Na ambavyo hujazoea kusalimia na wanaume sababu ya ubovu wako lazima ukenueKuna siku nilikutana na wakaka watano ni marasta wakasimama kunipa hi, yani walinisalimia ile kirasta rasta ha ha ha wanaonekana watu wa Amani Ile mbaya nilisikia raha siku nzima lol
Hawezi thubutu... Ana bichwa la ovyo sanaNa wewe tuonnyeshe zako kidogo basi.
Sio kweli mpendwa, mbona ni masista duu kabisa watu flani amazing wenye Amani tele
Basi mi ntakuwa na bahati mbaya..Wengi niliowaona wa dizaini hiyo..Mmmmmh sidhani kama hizi takwimu zako ziko sawa
UtauwaaaaaaaaaaaaaaaaHii ndio nimebana leo.......
Vyovyote sawa tu......wayiiiii.
Hongera Preta kwa kuwa mwana utamaduni!!!
Asante.....nimekumiss........long time.
Aisee inapendeza sana, nishawahi kujaribu sokota hizi madude sema nilishindwa kwasababu ya shule.
Wewe sema tu hilo bichwa lako kubwa halipendezei wigi wala kusuka.. Tangia lini mabonge nyanya yakapendeza kwenye wigi..
HahahahahahaEvelyn Salt ulimnyima nini huyu kaka wa watu? naona kakomaa na swaga ya sizitaki mbichi hizi
Ha ha ha huyo mwenye avatar ya katoto? Lazma mpenzi wake ana vipilipili kichaa kichwani make kajawa na wivu kuona habari za dreadsEvelyn Salt ulimnyima nini huyu kaka wa watu? naona kakomaa na swaga ya sizitaki mbichi hizi
Ni wewe kweli au kuna mtu amehack account yako?Wewe sema tu hilo bichwa lako kubwa halipendezei wigi wala kusuka.. Tangia lini mabonge nyanya yakapendeza kwenye wigi..
Nani huyoNi wewe kweli au kuna mtu amehack account yako?
FisadiKuu . Nilikuwa nashangaa comment yakeNani huyo