Mara ya mwisho kabla ya Kuuza simu yangu yenye uwezo mzuri ,nilimkanda Fene siku mbili mfulilizo mpaka akaSurrender mwenyewe na haleti ubishi akibisha makaburi yapo humu.Nasikia adriz alikula kichapo Hadi ukafuta app ya DLS [emoji23][emoji23][emoji1787]
Chezeni tupate Kiande wa grupu ,msisahau kupost humu.Nakutaka wew unaetoa mafunzo leo night [emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hapa umekusudia kuchekesha jamii ..The true King, The true Master of the thread
Nina mpango wa kuongea na mmiliki wa jf liwekwe sanamu langu ktk hii thread
Nimewa-rise vijana wengi humu leo ati nao wana sauti wakiongozwa na adriz
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hapo nimetype vibaya nilitaka niseme "alikupa kichapo" nikaandika "alikula kichapo"Mara ya mwisho kabla ya Kuuza simu yangu yenye uwezo mzuri ,nilimkanda Fene siku mbili mfulilizo mpaka akaSurrender mwenyewe na haleti ubishi akibisha makaburi yapo humu.
Kuhusu unalodai ningependa ueleze kwa kina maana Master sina rekodi mbovu kama hiyo.
Na kweli nimecheka sanaHapa umekusudia kuchekesha jamii ..
Wakipekee chunga mdomo huo, asikuponze adrizNa kweli nimecheka sana
Huwezi labda nifungwe mikono na kitu kizitoWakipekee chunga mdomo huo, asikuponze adriz
Nitakuaibisha
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Njoo
Hbc
Oi network inasumbua Sana Ila Leo ungeaibika kesho saa 11 tukutane ntakua eneo zuri...
PoaOi network inasumbua Sana Ila Leo ungeaibika kesho saa 11 tukutane ntakua eneo zuri...
Hahhhhhhhhhhh NI kweli maana enzi zile nilikua kibonde sana
Aisee nimefuata ushauri wako saizi nipo Tie 4Kikosi unacho kizuri Sana hapo inshu ni uchezaji wako
Hongera sana mimi kucheza kwangu kote na Umaster wangu humu nimewahi fika hapo 4 sijawahi kupanda tena.Aisee nimefuata ushauri wako saizi nipo Tie 4
Kwa hiyo unamaanisha mpaka kwa Johex na kwenye magroup yote ya wasap haoni competition ya kweli ? siwezi kuamini kuwa umefikia kiwango hicho labda kwa humu sawa.Sahau kunifunga maana ss hivi nimeacha kucheza Game sioni Competition ya Kwel
Mtoto Kibonde sn hv hyo tier ya 6 ingekuwa ya 2022 ni saw Mi ndy niliishia hiyo Tier lkn hii DLS23 naingia tier 1 na yellow card kabsaHivi Kuna mtu alishawahi kuvuka Tie 6??
Mimi kila nikijitahidi nashindwa,shida ni ukabaji wachezaji Wangu hawakabi ipasavyo ..but Tie 7 wachezaji Wangu wanakuwa active sana kuliko nikicheza Tie 6
Hakika umeiva Kijana wngHalafu pia kitu cha muhimu zaidi unapokaba achia "B" tumia direction pekeyake Hadi mchezaji wako akimkatibia mpinzani ndo Kaba na "B" Ila inabidi mikono iwe chapu...
Cha mwisho zingatia pass... Nauridia zingatia possession wewe Ndo uwe Una mpira muda mwingi lazima ushindwe Tu ....
Sema najua mwanzoni utapigwa .. na usipokua mvumilivu utaurudia tena "tuntura" [emoji23] halafu utapigwa tena