi na kutafuta namna, jaribu mdondoke vifo vya Watanzania 10,000 kama Marekani wanavyokufa leo uone kama hamtaikimbia nchi.
 
Back
Top Bottom