DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao

DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao

Waje huku tuwape vijana wa ufipa tutawapa bila mkataba

Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Dawa za kutibu binadamu huwa zinajaribiwa kwa binadamu, mnataka majaribio yafanyike wapi?
Kwa wanadamu wenye matatizo,ilo tu huwez fikir & nyinyi ndo mnatufanya Afrika tuonekane utumbo,mmekuwa YES MAN kwny kila ki2,ulaya watu wanakufa 500+ kila siku,kwnn wasianzie huko?

Ni kwmb kwny majaribio ya chanjo lzm wapandikize maambukiz kupima nguvu ya chanjo,Je ni wote watapewa chanjo NO,Je ambao hawajachanjwa huoni watakua kwnye hatari ya kuugua corona pindi watakapo kuja in contact na maambukiz?

Je hawa wanafanya majaribio wako tayari kutake risks za side effects za majaribio yao au ndo watatutelekeza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi China wametumia nn kumaliza tatizo ? Walifanya test wapi?

Ila China na US wana maslahi makumbwa Congo
 
Wangese sana hawa mbwa yaani na tahadhari zote hizo zilizotolewa bado hii mijinga inakubali tu.
Hivi huko Marekani na china si ndo kuna maambukizi na vifo vya kufa mtu sasa kwa nini wasifanyie majaribio huko waje huku Afrika.
Tutaendelea kuitwa shithole countries dadeki kwa style hii ya hawa wangese wachache.
Nani ametoa hizo tahadhari?
 
Wacongoman mnajifanyaga wajanja mara papaa mobimba, kumbe na nyie ni wapuuzi kiwango cha lami. Wewe watu wanapinga majiribio kufanyika africa, nyie ndo mnatuangusha mnajipeleka kufanyiwa majaribio. Labda tuanze kuwaita guinea pigs.
Wametuangusha sana WaAfrika
 
Licha ya Waafrika wengi wakiwemo Watu mashuhuri kama Eto’o na Drogba kupinga mawazo ya Maprofesa wa Ufaransa Jean Mira na Locht ya kupendekeza Afrika kutumika kama sehemu ya kufanyia majaribio ya utafiti wa kinga ya corona, Congo imesema ipo tayari majaribio yafanywe nchini humo.

Mkuu wa kikosi kazi cha kupambana na corona katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema Nchi hiyo imejiandaa na ipo tayari kwa jaribio lolote linalolenga kupata kinga ya corona itakayosaidia Duniani>> “njia pekee ya kuzuia corona ni kupata kinga kama tulivyofanya kwenye Ebola”


“Tayari tumechaguliwa kufanyiwa majaribio ya kinga ya corona, kinga inazalishwa Ufaransa,Marekani, Canada au China, tupo tayari kwa majaribio tena nafikiria yaanze mapema na isizidi July kama itachelewa sana August”-Jean-Jacques Muyembe, Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Biolojia Congo
#MillardAyoUPDATES

Source Millard Ayo Fb page.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
#Say no to lockdown.
#Say no vaccine test for COVID-19 To fellow Africans
 
Licha ya Waafrika wengi wakiwemo Watu mashuhuri kama Eto’o na Drogba kupinga mawazo ya Maprofesa wa Ufaransa Jean Mira na Locht ya kupendekeza Afrika kutumika kama sehemu ya kufanyia majaribio ya utafiti wa kinga ya corona, Congo imesema ipo tayari majaribio yafanywe nchini humo.

Mkuu wa kikosi kazi cha kupambana na corona katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema Nchi hiyo imejiandaa na ipo tayari kwa jaribio lolote linalolenga kupata kinga ya corona itakayosaidia Duniani>> “njia pekee ya kuzuia corona ni kupata kinga kama tulivyofanya kwenye Ebola”

“Tayari tumechaguliwa kufanyiwa majaribio ya kinga ya corona, kinga inazalishwa Ufaransa,Marekani, Canada au China, tupo tayari kwa majaribio tena nafikiria yaanze mapema na isizidi July kama itachelewa sana August”-Jean-Jacques Muyembe, Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Biolojia Congo
#MillardAyoUPDATES

Source Millard Ayo Fb page.



Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
#Say no to lockdown.
#Say no vaccine test for COVID-19 To fellow Africans
 
Hawa viongozi wengine sijui wanawazaga nini? Wazungu wanatuchukulia sisi Kama nyani, that's why hata majaribio wanataka kuyafanyia kwetu.

Kwani kati ya bara letu na mabara mengine ni wapi wameathirika zaidi? Kwanini majaribio yasifanyike huko walikoathiriwa zaidi?

Naamini mzee wetu na timu yake hawataruhusu hilo hapa home.

Mungu ibariki Tanzania.
Licha ya Waafrika wengi wakiwemo Watu mashuhuri kama Eto’o na Drogba kupinga mawazo ya Maprofesa wa Ufaransa Jean Mira na Locht ya kupendekeza Afrika kutumika kama sehemu ya kufanyia majaribio ya utafiti wa kinga ya corona, Congo imesema ipo tayari majaribio yafanywe nchini humo.

Mkuu wa kikosi kazi cha kupambana na corona katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema Nchi hiyo imejiandaa na ipo tayari kwa jaribio lolote linalolenga kupata kinga ya corona itakayosaidia Duniani>> “njia pekee ya kuzuia corona ni kupata kinga kama tulivyofanya kwenye Ebola”


“Tayari tumechaguliwa kufanyiwa majaribio ya kinga ya corona, kinga inazalishwa Ufaransa,Marekani, Canada au China, tupo tayari kwa majaribio tena nafikiria yaanze mapema na isizidi July kama itachelewa sana August”-Jean-Jacques Muyembe, Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Biolojia Congo
#MillardAyoUPDATES

Source Millard Ayo Fb page.



Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
#Say no to lockdown.
#Say no vaccine test for COVID-19 To fellow Africans

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jameni inafanyiwa wapi hii nijitolee kuwa wa kwanza Afrika kufanyiwa uchunguzi, wanaopinga nawaona bogus sana full mipumbavu. Afrika hii tunahitaji kinga kwa haraka sana kabla hiki kirusi hakijatinga kwenye mitaa ya mabandani, maana kikifika huko itakua ndio basi, kiama.
Mataifa ya Afrika hatuwezi kwenda lockdowns wanazofanya wazungu kwao, wao wana uwezo wa kupeleka canned food kwa watu wao, wana uwezo wa mambo mengi, sisi hapa Afrika wacha hata chakula, kuna mitaa maji yenyewe tabu, huduma za jamii kuzipata mabandani ni balaa, vijijini kule ndio usipime. Acheni unafiki, waachieni wazungu watuletee kinga na tiba, maana hata wanasanyi wetu leo hii wamelala tu hamna lolote, hawachangii kwa chochote, na wao wanasubiri mzungu agundue dawa.
 
DR Congo 'prepared' to take part in vaccine testing: official

The Democratic Republic of Congo is prepared to take part in testing of any future vaccine against the coronavirus, the head of the country's taskforce against the pandemic said on Friday.

"We've been chosen to conduct these tests," said the head of the national biological institute, Jean-Jacques Muyembe.

"The vaccine will be produced in the United States, or in Canada, or in China. We're candidates for doing the testing here," Muyembe told a news briefing in comments that sparked controversy in DR Congo amid charges the population was being used as guinea pigs.

Muyembe suggested that clinical trials could begin in July or August.

"At some point, COVID-19 will be uncontrollable," the virologist said.

"The only way to control it will be a vaccine, just like Ebola. It was a vaccine that helped us end the Ebola epidemic."

Muyembe's comments came as two leading French doctors came under a storm of criticism after discussing on a television programme the idea of testing a vaccine for coronavirus in Africa.

Camille Locht, head of research at the National Institute of Health and Medical Research (INSERM) in Lille, and Jean-Paul Mira, head of intensive care at the Cochin hospital in Paris, suggested that Africa offered better conditions for testing the vaccine.

Their remarks sparked furious criticism, with the French anti-racism NGO, SOS Racisme, saying, "No, Africans aren't guinea pigs".

Even former international and Ivory Coast football star Didier Drogba joined in.

"It is inconceivable that we continue to accept this. Africa is not a laboratory. I strongly denounce these very serious, racist and contemptuous words," the former Chelsea and Marseille striker wrote on his Facebook page and on Twitter.

"Help us save lives in Africa and stop the spread of the virus that is destabilising the whole world instead of seeing us as guinea pigs. It is absurd."

The tenth Ebola epidemic in DR Congo is set to be declared over on April 12, after it killed more than 2,200 people in the east of the country since its outbreak on August 1, 2018.

More than 320,000 people were given two different experimental vaccines to stop the spread.

Source: DR Congo 'prepared' to take part in vaccine testing: official
Tino,
Kitu fulani kinaanza kuingia kichwani mwangu.Nadhani COVID-19 ni coverup ya 5G kuhusika na mauaji ya watu,huku juhudi nyingi zikifanywa kutuaminisha kwamba COVID-19 is a viral disease.Na sasa inaanza kudhihirika kwamba Marekani na China wanahusika katika conspiracy ya COVID-19, because why the alliance.Kama kweli China wanaamini Marekani ndio waliowarushia hilo zengwe,si kingepigwa,mbona kimya,tens urafiki ndio unazidi?Lao hawa ni moja,hamna lolote.We must have critical thinking.

Halafu huyo kiongozi wa Congo naye poyoyo kweli,hivi anajua kweli hatari itakayowakumba watu wao kwa kupewa hiyo chanjo?Yaani anaona kawiini.Nadhani hajui kwamba hiyo ni sumu,maskini wee,kweli usichokijua ni usiku wa giza.
 
Wametuangusha sana WaAfrika
Sana,yaani dah!Mbona Africa hatuna shida,si hiyo chanjo ingeanzia huko Marekani na Ulaya kwenye matatizo zaidi?Yaani Wakongomani mapoyoyo kweli kweli,can't they see the danger ahead of them.Aibu sana.
 
Naamini kuna mataifa mengine yatakubali kimya kimya.
Maadamu watapewa pesa lazima wakubali tu.

Japo hiyo chanjo kufanyiwa majaribio huku Africa naona ni vizuri maana ikifanikiwa tutakuwa na uhakika wa kuendelea na maisha ya kawaida bila hofu kwani huu ugonjwa ukisambaa sana huku Africa hatutaweza kuudhibiti.

Ukisema nchi za Africa zifungie raia wao majumbani basi njaa itawaua isitoshe hawa wanausalama watatumia hicho kigezo kutesa wananchi hivyo ni bora chanjo ije ianzie huku.
 
Wapo wengi sana hawana hasara kwa raia zao wakifa.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Kwa hiyo we should stay home for our
entire life ili tu kuikwepa Corona?
Haohao waliowatajia preventive measures za corona ndio haohao wanatafuta chanjo.
 
Back
Top Bottom