DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao

DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao

Maadamu watapewa pesa lazima wakubali tu.

Japo hiyo chanjo kufanyiwa majaribio huku Africa naona ni vizuri maana ikifanikiwa tutakuwa na uhakika wa kuendelea na maisha ya kawaida bila hofu kwani huu ugonjwa ukisambaa sana huku Africa hatutaweza kuudhibiti.

Ukisema nchi za Africa zifungie raia wao majumbani basi njaa itawaua isitoshe hawa wanausalama watatumia hicho kigezo kutesa wananchi hivyo ni bora chanjo ije ianzie huku.
Naamini hata viongozi wa Congo-DRC wamepewa fedha,sidhani kama wananchi wanajua kinachoendea,wao anything from the government is right.Ni
wakuonea huruma tu.
 
Kwani Obama si ameshatahadharisha kuwa tusikubali hizo vaccines kuingia Africa coz wamezitengeneza makusudi kwa ajili ya kuua waafrika...?

Sasa tena mbona huyu anakubali ziingie huko DRC...?
Kapewa posho mkuu.
 
Kwa wanadamu wenye matatizo,ilo tu huwez fikir & nyinyi ndo mnatufanya Afrika tuonekane utumbo,mmekuwa YES MAN kwny kila ki2,ulaya watu wanakufa 500+ kila siku,kwnn wasianzie huko? Ni kwmb kwny majaribio ya chanjo lzm wapandikize maambukiz kupima nguvu ya chanjo,Je ni wote watapewa chanjo NO,Je ambao hawajachanjwa huoni watakua kwnye hatari ya kuugua corona pindi watakapo kuja in contact na maambukiz? Je hawa wanafanya majaribio wako tayari kutake risks za side effects za majaribio yao au ndo watatutelekeza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka hujui lolote kuhusu majaribio ya chanjo
 
Mtakuja kuwashukuru hao wakongo na mtaitaka chanjo tena kwa msaada maana hata uwezo wa kuinunua hamna
 
Kwani Obama si ameshatahadharisha kuwa tusikubali hizo vaccines kuingia Africa coz wamezitengeneza makusudi kwa ajili ya kuua waafrika...?

Sasa tena mbona huyu anakubali ziingie huko DRC...?
Viongozi wengi wa Africa hawawezi kusema hapana Kwa mtu mweupe, hata kama anajua si mzuri kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanataka a kuisogeza Corona karibu kama walivyo sogeza Ebola wale ndiyo maana Rwanda na Uganda wana wakung'untaga hawana akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom