Dreadlocks!

Dreadlocks!

Ha ha ha lol wamjua abas yap, huwa natengenezea kwake nikiwa dar pia kuna dada mmoja yupo karibu na bar flani nikikumbuka jina ntakuambia ipo pale barabarani tu Mwenge anatengeneza vzr ndio amerepair hizo zangu
alikuwepo na mwingine anaitwa Kassim anapatikana pale mwenge- lufungira
 
Ahsante! Wewe ni mwalimu mzuri. Lakini wapo ambao hawako makini na utunzaji wa hizo nywele.
Sio dreadlocks labda rasta za kichina dreads usipoenda saloon wiki mbili zinachakaa, zinaota huwezi kukaa lazma zioshwe na kutengenezwa kila baada ya wiki au wiki mbili
 
Go die in peace curious cat.
Mi nshapendwa. Muambie mdada wako aweke dreadz. Hizi paw alikuwa anatengeneza mwenyewe enzi ziko ndogo manake repair ni twice a week ukianza.
I'll be your secret admirer.... Until then.

Paw ajipange coz a beauty with dreadlocks, that is the temptation i cant resist...

Hii ni vita....i declare!
 
Mwanzoni unatakiwa udili na mtu mmoja tu mpaka zitakaposhika ndo utakuwa unaweza enda kwa mtu yoyote kurepair, mi mwanzo nilikuwa najirepair mwenyewe mpaka zilipofikisha mwaka mmoja
Nilirudi kazini kwangu nikawa sina namna ikabidi nitafute mtu mwingine, ila fundi wangu wa sasa anaumiza hatari ananitengezeza vzr ila nakoma
 
Nilirudi kazini kwangu nikawa sina namna ikabidi nitafute mtu mwingine, ila fundi wangu wa sasa anaumiza hatari ananitengezeza vzr ila nakoma
Hahaha ila wadada tuna kazi na nywele jamani. Nina huyo msusi wangu wa mabutu, jamani sio kwa anavyozinogesha ila zile siku 3 za mwanzoni hata kupepesa macho kunauma. Mtu akikugusa kichwani anaweza akashtukia kala kofi tu, anakaza mbele vizuri hadi kikomwe kinashine, kulala sasa Heheheh
 
Namjua abasi pia pale kinondoni studio na kawe kwa josee
Ila kwasasa siko huko lakini mara nnapofika kabla sijaanza kuonana na raia huwa ni lazima nikafanye mambo sehemu moja kati ya hizo kisha ndo nianze kukutana na raia, basi safari hii nikija ntakwambia ili nikajaribu mikogo ya huyo dada unayemsema pia
Nimekumbuka panaitwa calabash pembeni ya hiyo bar kuna dada anatengeneza vizuri sana
 
Nilirudi kazini kwangu nikawa sina namna ikabidi nitafute mtu mwingine, ila fundi wangu wa sasa anaumiza hatari ananitengezeza vzr ila nakoma
Hata mi nimempata mmoja raia wa Nigeria jamani huyu dada[emoji134] [emoji134] amenitengeneza mara moja ila sijui kama ntarudia kwa takribani siku tatu zilikuwa zinauma hatariiii hata kitandani kulala sikuweza
 
Mie dreads ndo naziweza make kusuka siwezi, weaving wigs nazionaga tu kwa watu
Wewe sema tu hilo bichwa lako kubwa halipendezei wigi wala kusuka.. Tangia lini mabonge nyanya yakapendeza kwenye wigi..
 
Back
Top Bottom