CONGO YAKUBALI KUFANYIWA MAJARIBIO YA CHANJO YA #COVID19
Mkuu wa mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko nchini Congo, Jean-Jacques Muyembe amesema wamechaguliwa na wako tayari kushiki majaribio ya chanjo ya #CoronaVirus
Ameshauri kuwa majaribia hayo yanaweza kufanyika Mwezi Julai au Agosti. Amesema “Inawezekana #Covid19 ikashindikana, lakini chanjo inaweza kuishinda kama ilivyokuwa kwenye ugonjwa wa Ebola, ni chanjo zilitusaidia”
Swala hili linatokea baada ya video ya wanasayansi wawili wa ufaransa kuvuja wakishauriana kuwatumia waafrika kama majaribio ya chanjo
Mchezaji wa mpira wa miguu, Didier Drogba alipinga vikali swala hili aliloliona la kibaguzi na amesema afrika sio maabara wala Afrika sio sehemu ya majaribio
=====
The European and the USA have been trying to come up with the cure for corona virus but it has been to no avail.
Earlier this week it was been reported that these countries have selected some countries in Africa which they would test their new vaccine created, which most African countries have rejected so far.
Today Saturday 04/04/2020 an Official of the Democratic Republic Of Congo has expressed the country’s readiness to participate in corona virus vaccine testing, becoming the first African country to do so.
They believe that they are making their own contributions to end this pendemic by accepting the vaccines to be tested on those who have tested positive to corona virus.
Many public figures has frown to this act in recent days such as
Didier Drogba who wrote on his Twitter handle: “It is totally inconceivable we keep on cautioning this,”“Africa isn’t a testing lab. I would like to vividly denounce those demeaning, false and most of all deeply racist words.”
Former Cameroon’s international Samuel Eto’o also joined the protest via instagram, he wrote, “Africa is not your playing ground,”
So you think this is a welcome development ?