Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Acha dharau yaani hata mech hujacheza kikosi hukijui kelele Zote hizi kama masau bwireUkinifunga wewe Bora Niache kucheza dls
Mkuu nipo legend division mzee sema tu sichez mara kwa maraHuwezi fananisha inaonekana we ndo Kwanza uko daraja la tatu huko pambana Kwanza ukuze career yako.... Cheza Sana upate coin za kusajili.... Lakini pia Kwa mtu anayejua kucheza hata Kwa Hilo kikosi anashinda....
Sajili ndo uombe code vinginevyo utaishia kulala mika
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ndo ushaogopa hivoAcha dharau yaani hata mech hujacheza kikosi hukijui kelele Zote hizi kama masau bwire
Kikosi Gamondi+Guardiola hiki[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ndo ushaogopa hivo
Bila bando unacheza vizuri tu... Hayo magemu mengine hua nayaona kama useless tu...Hivi hili game la DLS Halikubali kucheza bila bando...?
...kuna game lingine la football niliwahi kucheza mwaka jana linaitwa "WE Soccer" kama sijakosea maana nimesahau jina lake lakini ni la konami, nalipataje pia...? Msaada...
[emoji2957][emoji1787][emoji2] nimecheka kama bwege usije kua kama huyo mwenzio anayelia na marobotKikosi Gamondi+Guardiola hiki
nimejaribu nikapewa option mbili... Play offline nikibofya naambiwa siwezi kupata access ya vitu vingine na linagoma kabisa kuplay narudishwa nyuma... Nikitap kwenye play online napelekwa tena kwenye webs huko sijui ndio wapi... sielewi Msaada...Bila bando unacheza vizuri tu... Hayo magemu mengine hua nayaona kama useless tu
Una official app au n zile za Ku cheatnimejaribu nikapewa option mbili... Play offline nikibofya naambiwa siwezi kupata access ya vitu vingine na linagoma kabisa kuplay narudishwa nyuma... Nikitap kwenye play online napelekwa tena kwenye webs huko sijui ndio wapi... sielewi Msaada...
...ata sielew... Nimeipakulia playstore...Una official app au n zile za Ku cheat
Tuma screenshot tukusaidie...ata sielew... Nimeipakulia playstore...
Na wewe ushakuw Pro skuizii ushapata mtu wa kujipigia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe inabidi uunde Kwanza kikosi walau uwe na gold card... Vingenevyo Huna wa kumfunga humu... Ila unacheza vizuri
Mimi je au usha nisahawu[emoji23][emoji23][emoji23]Ukinifunga wewe Bora Niache kucheza dls
Professional hack[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akitokea wa kuwasumbua niitwe
Kuna yeyote au yoyote humu?Mwambie mkipige utumie wachezaji wenye Blue card kama atakubali [emoji2]