Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Wala ni Uwezo tu Humu nimepiga Wote Nikiwa na Yellow Cards ss sijui huo uhack mnautolea wap ? Mtu pekee anaweza kunichallenge ni Eng ibird tu.
Mimi siweziii ķubishana na ww coz hujawah kunifunga mim ndo professional hum ndanii hakuna taka taka mwengine yyt mim naitaji is cheza na mtu mwenyew kikos cha kawaida ambaye haja hack cy una cheza na mtu wa chezaji wote wamejaa c uongo huo ma hack
 
Mimi siweziii ķubishana na ww coz hujawah kunifunga mim ndo professional hum ndanii hakuna taka taka mwengine yyt mim naitaji is cheza na mtu mwenyew kikos cha kawaida ambaye haja hack cy una cheza na mtu wa chezaji wote wamejaa c uongo huo ma hack
Waulize wote humu wakat naanza kucheza nilikuwa na Kikos gan na Je kuna mtu alinifunga tofauti na Eng ibird ambae tulifungana wengine wote ni Vipigo tu
 
Back
Top Bottom