adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Mara ya mwisho kabla ya Kuuza simu yangu yenye uwezo mzuri ,nilimkanda Fene siku mbili mfulilizo mpaka akaSurrender mwenyewe na haleti ubishi akibisha makaburi yapo humu.Nasikia adriz alikula kichapo Hadi ukafuta app ya DLS [emoji23][emoji23][emoji1787]
Kuhusu unalodai ningependa ueleze kwa kina maana Master sina rekodi mbovu kama hiyo.